Msanii wa kizazi kipya kutoka Arusha maarufu kwa jina la JCB amewaomba msamaha waislamu wote kutokana na kutunga wimbo wenye baadhi ya mistari ya Quran. Kitendo hicho kiliwaudhi waislamu na...
Kati ya wanamuziki ambao wananishangaza ni John Kitime, ameweza kuwa na blog za muziki ambazo zina taarifa nyingi ambazo zingekuwa mali sana kama wanamuziki wenzie wangweza kuzisoma lakini naona...
Kwa wale ambao mmeshasikiliza Wimbo mpya wa TMK unaoitwa KICHWA KINAUMA msikilizeni virusi Chegge Mashairi yake yanaendana na kilio cha VINEGA....ingawa sidhani kama Chegge yupo kwenye movement ya...
By Billie Odidi
THE EAST AFRICAN
Posted Monday, December 12 2011 at 00:00
The years after independence in 1960s and 70s witnessed a boom in East African music driven by...
Huwa nangalia movies za wenzetu wa nigeria,ghana..n.k huwa wanajua kuact hadi unafikia mda mwingine unaanza kutokwa machozi jinsi wanavyocheza kwa ufasaha na kuvuaa nafasi halisi ya mtu...
Wana JF,
Niko ndani ya Jiji la Arusha ila makubwa nimeyakuta hapa
Jamani wandugu, kilichotekea huku Matongee Club Arusha Jana Usiku ni aibu tuuuupu kweli kwani Jana Fally Ipupa alipaswa...
here's my top ten..
1. kool and the gang
2. blackstreet
3. jodeci
4. the temptations
5. the jackson 5
6. the isley brothers
7. earth wind and fire
8. the ojay'
9. boys to men
10. new edition
and...
Kwa wale mliofuatilia 'The Voice' season 1, mtamkumbuka binti huyu, very innocent and shyly face, alikuwa mentored na Blake Shelton, mzee wa 'you will be my Louisiana, I will be your...
Ndugu zangu,
Usiku huu nime-google jina langu ndipo nimekutana na habari hii; ' Maggid Mjengwa ana virus?
Nimejadiliwa katika angle hiyo kwa kile kilichodaiwa na mwanzisha mada kuwa...
Akitumbuiza mjini Iringa ukumbi wa Highland
Hapa akiwa amekosa raha kabisa baada ya wahuni wa Iringa kumuibia viatu na kumwachia sox.
Hivi viatu alivyo azimwa kwa muda ajisitiri.
Muimba...
Wakuu mnaukumbuka wimbo huu?
Hakika uwa ni wimbo wa faraja sana hususani kwa hili dimbwi la umaskini uliokithiri wa taifa na watu wetu!!
Bobby McFerrin - Don't Worry Be Happy - YouTube
Furahia.
Sasa tunasikia tena akina sele, necha, feruz, na wenzao wote ambao walikua wanabaniwa
Clouds are doing this expecting kukomesha vinega, unfortunately, wanatekeleza ilani ya vinega
SAFI SANA...
Jamani ndugu zangu tunaopatikana pande za Arusha twende kwenye mazishi ya marehemu mr.Ebo.Tulimpenda ila MUNGU ALIMPENDA ZAIDI JINA LA MUNGU LITUKUZWE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.