Fid is a real MC.
Huyo mwingine bishoo, copying Jigga kila kitu hata kutembea kwenye stage, the dude is not real, na kitu nyingine ni kuwa kwenye nyimbo zake anasifia na ku glorify bangi na cocain.........he's fukcin gabbage to me.
fid q ni noma. hata akiwa jukwaani anatisha. mistali ya fid ni mizito kulinganisha na mistali ya joh. fid anazungumzia jamii lakini joh mistali yake ni ya kujisifia mwenyewe, mfano anajiita yeye ni mwamba wa kaskazini wakati kaskazini kuna miamba kibao kama JCB. fid ana pumzi kuzidi joh. show za joh akiwa jukwaani unaskia "twende..twende..twendee..siwaskii..dj zima mziki" hapo pumzi zinakuwa zimemuishia. lakini fid anakamua mwanzo mwisho kwa beat tu.safi sana fid. Mia