phina
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 414
- 126
Nina uhakika mengi yamesemwa kuhusu hili, lakini mbona sioni mabadiliko jamani??yani unakuta movie inaenda taratiiiiiiibu...kitu kinachukua saa moja na nusu-content is poor!alafu naambiwa watchout for part 2!!!wats there to wait for??
Watengenezaji/anayehusika wafanye kitu sasa-mabadiliko.tunatamani kuokoa sanaa lakini hambebeki!ebo!!!
Na mshukuru mabasi ya mikoani yanayoonyesha hizo muvi..
Watengenezaji/anayehusika wafanye kitu sasa-mabadiliko.tunatamani kuokoa sanaa lakini hambebeki!ebo!!!
Na mshukuru mabasi ya mikoani yanayoonyesha hizo muvi..