Sasa Clouds fm inapatikana Iringa!!

Sasa Clouds fm inapatikana Iringa!!

Elai

Senior Member
Joined
May 26, 2011
Posts
156
Reaction score
11
Nina tune radio yangu, ninashituka kuipata hii radio. Ni kipindi cha michezo cha saa tatu usiku. Ni around 90's Mhz. Wapenzi wa hii radio Iringa, wakati ni wenu.
 
Wanyaru bana kwa sifa za kijinga sasa unataka tufanyaje tulete ha times fm au? Nini cha ajabu hapo endelea kuwadanganya wanywa ulanzi
 
Wanyaru bana kwa sifa za kijinga sasa unataka tufanyaje tulete ha times fm au? Nini cha ajabu hapo endelea kuwadanganya wanywa ulanzi

Hebu acha zako wewe, jamaa ametoa taarifa kwa umma sasa kama wewe hupendi nenda kasome threads nyingine, uungwana vitendo.
 
Wanyalu karibuni kwenye dunia ya utandawazi kwenye habari,burudani,etc.....nia kuongeza wigo wenu na upeo hasa wa kufikiria......na uwezo kunyambua mambo!! Kupata maamuzi sahihi na kusonga mbele
 
Nyela Ndauli! yaani mnashangilia hiyo radio ya WAFU FM kupatikana huko Iringa! yaani ni bora nkaendelea kuongeza mashamba ya VITINDI kuliko kuisikiliza hiyo radio ya M>A>C>H>O>K>O
 
Wanyaru bana kwa sifa za kijinga sasa unataka tufanyaje tulete ha times fm au? Nini cha ajabu hapo endelea kuwadanganya wanywa ulanzi

Acha ushamba wako wa kizaramo, kinachokufanya ulete dharau ni nini, jamaa ameleta taarifa wewe wawashwa wapi uanze kupayuka kama vuvuzela! Shindwa!
 
Back
Top Bottom