Familia ya aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Angola Jonas Savimbi imewashtaki watengezeji wa filamu ya Call of Duty kuhusu vile ilivyomuangazia katika mchezo huo wa video.
Watoto 3 wa Savimbi...
Hivi ni utaratibu gani hutumika katika kuuziana kazi ya sanaa iwe nje au hapa nyumbani, mfaano mtu ana nyimbo au story ya movie taratibu gani hutumika kununua/kuuza kwa mwingine, na kama mtu...
Hello, nimependa na wewe mwenzangu usikilize hadithi nzuri. Utafurahi naamini. Ili usipitwe na hadithi tamu na nzuri nyingi kama hizi, unakwenda download Hadithi App kutoka PlayStore kwa kubonyeza...
Kundi la Mziki la Navy Kenzo linalo Undwa na Nahreel na Aika Wameachia Wimbo wao mpya unaitwa Kamatia.....
Hapa nimekuwekea Sehemu ya Kudownload Wimbo Huo Hapa>>>mkito.com/song/kamatia/18570…
Tuzo hizo za nchini Uganda zinazojulikana kama HIPIPO zimeshuhudia Diamond akiendelea kumgalagaza vibaya sana msanii anayekuwa overrated na mashabiki wake wakati uwezo wake ni butu.
Vipengele...
Kijana anayeiwakilisha vyema Tanzania kila kona ya dunia ameibuka tena na Tuzo mbili kama msanii bora Afrika kwenye tuzo za TOOXCLUSIVEAWARDS na msanii bora wa Afrika kwenye tunzo za TRENDS...
Hitmaker wa Mwana,Ali Kiba amedai yeye anamini kutoa nyimbo Mara kwa Mara ni kutojiamini na ufujaji wa kipaji.
Mwimbaji huyo ambaye amekuwa akishinikizwa na mashabiki wake kuachia wimbo mpya...
Habari wana Jf,
Mimi hupendelea burudani ya muziki mara nyingi nipatapo muda wa kupumzika,au hata safarini na huwa nafurahia nyimbo za aina zote ilimradi ziwe nzuri.Kwa muziki wa nyumbani...
"Siri ya Mtungi" ni tamthilia ya televisheni inayofurahisha, inayoonyesha maisha ya Cheche, mpigapicha mwenye bashasha na mmiliki wa Studio ya Kupiga Picha ya Mtungi. Ana mke mrembo, Cheusi...
ebhanaeeeee....
nimepakua hii ngoma just now aiseeee.... pini kali na bit mixer redeem imebamba matata. Video ina watoto wakali hatari, kiukweli video ipo kali mbayaaa ingawa AY kuna some movement...
Hellow,
Ni nyimbo ya bongo fleva iliokuwa iki-hit mwaka 2008 kwenye studio za eatv moja ya mistari yake inasema hivi,
"Skiza wimboo ooh na hii story nakumbuka maisha ya zamanii na hii story...."...
It's a sad truth that child actors invariably turn out to have difficult lives. But what of baby actors? Well, happily, things seem to turn out well for those who grace the big screen at a very...
Habari wadau wa JF.
Ninahitaji wimbo unaoitwa zao mtunzi ni Lady Jay D mwimbaji ni marehemu Nasma Hamis......
Tafadhali kama kuna aliyenao anitumie tafadhali....
Shukrani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.