MTAZAMO WANGU KUHUSIANA NA WIMBO WA IM SORRY JK.
________________________________
Kufuatia msanii Nick Mbishi kuitwa BASATA kwa kile kinachoelezwa kwamba kuhojiwa kutokana na nyimbo yake ya Im...
SORRY JK".... Nicki Mbishi.
Hook:
It will one day make sense/Nikisema hakuna president kama JK/
Tanzania inakumiss yaani daily/
Kwa niaba ya wabongo I'M SORRY JK/
Lyrics:1
I'm sorry JK nimeona tu...
Hili ni kati ya kundi bora kuwahi kutoa album kali miaka hiyo, nimezunguka library nyingi ili nipatiwe album yao ila sijafanikiwa , nipo SINGIDA kiukweli nimezunguka.
Baadhi ya nyimbo kali...
Wakuu juzi Kati nimetizama Video song moja kali Sana ya Latin America, sikumbuki Wasanii walioimba, ila Waliimba Wasanii 3 wa kiume, Video yake imeshirikisha watu wengi Sana mtaani, Na mwishoni...
kwa kifupi, huvi karibu baada ya Madee kuachiwa wimbo mpya na video yake msanii Ney wa Mitego amajitokez kuiponda kazi hiyo kwamba haina kiwango!! Binafsi nimeaikiliza kuitazama video wimbo hupo...
Naomba kwa mwenye kufahamu application nzuri ya kuangalizia mpira hasa wa ulaya anisaidie nidownload maana mazingira niliyopo nashindwa kuangalia mpira wakati ndiyo burudani yangu kuu baada na...
Nimemsikia afisa habari wa tff kuwa Serengeti Boys wataenda muhimbili kupimwa umri ndo mara yngu ya kwnza kuliskia hili binafsi labda ndo sabbu ya kushangaa wale wataalam wa afya ya binadam tupeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.