Kuna hii mistari ya huu muziki sweet mangi huu mwenzenu naipenda sana yani nikipiga huu wimbo najikutaga tu narudia rudia mara tatu tatu hapa anapoimba " sina takataka katapila kata Kila demu...
*Mama akiwa na mwanae walipitishwa na dereva tax mitaa ya wadada wanapojiuza....*
Mtoto: *mama hao wadada wanasubiri nn apo*
Mama: *wanasubiri waume zao watoke kazin wawachukue waende makwao..*...
Jamani kuna huu wimbo wa malaika, uliotungwa enzi hizo, malaika nakupenda malaika, wakenya eti wanadai ni wa kwao , wakati miriam makeba aliaknowledge kuwa wimbo huo ni wa tanzania, Inasemekana...
Filamu inaitwa QUEEN OF KATWE.Ni kisa cha kweli kinachoelezea historia ya binti wa miaka 10 (PHIONA MUTESI) anaeishi katika lindi la umasikini uliokithiri na mama yake (LUPITA NYONG'O )npamoja na...
Mwana Mama Connie Smith alipatwa na Mkasa wa Kuachwa na Mpenzi wake aliyeitwa Jimmy na aliamua kuimba wimbo kwa kusikitikia machungu yake...
Wimbo uliitwa Tiny blue transistor radio hizo Radio za...
Mnaikumbuka hii mistari katika wimbo wa Roma enzi hizoooo
" Bandugu bwaga manyanga ayaokote Magufuli,pesa za ujenzi wa shule kala na mkewe Headmistress,thamani ya mabango ya kampeni peleka watoto...
Ambwene Mwasongwe (mwamlenga) huyu jamaa anajua sana hakika amebarikiwa mno, kipaji chake anakitendea haki.
Nyimbo zake zote zinagusa sana moyoni na rohoni, zinaelimisha.
1-Misuli ya imani...
Kwenye ile orodha ya mashabiki wa damu wa Mwanahiphop Fid Q inabidi umuongeze na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambaye January 20 alitumia time yake kupost kipande cha video ya Fid Q...
Pamoja na changamoto za maisha ya sasa ya mpito, ninapenda ku share orodha ya nyimbo ambazo ziliwahi kuvuma na kusikilizwa pia kupendwa na takribani kila mwenye kusikia hapa TZ. Hii ni kwa sisi wa...
Kwa sie tuliokuwepo kipindi hicho, mtakubaliana na mimi kwamba hii collabo ilikuwa moto wa kuotea mbali, na mpaka leo ukiisikiliza bado ina ladha murua. I wonder huyu jamaa yuko wapi siku hizi....
PLOT
Movie inaanza Dominic Torreto(Vin Diesel) na dame wake, Letty(Michelle Rodriguez) wako somewhere kwenye nyumba yao ya ufukweni, Letty ni mjamzito, so wanajadili kuishi responsibly, majina ya...
wakuu kama kuna mtu anaijua movie flani hivi ya kivampire inayohusu mavampire wanaokunywa damu za binadamu na wengine wanokunywa damu za wanyama wa porini ambao waliingia katika bifu zito kisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.