[Verse 1]
Mujini Kipenzi, Silani Shilingi baby
Kupendana zamani ndo wanavyosemaga
Wazuri ni wengi, ila uongo mwingi baby
Wakishaviona vya ndani basi wanakumwaga
Ndo maana Ukichelewa dukani, mie...
Dj Khaled amezidi kuipa nguvu albamu yake mpya ‘Grateful’.
Rapper huyo ameamua kuwaongeza mastaa wengine wawili, katika albamu hiyo, wakiwemo muimbaji Rihanna na Rapper Nas. Khaled amesema...
Hii ngoma inaenda kumweka harmonize pamoja na richi mavoko kwenye level nyingne kabisa, ni bonge moja la ngoma...hongereni sana wasafi kwa hiki chakula bora kabisa cha maskio mliotupa shabiki...
Je ww ni msichana mwenye miaka 22-30..
Na unapenda kufanya shughuri za mitindo(modeling)...
Unapenda kusafiri nchi mbali mbali duniani?
Unajua English?
Una passport?...
Kama jibu ni NDIO basi uko...
Show inayoendelea sasa hivi,luh!Ni ubunifu mkuuubwa!Huyu jamaa Koyo ni hatari mno!!
Kwa mara ya kwanza,nawapongeza sana!
Ila akiingia wcb tu,kwisha habari yake!
Binafsi nazifahamu kama
1. Shooting the dogs
2. Hotel Rwanda
3. Sometimes in April
4. Kinywaranda
Naomba tupia na wewe unazozifahamu nataka kuzitafuta zoote, kuna funzo kubwa sana ndani yake.
Kama nilivyoeleza hapo juu, naamini naiweza sana hy kazi coz kila nikikaa na watu wengi hunishaur nifanye hy kazi kwan jinsi ninavyoongea hufurahia tatizo upande wangu nikisimama kwenye watu zaid...
Habari wana JF,Naitwa MC SIMON MZUNGU ni mshereheshaji (MC),mwigizaji na mwimbaji wa muziki wa injili Nawakaribisha kutazama&kusikiliza wimbo Wangu 'NI SIKU' ambao ni faraja katika changamoto...
Mwenye kufahamu wimbo wowote wa rumba au zuku ambao ulipata kufanya vizuri miaka ya nyuma aniandikie hapa jina la wimbo na la Msanii.
Zuku na Rumba.....
Aisee, kila nyakati na mambo yake, hivi mnakumbuka miaka ile tunajazana kwenye vibanda vya TV show kuangalia muvi?, alafu kuna baadhi ya filamu zilitamba sana miaka hiyo mfani
Arnold...
Msanii yule aliyetamba zamani kwa sauti na madaha ya aina yake arejea kwenye tasnia ya bongo flavour.
Mchana huu wimbo wake wa unanimaliza umetambulisha Cloud Fm.
"Ray C unanimaliza".....kila la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.