Sidhan kama kuna anayewakumbuka watu hawa Kizazi hiki, Miaka hiyo hasa sisi tunajitambua

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Kuna makundi ya hip pop yalikuwepo miaka hiyo ambayo yalikuwa na nyimbo zao nazitafuta hasa baada ya kuzipoteza nlipoenda Majuu miaka ya 2000s . hawa jamaa walikuwa hatari sana makundi kama GWM (Gangsters With Matatizo) Weusi Wagumu Asilia, watu kama akina Saleh Jabir,II Proud aka Mr II na walioimba wimbo kama ule wa "cheza mbali na kasheshe" , hoya msela, kidhaadhaa ( mashairi yake -

hatuna la kusema ,mtake mstake lazima mfuate haya ntakayoyasema,
hatutaki mmoja ampotee tunapenda wote,
ntakayosema ni mazuri kwa mtu yeyote,
ukimwi hatari, we utalala na nani,
aah jaman ,ujinga gani, huku kule bure epuka daddy sugar mummy,
amefanana na nyani,
aah jamani ujinga gani,
huku kule bure epuka.
 
yamenikuta mpaka navaa bukta... aisee hivi vibao ntavipata wapi? huu wimbo aliimba nani?
akili ni nywele nywele
kila mtu ana zake zake
kimpango wake wake.....


aisee kumbe kuna watu wa kale humu???????

Yamenikuta mzee mwenzagu
Sina changu
Wanga wengi anga zangu
Ukiishi kwa upanga
Utakufa kwa upanga
Akili ni nywele
Kila mtu ana zake
 
Hakuna kundi lililokuwa linanikonga na kunikosha Moyo wangu kama DIPLOMATS.....enzi zile kipindi cha MUZIKI MUZIKI kinarushwa na chaneli ya ITV.

hivi yuko wapi SIGON na mwanamuziki SOS B...!?

Nani wa kunikumbusha members wa kundi la MAWINGU..?
 
Mimi namkumbuka huyu hapa,
hivi anaitwa nani vile...ahaaaa kumbe unamjua

upload_2017-5-8_15-45-49.jpeg


upload_2017-5-8_15-48-56.jpeg

Kuna makundi ya hip pop yalikuwepo miaka hiyo ambayo yalikuwa na nyimbo zao nazitafuta hasa baada ya kuzipoteza nlipoenda Majuu miaka ya 2000s . hawa jamaa walikuwa hatari sana makundi kama GWM (Gangsters With Matatizo) Weusi Wagumu Asilia, watu kama akina Saleh Jabir,II Proud aka Mr II na walioimba wimbo kama ule wa "cheza mbali na kasheshe" , hoya msela, kidhaadhaa ( mashairi yake -

hatuna la kusema ,mtake mstake lazima mfuate haya ntakayoyasema,
hatutaki mmoja ampotee tunapenda wote,
ntakayosema ni mazuri kwa mtu yeyote,
ukimwi hatari, we utalala na nani,
aah jaman ,ujinga gani, huku kule bure epuka daddy sugar mummy,
amefanana na nyani,
aah jamani ujinga gani,
huku kule bure epuka.
 
diplomats umenikumbusha kundi lililokuwa likigonga vizuri sana miaka ile.
sijui waliishia wapi. kile kibao cha kukurukakara zako zitakuponza..................

Hakuna kundi lililokuwa linanikonga na kunikosha Moyo wangu kama DIPLOMATS.....enzi zile kipindi cha MUZIKI MUZIKI kinarushwa na chaneli ya ITV.

hivi yuko wapi SIGON na mwanamuziki SOS B...!?

Nani wa kunikumbusha members wa kundi la MAWINGU..?
 
yamenikuta mpaka navaa bukta... aisee hivi vibao ntavipata wapi? huu wimbo aliimba nani?
akili ni nywele nywele
kila mtu ana zake zake
kimpango wake wake.....


aisee kumbe kuna watu wa kale humu???????
Sina uhakika waliitwa GWM ft 2proud aka sugu
 
yamenikuta mpaka navaa bukta... aisee hivi vibao ntavipata wapi? huu wimbo aliimba nani?
akili ni nywele nywele
kila mtu ana zake zake
kimpango wake wake.....


aisee kumbe kuna watu wa kale humu???????
Hawakawii kukupakazia
Flan ana HIV wanapakaza hivi hivi
 
Hakuna kundi lililokuwa linanikonga na kunikosha Moyo wangu kama DIPLOMATS.....enzi zile kipindi cha MUZIKI MUZIKI kinarushwa na chaneli ya ITV.

hivi yuko wapi SIGON na mwanamuziki SOS B...!?

Nani wa kunikumbusha members wa kundi la MAWINGU..?
Khamsa swalawat muungwana kwa kwenda mbele huyu ndugu siku hizi.
 
Mimi namkumbuka huyu hapa,
hivi anaitwa nani vile...ahaaaa kumbe unamjua

View attachment 506282

View attachment 506283
Ana miaka chini ya 18 wanamwita malaya
Kila nikimtizama anatizama chini
Hana furaha moyoni
Ana huzuni maishani
Sitamwita kwa jina nitamwita bint fulani
Mchana mkikutana atakuita kaka
Na usiku mkikutana atakutaka
Sina hakika ameisha taka wangapi
Na atauwa wangapi
Alizaliwa ndani ya bongo
Mara tu alipovunja ungo
Wanaume wengi walimfuata na maneno ya uongo
Wakapata walichotaka
Sasa wamemchoka
Hali mbaya mambo magumu
Hakumbuki tena parfume
Na mara nyingi amejaribu kunywa sumu
Sasa chuchu si saa sita tena
Hana cha kuringa tena
Watu wanamwita malaya
Hata mini skirt zina mpwaya
Na wala hana ndoto tena za kwenda ulaya.
Wanakwita malaya sababu unatoa penzi
Sisi wanamume wengi ni washenzi
Vipi wanavyowaita madada zao nyumbani.
 
Hakuna kundi lililokuwa linanikonga na kunikosha Moyo wangu kama DIPLOMATS.....enzi zile kipindi cha MUZIKI MUZIKI kinarushwa na chaneli ya ITV.

hivi yuko wapi SIGON na mwanamuziki SOS B...!?

Nani wa kunikumbusha members wa kundi la MAWINGU..?
SIGON sasa hivi Bonge la shekhe mwanaharakati wa dini yupo Redio Imani Morogoro.
Anakuwaga ktk kipindi cha magaze asubuhi na kopindi cha Sabahu lkhairi (asubuhi njema)
 
SIGON sasa hivi Bonge la shekhe mwanaharakati wa dini yupo Redio Imani Morogoro.
Anakuwaga ktk kipindi cha magaze asubuhi na kopindi cha Sabahu lkhairi (asubuhi njema)
Huyo SAIGON ndo yule alikuwa anatangaza kipindi flani EATV zamani kidogo.
 
kama nilivyosema sasa nakuja..nakujaa'
kama nilivyosema sasa naanaaahh...
 
Back
Top Bottom