Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Aisee, kila nyakati na mambo yake, hivi mnakumbuka miaka ile tunajazana kwenye vibanda vya TV show kuangalia muvi?, alafu kuna baadhi ya filamu zilitamba sana miaka hiyo mfani Arnold...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msanii yule aliyetamba zamani kwa sauti na madaha ya aina yake arejea kwenye tasnia ya bongo flavour. Mchana huu wimbo wake wa unanimaliza umetambulisha Cloud Fm. "Ray C unanimaliza".....kila la...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
JAPAN: Mwanamke wa miaka 82, Sumiko Iwamuro ajipatia umaarufu baada ya kusifika kwa kupiga muziki katika ukumbi mmoja wa starehe katika viunga vya Jiji la Tokyo. Mwanamke huyo maarufu kama DJ...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wa Jamii Forum,Nikiwa mmoja wa members Nimetoa nyimbo yangu inaitwa 'NI SIKU'Nimemshirikisha Julieth,Naomba support yenu kwa kusikiliza na kutoa ushauri zaidi sambamba na ku-share kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa wale wapenzi wa nyimbo za billboard chart,UK.top 40, na Electronic dance music (EDM SONGS) mpya mpya na kali za hatari angalia hapa kisha tafuta upakue ..hutajuta... N.B..sio kila wimbo mpya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Msanii dogo Skide ametoa nyimbo ya kumdisi msanii harmorapa kwa kuongea maneno ya kejeli na kuchekezha.. Ongeza maisha hapa...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Watu wanaoridhishwa na kazi zinazofanywa na awamu ya tano ni wengi kuliko wachache wanaokerwa. Watu wenye maadili na wasiopenda matusi kwenye nyimbo ni wengi kuliko wahuni. Wanaofurahi na wenye...
0 Reactions
4 Replies
782 Views
Wakuu kama heading inavyojieleza... Niwapi pazuri kufurahia yani ukiwa na watoto watafurahia michezo nahata wakubwa pia ukiachilia mbali Funny city na Jangwani see breez... Msaada tafadhari wakuu
4 Reactions
18 Replies
7K Views
Wadau nimekumbuka sana huo wimbo pamoja na albamu yake yote. Ni wimbo wa kihehe nakumbuka enzi zile miaka ya 1994,1995 ulikua huwezi kwenda kwenye harusi yoyote bila wimbo huo kupigwa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
NI nyimbo gani ukizisikia unahisi kutokwa machozi??....nimejaribu kutengeneza list ya nyimbo 10 ambazo zinasikitisha zaidi....kama hujakubaliana na list jaribu kuweka ambazo unaona zinasikitisha...
6 Reactions
189 Replies
25K Views
Mhh, huu wimbo balaa. Vijana wamecharuka wamechokozwa sasa wanajibu kwa sanaa!
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Kazi yako ya Nisaide kushare imesimama sana bro, hongera sana. Umeonesha kwamba wewe ni mkongwe katika hip hop, huyumbi na hugeuki. Kaa hata mwaka mzima lakini ukija kurealese unafanya ile kitu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Is Kendrick Lamar the best rapper ever..!? If yes,then why..!? If no,then why and who do you think is the best rapper ever..!?
4 Reactions
44 Replies
4K Views
Hebu tukumbushane nyimbo Kali zilizovuma kipind hicho Yangu ni Password
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Mambo anayotufanyia mtangazaji Wa sibuka FM, in mambo ya ajabu anaacha kutangaza Mpira anatangaza matukio. Sio lazima kama hamna uzoefu Wa kutangaza Moira sio lazima mpekeke mtangazaji ni bora...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Unawapa ngapi..?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Pasaka hii Harmorapa kuweka historia! Kushuka na Helikopta Dar Live! Mashabiki wake wa mwanzo kuingia BURE! Wengine kiingilio shs 5000 tu!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ninashangazwa sana na sanaa za kibongo,kwani hasa hawa wasanii wanafanyaje? EDITOR: Computer inayoedit pentium R ya 2002. Editor wenyewe ana muongozo wa kutia vinanda badala ya track. Vipande...
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Kwa mara ya Kwanza nimekuwa shabiki wa huyu kijana hii nyimbo aliotoa ukiwezekana ufike mbali very inspirational song....most of da time we miss the moment not a person....aslay ameweza kuongelea...
3 Reactions
4 Replies
6K Views
Back
Top Bottom