Ni aina gani ya muziki inatutambulisha sisi kama watanzania?

Mzee wa hat-trick

JF-Expert Member
Nov 21, 2016
1,730
2,388
Nimekaa na kujiuliza sana ni aina gani ya muziki ambayo ni identity yetu kama watanzania, nikakosa jibu. Kwaito ni South Africa, Reggae ni Jamaica etc, sisi ni aina gani ya muziki ikipigwa tunasema ni wetu? Au singeli hahahahahaha!
 
Sisi asili yetu kukopi, ukiona mziki ambao ni mix mix ya Nigeria ,USA, South Africa ujue hiyo ni HIT kutoka bongoland
 
Bongo fleva!!! Taarabu

Ukiangalia kwenye encyclopaedia encarta wameweka Taarabu kama mziki wa Tanzania.
 
Mi nadhan nyimbo ya CCM mbele kwa mbele ndio inatutambulisha vyema
 
Haha...sisi hatujawa na mziki ambao upo consistent.....stail mbalimbali zinakuja na kupotea.walikuwepo wali wakina Marijani...na zilipendwa zao.....,Kuna wakina Kalikawe na regge ya kbongo...huyu nae alipotea na mziki wake, mduara na wenyewe ulikuwepo, ulipata umashuhuri sana....taarabu...wakina mzee Yusuph...siku hizi huu mziki nao umefulia....watu wa kizazi kipya....hawa nao ni mixture tu.....yaan ni full mchanganyiko....sasa hivi Kisingeli.....sasa hapa kweli tunaweza kuwa na aina moja ya mziki.....?Mziki wetu umekosa identity mfano mziki wa kisouth Africa...unaskika tu...Wakongo hao ndo noma sasa..Sis bado
 
Mziki wa dansi....ddc mlimani park..msondo ngoma....juwata...na wengine wengi....lakn wamepotea sokoni...tatizo hawataki kuwafundisha vijana....wanataka wapige wao tu.........mpaka wafe....du
 
Nimekaa na kujiuliza sana ni aina gani ya muziki ambayo ni identity yetu kama watanzania, nikakosa jibu. Kwaito ni South Africa, Reggae ni Jamaica etc, sisi ni aina gani ya muziki ikipigwa tunasema ni wetu? Au singeli hahahahahaha!

Hakuna muziki Tanzania kuna uwenda wazimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom