TUNAJIFUNZA NINI JUU YA HIII SIMULIZI.
Siku moja jioni Rais Obama alimshauri mkewe wakale dinner mtaani huko Washington ktk mgahawa wowote wa watu wa kawaida. Wakakubaliana kisha Obama akatoa...
Madirector na watunzi wa hizi story katika hizi movie, Constantine (2005), The Devil's Advocate(1997), kuna siri gani nzito walitaka kufikisha katika hadhira husika, au ni ujumbe gani walitaka...
Nikiwa kama mpenzi wa action movies hasa upande wa superhero nataka nipate maoni yupi ni bora zaidi baina ya hawa jamaa wawili Batman vs Superman. Kwa upande wangu nimfuatiliaji mzuri wa movies za...
Kama wewe ni bedroom producer and unahitaji VSTs yoyote kati ya hizi and umeshindwa jinsi ya kuzipata nicheck ntakupa.
N.B (Sio bure)
Nexus 2
Ominisphere 2
Xpand 2
Applied Acoustics Lounge Lizard...
1. Sipendi kuamini Hip Hop katuni imekufa baada ya Mr. Ebbo kufariki.
2. Nimetafuta collection ya nyimbo za Mr. Ebbo kama Mi Mmasai, Watu bans, ....
3. Zinavutia sana.
4. Hawa watoga masikio na...
Wanajamii kama Heading inavyosema nisaidieni Mwenzenu Nahitaji nyimbo za kwaya/Dini ya Roman Catholic kama unazo nisaidie ku upload hapa nami nitasave!
Mbarikiwe katika Jina La Bwana!
MKATOLIKI
1. Sipendi kuamini Hip Hop katuni imekufa baada ya Mr. Ebbo kufariki.
2. Nimetafuta collection ya nyimbo za Mr. Ebbo kama Mi Mmasai, Watu bans, ....
3. Zinavutia sana.
4. Hawa watoga masikio na...
Kuna muvi moja hivi imechezwa na watoto 7, enzi za utotoni tuliita laki 7 ila jina halisi sikumbuki. Kwa anaeifahamu kwa jina lake halisi anitajie niitafute net. Naomba msaada
#kusema kwamba nyie wasanii mmeishiwa mashairi au mnafanya ili mradi ni mziki, eti #TUPO_BONGO_BAHATI_MBAYA_TU. Kusema kwamba huyu msanii yeye so wa nchi hii mpaka akafika hapa Tz alipotea mpaka...
Hbr za mchana,
Naomba kujua wap nitapata magoli na wavu wa volleyball , nimezunguka maduka kadhaa ya michezo bila kufanikiwa. MkInitajia na gharama zake nitashukuru zaid
Kumekuwa na nyimbo zikitolewa za madj na maproducer kuwashirikisha wasanii waimbaji na wao hawaimbi kabisa kwenye nyimbo hizo mfano wimbo wa DUAS wa LEGENDARY BEATS FT VANESSA MDEE , I GOT THE...
Eti kiitikio kinasema " excuse me can i get number can i get ur number"
halaf mashairini sasa eti naomba usiniache mpenzi wangu tupendane .....cjui nini brah brah...
sasa joh kivipi mtu akuache au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.