Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Tutafute maisha tuwezavyo ila tusisahau kuishi ya duniani; maana mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa. Kule ni kuimba, kusifu na kumuabudu Mungu tuu😍📌 Weekeend murua🔥🔥🔥🔥🔥
11 Reactions
72 Replies
4K Views
Habari ya humu wanandungu natamani kuifata furaha yangu ilipo ki ukweli napenda sana michezo ya magari I mean rally na drifting pia sasaa naomba kupata hiyo company humu jf.
2 Reactions
5 Replies
598 Views
FACT!
2 Reactions
3 Replies
907 Views
Hivi ile nyimbo ya kikongo ipo slow hivii Huwa nasikia "Mai Mai Mai Mai , mai Mai Mai , dangai Mai mai" wajuvi washaijua hivi kaimba nani na inaitwaje tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KOSA LANGU - 01 Ilikua asubuhi nzuri sana iliyojaa uchangamfu wa aina yake. Hali ya hewa ilikua rafiki kwa kila mtu, mawingu mazito yalitanda anga zima la jiji la Dar es salaam na kulimeza jua...
4 Reactions
56 Replies
14K Views
Wana msemo wao wanasema "eyes wide shut"; ni "wide" (wazi) lakini hapohapo "shut" (yamefungwa) Yaani wanadai tuko "macho kodo lakini hatuoni" Na ndio maana wanatuita "sheeple" au kondoo; na pia...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
SIMULIZI FUPI - CHOZI LA FURAHA Nilishuka garini nikiwa na furaha,hii baada ya kutoka likizo baada ya miezi sita ya kukaa chuoni.Mtu wa kwanza kumuoana alikuwa ni mama yangu ambaye alikuwa...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
Subalkheri ndugu zangu, Naomba yeyote mwenye wimbo wa gwiji Frank Humplink (1927 - 2007) anisaidie. Lengo la kutafuta wimbo wake ni kuutumia kufundisha darasani mchango wake wakati wa kupigania...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hapa Makambako mi mgeni Ebu nipeni location za viwanja vikali # viwanja matata #viwanja vilivyo changamka # viwanja vya pombe #viwanja vyenye misosi na choma Sehemu fulani amazing
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mganga wa jadi nchini Ghana ameibuka na kudai kwamba yeye ndio alisababisha mchezaji wa zamani wa Chelseafc, @MichaelEssien kushuka kiwango. Mganga huyo wakati anafanya interview na mtangazaji...
0 Reactions
2 Replies
891 Views
Orodha Ya Album Za Bongo fleva Zilizosikilizwa Zaidi Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Spotify. 1. #ABoyFromTandale -Diamond Platnumz Streams 30.4M 2. #SoundFromAfrica -Rayvanny Streams...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mondi kama Mondi, Hakuna kipya humu just same Mondi akiendeleza kazi yake ya Muziki. Kusema ukweli mwamba amefikia hatua hata siku akiachia clip anapiga muayo usishangae ikaenda on Trending na...
1 Reactions
4 Replies
874 Views
Nimeona Leo nyimbo 2 za Diamond Platnumz zikichezwa
2 Reactions
3 Replies
971 Views
APPLE-01 NA Tumain Ernest Stanslaus Test van pream(Tvp) Phone;0684024387 ‘’Narudia tena, siwezi kumuamini mwanamke yeyote hapa duniani hata siku moja , labda mama yang utu ambaye kidogo nayeye...
3 Reactions
30 Replies
8K Views
Nikki wa Pili kwa Mara ya kwanza aliingia studio na kufanya kolabo na Joh Makini mwenye wimbo wa Niaje Nivipi na nathubutu kusema sijawahi kusikia mashairi mazito na yenye ujumbe kama haya katika...
5 Reactions
45 Replies
7K Views
Kamwene wakuu. Wakati tukiwa tunaendelea na riwaya ya 'Mkono wa Chuma' iliyotungwa na Alex Kileo, kwa mara nyingine napenda kuwakaribisha tena katika riwaya nyingine ya kusisimua. Riwaya hii mpya...
17 Reactions
860 Replies
127K Views
Habarini wanajamvi: Hakika kwa mafanikio ya hii album ya RAYVANNY-SOUND FROM AFRICA na diliki kusema kuwa GRAMMY AWARD huu mwaka RAYVANNY atabeba kiuraini na pia kuchukua MTV MAMA Kama listener...
1 Reactions
56 Replies
7K Views
Huwa najiuliza hili swali mara kwa mara wakuu, leo lazima mnipe majibu mtake msitake. Hivi ni kwanini kwenye show za Michael Jackson watu walikua wanazimia. Katika nyimbo zote basi huu wimbo...
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Sikiliza Video clip hii - hawa ni Orchestre Kiam wimbo unaitwa Moni. Sikiliza kutoka 6:40 hadi 7:50
0 Reactions
6 Replies
878 Views
Back
Top Bottom