Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,503
- 14,789
Ikiwa imepita miezi kadhaa baada ya kuachia album yake ya sound from Africa, usiku wa tarehe 28 Oct rayvanny ameamua kuachia EP yake ikiwa na jumla ya nyimbo 6 na dikika 19 za kusikiliza, mimi nimefanikiwa kuisikiliza album hiyo, cha kwanza asilimia 60 ya lugha iliyotumika ni kiingeleza naona hapa rayvanny ametarget soko la kimataifa zaidi