Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Je simu yako Ina uwezo wa ku run game zenye nafasi kubwa kuanzia 1GB na kuendelea!?? Nakupa list ya game nzuri kwa huu mwaka 2021 1:TRAINZ SIMULTOR 3 2:OFF ROAD TRUCK 3:.......... Fuatilia hii...
1 Reactions
2 Replies
670 Views
Big brother Naija inaisha leo tuendelee kupeana taarifa nani atanyakua kitita cha pesa siku ya leo na kupata umaarufu na pesa
1 Reactions
2 Replies
882 Views
Ni kwa namna gani mtu anaweza kutengeneza kama film yenye viwango vya juu pia vile vile yenye na maudhui mazuri ili kuwavutia watazamaji wa kazi hio, mtu anatakiwa atumie mbinu zipi kuhakikisha...
1 Reactions
1 Replies
643 Views
Kwa Jinsi ligi kuu bara ilivyoanza na jinsi ushindani unavyoendelea ni mambo mazuri sana. Nazipongeza sana Club ndogo kwenye ligi hii ambazo watanzania wengi walizoe kuona zikifungwa magoli Mengi...
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Yule Mjivuni akamsogelea Umsolopogas aliyekua amesimama kwenye njia ya kuingilia nyumba ile walimofikia na mizigi yao, akamwambia 'Wee Mtumwa hebu nipishe nipite nimesha wapa habari ya ujumbe wa...
5 Reactions
133 Replies
17K Views
Drive simulator 2020 Game nzuri kwa simu yako , unaweza review hapa Link: https://youtube.com/channel/UCT8J1d72PZTPhPle0pF400g
1 Reactions
9 Replies
2K Views
MUZIKI WETU. ---------------------- ALBAMU 50 MAARUFU ZILIZOUNG'ARISHA ZAIDI MUZIKI WA KIZAZI KIPYA. (BONGO FLEVA) Bado tunaendelea kuwaletea mwendelezo wa Makala zinazozungumzia kumbukumbu za...
5 Reactions
27 Replies
8K Views
Mwaka 1985 magwiji hawa wa muziki walitoa collabo inaitwa’That is what frieds are for’.
0 Reactions
0 Replies
504 Views
Kama wewe ni mwanamuziki au ni mpigaji wa chombo chote cha mziki iwe gitaa, kinanda, saxophone, drums, flute, marimba,tarumbeta, na vingine vingi karibu tupeane uzofu wa masuala yote yahusuyo...
3 Reactions
25 Replies
47K Views
Simulizi: MPAKA KIELEWEKE Mwandishi: NIRA SAIRE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Nilikuwa nimeongozana na mke wangu tukitokea dukani eneo lile la ugenini nikiwa busy kwenye simu...
3 Reactions
130 Replies
20K Views
Men, unaweza kumwambia mwanaume mwenzio "I Love You"? Embu chukua simu yako nenda kwenye sehemu ya kuandika ujumbe mfupi mwandikie rafiki yako wa Kiume, Anza na salamu, umwambie you Love him then...
0 Reactions
3 Replies
810 Views
Msaada wa hii nyimbo ya kikorea kwa anayejua Nani kaimba na jina la wimbo
0 Reactions
6 Replies
2K Views
a thread for all DJs and Mcs around East Africa to show their performance content and cross share ideas among us during this hard times.welcome all🙏🙏🙏
2 Reactions
4 Replies
830 Views
Kwa heshima na taadhima namleta kwenu kijana wangu Imuh Zuzu na ngoma yake ya Endelea. Ni upcoming artist bado ana safari ndefu sana, hivyo nawaomba support ngoma yake hii kwa kuisikiliza tu na...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Are you ready to run the show? You want this, don't front Que Que Que... Speak up cual es la cosa... Ven aqui let's get closer and closer... Bite your lips cause you know that you feel it...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni kipindi kilichojaa ubunifu mkubwa na burudani za kutosha. Ikiwa ni ep ya pili tu tayari The MVP lil ommy ameprove kwamba yeye ni king katika industry ya burudani akiwa sambamba na Ray Mshana na...
1 Reactions
45 Replies
7K Views
August Alsina kuacha kufanya muziki? Staa wa Pop na Rnb kutoka Marekani @augustalsina Ametangaza kuwa kazi zake mpya zijazo ndio za mwisho kutoka kwake baada ya hapo ataacha kufanya muziki. - Ktk...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtangazaji wa Wasafi TV, Mo Town Sanya kahama Wasafi TV kwenda Clouds Media. Wataalamu wa hizi kazi iko ikoje hii? Nasubiri comment zenu.
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom