Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,141
- 20,787
Mwaka huu imetimia miaka 17 tangu tumpoteze gwiji wa muziki mnamo mwaka 2004 na kuzikwa makaburi ya kinondoni. Nataka tujadili uwezo na mchango wa Ndala Kasheba kwenye muziki wa Tanzania.
Kwa kuanza nataka tuwekane sawa kuhusu baadhi ya kazi zake. Mfano wa Kwanza ni Wimbo wa kumuaga mama Maria Nyerere ...mwaka 85. Wimbo huu kuna magita ya solo mawili. Solo ya Kwanza kapiga Ndala na solo ya pili kapiga Nguza. Ni hatari Sana wazee...😄
Karibuni tushee notice.
Kwa kuanza nataka tuwekane sawa kuhusu baadhi ya kazi zake. Mfano wa Kwanza ni Wimbo wa kumuaga mama Maria Nyerere ...mwaka 85. Wimbo huu kuna magita ya solo mawili. Solo ya Kwanza kapiga Ndala na solo ya pili kapiga Nguza. Ni hatari Sana wazee...😄
Karibuni tushee notice.