Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

''Kuna watu inawezekana tumejuana kwa kutuona kwa mitandao humu na ndio maana wakati mwingine wanatutukana! Muungwana anapokea kila aina ya matusi na anamshtakia Mungu tu! Safari yetu wengine...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Jamani naomba mtu anayemkumbuka mwandishi wa riwaya ya kitambo kidogo inaitwa USHINDI WA MAHABA. Actually, niliisoma nikiwa darasa la kwanza nikaisoma tena form two na sasa natamani kuisoma tena...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Hii truck aliimba nani msaada anayeijua anisaidia jina aliyeimba.
0 Reactions
3 Replies
587 Views
Wakuu series yetu pendwa season ya 5 volume one imetoka, Wenye Netflix wanafaidi, hivi hakuna njia ya kimagumashi ya kuipakua for free
4 Reactions
71 Replies
12K Views
Hii movie naweza irudia hata mara mbili ingawa unatakiwa uangalie the begining ndo uelewe final part Yaan iko hivi jamaa anaitwa himura ni bwana mdogo tu lakini mwenye skills za juu kwenye...
7 Reactions
45 Replies
6K Views
Kama leo upo off home kwako na mpenzi wa movie na animation Either Action, Horror, Criminal and Sci-fi Hizi ni moja ya movie unaweza maliza nazo wikiendi yako Sweet Baby 2021 Fatherhood 2021...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Mbona nyimbo zao hatuzioni Kwenye hizi tv zetu? Je, Hao wachina mziki wao wa asili Huimba kwa style gani? Je, huimba kwa Kufoka foka Kama wanaHIPHOP? Au kugani Kama kina mrisho mpoto? Au...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Vipi mnao fuatilia hii series je kuna vipande vya kingereza mnipi link nivipakue?
3 Reactions
13 Replies
11K Views
Wasalam wanajukwaa Ni hadithi, simulizi, riwaya au hata chombezo umewahi kuisoma humu JF ambayo unaona ndo bora kabisa kuwahi kuisoma katika maisha yako? Ni ipi simulizi, riwaya au hadithi bora...
2 Reactions
94 Replies
34K Views
Kusema ukweli mwamba amefikia hatua hata siku akiachia clip anapiga muayo usishangae ikaenda on Trending na ikawa hitsong sijui hitclip 🤠 Hii banger nadhani tageti yake kubwa ni Intaneshino na...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nina furaha sana huwa nikimuona Chid anachokifanya kwa sasa, Maana tunajua vyema alipokua ametoka then akapata changamoto na sasa kasimama upya, sio rahisi. Kama unatembelea mitandao ya Chid...
1 Reactions
1 Replies
552 Views
Nazungumzia Hip Hop sio zile zisizoeleweka, huyu jamaa ni hatari sana, sikiliza nyimbo zake YouTube, just search Dizasta Vina halafu njoo useme neno. Baadhi ya kazi zake; 1. Siku Mbaya [emoji117]...
5 Reactions
51 Replies
20K Views
Hivi kati ya huyu Wizkid anaejiita Star Boy na Davido nani mkali kwenye nyanja zote za Muziki kuanzia Afrika na nje ya Afrika, Nani zaidi Wizzy au Davido
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Leta DJs wote bongo, ila ikija kwenye mixxin za Amapiano hakuna kama DJ Baffy. Kifupi ndio DJ namba moja wa kutwanga amapiano. Dondosha amapiano yako uliyoielewa baada ya kuisikia kwa Dj Baffy.
4 Reactions
37 Replies
8K Views
"Every to hours America Today child dies of gunshot wound!? "Is scared they what family planning to work or behavior" Tuendelee kuchezea Label ya "tanzania mpya" na "tanzania ni nchi ya amani"
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Vile vianduje hakika wanafiti kila angle na mojawapo ni zile nyimbo zilizopo kwenye series zao hasa za love story. Naomba tuweke hapa nzuri ili nipate kuziweka kwa playlist yangu.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Huwa nyimbo za Mayaula Moyoni zinanipa sana wakati mgumu, nikizisikia tu namkumbuka Marehemu Mama angu, alipenda mno nyimbo za Mayaula Moyoni kibao kama Ko Tika Te, ni kibao alicho kuwa anapenda...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Msanii Wizkidayo Ameweka Rekodi Ya Kuwa Msanii Muafrika Wa Kwanza Kufikisha Zaidi Ya Streams Milioni 300 Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Audiomack, Audiomack Wameshare Taarifa Hiyo Katika...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Embu character gan unamkubali humu katika series ya See mimi binafsi namkubali tamactic jun (witchfinder ) na Baba Voss Hii ni moja ya series bora kabisa ila yule queen alipomwambia harlan...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom