''Kuna watu inawezekana tumejuana kwa kutuona kwa mitandao humu na ndio maana wakati mwingine wanatutukana! Muungwana anapokea kila aina ya matusi na anamshtakia Mungu tu! Safari yetu wengine...
Jamani naomba mtu anayemkumbuka mwandishi wa riwaya ya kitambo kidogo inaitwa USHINDI WA MAHABA. Actually, niliisoma nikiwa darasa la kwanza nikaisoma tena form two na sasa natamani kuisoma tena...
Hii movie naweza irudia hata mara mbili ingawa unatakiwa uangalie the begining ndo uelewe final part
Yaan iko hivi jamaa anaitwa himura ni bwana mdogo tu lakini mwenye skills za juu kwenye...
Kama leo upo off home kwako na mpenzi wa movie na animation Either Action, Horror, Criminal and Sci-fi Hizi ni moja ya movie unaweza maliza nazo wikiendi yako
Sweet Baby 2021
Fatherhood 2021...
Mbona nyimbo zao hatuzioni Kwenye hizi tv zetu?
Je,
Hao wachina mziki wao wa asili Huimba kwa style gani?
Je, huimba kwa Kufoka foka Kama wanaHIPHOP?
Au kugani Kama kina mrisho mpoto?
Au...
Wasalam wanajukwaa
Ni hadithi, simulizi, riwaya au hata chombezo umewahi kuisoma humu JF ambayo unaona ndo bora kabisa kuwahi kuisoma katika maisha yako?
Ni ipi simulizi, riwaya au hadithi bora...
Kusema ukweli mwamba amefikia hatua hata siku akiachia clip anapiga muayo usishangae ikaenda on Trending na ikawa hitsong sijui hitclip 🤠
Hii banger nadhani tageti yake kubwa ni Intaneshino na...
Nina furaha sana huwa nikimuona
Chid anachokifanya kwa sasa, Maana tunajua
vyema alipokua ametoka then akapata
changamoto na sasa kasimama upya, sio rahisi.
Kama unatembelea mitandao ya Chid...
Nazungumzia Hip Hop sio zile zisizoeleweka, huyu jamaa ni hatari sana, sikiliza nyimbo zake YouTube, just search Dizasta Vina halafu njoo useme neno.
Baadhi ya kazi zake;
1. Siku Mbaya [emoji117]...
Hivi kati ya huyu Wizkid anaejiita Star Boy na Davido nani mkali kwenye nyanja zote za Muziki kuanzia Afrika na nje ya Afrika, Nani zaidi Wizzy au Davido
Leta DJs wote bongo, ila ikija kwenye mixxin za Amapiano hakuna kama DJ Baffy.
Kifupi ndio DJ namba moja wa kutwanga amapiano.
Dondosha amapiano yako uliyoielewa baada ya kuisikia kwa Dj Baffy.
"Every to hours America Today child dies of gunshot wound!? "Is scared they what family planning to work or behavior"
Tuendelee kuchezea Label ya "tanzania mpya" na "tanzania ni nchi ya amani"
Vile vianduje hakika wanafiti kila angle na mojawapo ni zile nyimbo zilizopo kwenye series zao hasa za love story.
Naomba tuweke hapa nzuri ili nipate kuziweka kwa playlist yangu.
Huwa nyimbo za Mayaula Moyoni zinanipa sana wakati mgumu, nikizisikia tu namkumbuka Marehemu Mama angu, alipenda mno nyimbo za Mayaula Moyoni kibao kama Ko Tika Te, ni kibao alicho kuwa anapenda...
Msanii Wizkidayo Ameweka Rekodi Ya Kuwa Msanii Muafrika Wa Kwanza Kufikisha Zaidi Ya Streams Milioni 300 Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Audiomack, Audiomack Wameshare Taarifa Hiyo Katika...
Embu character gan unamkubali humu katika series ya See
mimi binafsi namkubali tamactic jun (witchfinder ) na Baba Voss
Hii ni moja ya series bora kabisa ila yule queen alipomwambia harlan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.