Wasanii waliotazamwa sana ndani ya mwezi wa kumi katika mtandao wa YouTube

Chaos Master

JF-Expert Member
Jul 7, 2021
636
1,304
Hii Ndio List Ya Wasanii Waliotazamwa Zaidi Katika Mtandao Wa Youtube Kwa Mwezi Wa Kumi Kwa Mujibu Wa @chartdatatz

1. Diamond Platnumz - 33.6M
2. Rayvanny 20.9M
3. Alikiba 13.6M
4. Harmonize 11.8M
5. Zuchu 11.4M
6. Mbosso 11.3M
7. Lavalava 4.77M
8. Nandy 4.73M
9. Macvoice 3.1M
10. Marioo 2.9M
 
Demu wangu ameniacha baada ya kumaliza masomo yake ya chuo UDSM July 2021.

Sijui sababu nini. Simu zangu hapokei. Message hajibu.

Nataka nimtongoze rafiki yake kama sehem ya kupunguza machungu, manzi nae ananikwepa tu.
 
Back
Top Bottom