Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Anaitwa Swabrina Ghalibu huyu atakuwa ni msichana wa kwanza kabisa kufanya kazi Mortuary akiwa na Umri mdogo ana Miaka 19 Atakuwa anatunza miili ya binadamu Mortuary na kuifanyia kila Taratibu...
6 Reactions
84 Replies
16K Views
Mkurugenzi wa bendi ya fungakazi modern taarab kapteni abdalla temba wamejikuta wakichambana na mkurugenzi wa bongo modern taarab anayejiita senior bachelor Hii imetokea baada ya senior bachelor...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari zenu, kama ilivyozoeleka wasanii hupendelea kutafuta location nzuri kwa ajili ya ubora wa kaz zao. Miongoni ya vivutio ndan ya jiji la Dar ni daraja la Kigamboni. Mi natabiri Diamond...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Unanishangaza wewe ni meneja wa wanamuziki wengi tu kama Madee, Tundaman, Shaa na Dogo janja. Inakuwaje Diamond peke yake ndio unampromote sana kuanzia ubora wa video show kumtafutia nje mpaka...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Steve C Kanumba (R.I.P) ni jina lake halisi ambalo alivuma nalo, ni wasanii wachache sana wanaoweza kutokea kwa mtindo huu, hata yule aliyekuwa naye usiku wa mauti yake anajulikana kwa jina lisilo...
0 Reactions
22 Replies
19K Views
Kama inavyojieleza
1 Reactions
35 Replies
7K Views
Niaje wakuu, Bila shaka kwa wale wapenzi wa hiphop mnaielewa vizuri hii ngoma ya stamina alioshirikisha vichwa kibao ambapo Fid a.k.a kaka mkubwa amesimama kama dingi yake stamina. Swali ni kwamba...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Bandugu, Kuna hii jingle ya Cocacola iliyofanywa na msanii Diamond Platnumz naisikia mara kwa mara kwenye vituo vya redio. Ameimba kwa Kiswahili, sijakariri maneno ila yapo, 'Sikamatikiii...
0 Reactions
20 Replies
29K Views
Hii redio ndio maaana waligombana na wasanii fulani hivi kuna siku walifanya interview na msanii wa miziki ya kufokafoka a.k.a Hip Hop/Rap anaitwa Mansuli yaani wamefanya dakika 5 basi ikaishia...
3 Reactions
24 Replies
10K Views
Angel Benard - Salama (Official Video):
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Collabo ya Diamond na Mafiizolo ambayo inatoka hivi aribuni mwezi huu inategemewa kumfikisha mbali zaidi Diamond. Kwa mtazamo wangu hii video na wimbo kwa ujumla itaweka rekodi mpya ya views...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Kheri Sameer ambaye wengi tumemzoea kwa jina la Mr Blue, leo April 14 2016 hatimaye ameamua kufunga ndoa na mama wa watoto wake Waheeda. Mr Blue amefunga ndoa na...
3 Reactions
117 Replies
26K Views
Mjasiriamali maarufu mjini , zari amefunguka kuwa masikio yake pamoja na ngozi yake nyororo amerithi kutoka kwa babu yake ambaye ni mwarabu aitwaye sultan
2 Reactions
23 Replies
6K Views
  • Closed
Imenifika hapa.... Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador. Hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni Diamond tu kila tangazo inakera sana hii...
8 Reactions
238 Replies
22K Views
Igweeeeee..... Leo katika pitapita zangu nilisikia wimbo flani ulioimbwa na vijana waliovuma miaka ya nyuma, PNC, DOGO JANJA, CASSIM MGANGA, Z-ANTO na PINGU, kawimbo kalikuwa kanamsifia sana...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Huu ndo mjengo na baadhi ya magari anayomiliki mtangazaji wa times FM , Dida Shaibu... ================================ ================================ Monday, August 4, 2014 DIDA WA TIMES FM...
2 Reactions
55 Replies
38K Views
Hawa wasemaji wawili wa Simba na Yanga wana sifa inayofanana,hakuna asiyejua sakata la Jerry Muro aliwai kushitakiwa kwa makosa ya kuombaa rushwa mwaka 2010,na mwaka huohuo 2010 Haji Manara...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani huyu mdada huwa ananiacha hoi jinsi anavyoongea na misemo anayotoa pamoja na anavyorembua macho na mikono anaitingisha kwa madaha mwenzenu niko taabani,mfano juzi nilimsikia akisema...
0 Reactions
73 Replies
46K Views
Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Aliyekuwa nyota wa filamu za ngono Amber Rayne amefariki nyumbani kwake mjini Los Angeles ,maafisa wamethibitisha. Marafiki na waliokuwa wafanyikazi wenzake...
3 Reactions
98 Replies
40K Views
VIDEO: Gardner G. Habash kaonyesha gari lake jipya siku sita baada ya mkataba mpya:
3 Reactions
102 Replies
13K Views
Back
Top Bottom