Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mshindi wa big brother Idris Sultan amesajiliwa rasmi kuwa mtangazaji wa kituo cha Choice Fm. Hiyo ni ajira mpya kwa kijana huwa atakuwa anatangaza kipindi cha hard drive kinachoruka saa 12...
3 Reactions
186 Replies
30K Views
Habari za jioni wana JF? Kuna mtangazaji wa 100.5 Times Fm anaitwa Dida. Huyu dada ana mtoto anaitwa Samira, mtoto huyu Samira kazaa na nani?
1 Reactions
35 Replies
20K Views
Mastaa wengi wa Bongo wamekuwa wakiahidi vitu vingi kwa mashabiki wao lakini vitu hivyo vinakuwa vinapotea hewani bila ya kutekelezeka. ‘Ahadi ni deni’, watu wengi wanakuwa wanasahau maneno ambayo...
3 Reactions
31 Replies
7K Views
Lady Jaydee rasmi E. fm atakuwa mtangazaji mahiri anarudi kwa kasi hawa E. fm wamedhamiria kuleta mapinduz halisi
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Bongo Star Search ni shindano pekee kwa Tanzania la kusaka vipaji kwa vijana wenye uwezo wa kuimba. Madam Rita kupitia kampuni yake ya Benchmark Production alikuwa na malengo mazuri ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Sikuwahi kuwaunga mkono waliokuwa wanamzogoa Kanumba wakati alipolazimika kuongea kiingereza huko BBA, lakini hii baada ya kuingia kwenye tovuti yake kwa kweli imebidi na mimi niongee kitu. Hivi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
MKALI wa wimbo wa ‘Mkungu wa Ndizi’ aliyerudi kwa kasi katika muziki wa Bongo Fleva, Abubakari Shaaban maarufu Q Chiller, amesema kwa sasa anatamani kufanyakazi na Diamond Platnumz. Q Chiller...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Muigizaji wa Bongo movie na 'baby mama' wa Mbunge wa Mbeya Mjini maarufu kama Sugu afunguka Instagram kuhusu mapenzi yake kwa mzazi mwenzie na kutoa tambo za kutosha kuwa hata Sugu akioa nyumba na...
2 Reactions
53 Replies
12K Views
Bendi mya ya ogopa kopas classic band modern taarab ambayo ni bendi inayokuja kwa kasi mjini. Bendi hiyo chini na ukurugenzi wa malkia Khadija omary kopa sasa. wanatarajia kufanya uzinduzi mwezi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msanii ambaye ni rapper mkongwe wa muziki wa bongo fleva Witness, amefunguka kuhusu picha yake iliyoleta utata kwenye mitandao, na kusema hakuwa na nia mbaya alipoipost. Witness ameyasema hayo...
1 Reactions
31 Replies
11K Views
Mwanadada Ray C amekimbizwa hospitali ya rufaa ya Muhimbili asubuhii hii akiwa mahututi. Ugonjwa unaomsumbua haujajulikana, amewahishwa hospitalini hapo asubuhi hii na kaka yake Tony pamoja na...
4 Reactions
174 Replies
35K Views
Inaweza ikawa mara ya kwanza kusikia neno”Socialite”,au pengine umeshawahi kusikia mtu akizielezea sifa za mtu kwa kumuita “Socialite person”,ila kwa kifupi “Socialite” ni neno la kingereza...
3 Reactions
125 Replies
81K Views
Ni asilimia 1 katika paundi milioni 1.7 zilizochangwa na mastaa na wafanyabiashara wa Uingereza kwaajili ya kuisaidia taasisi iliyoanzishwa na mchezaji wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwanamziki maarufu wa Tanzania Diamondplatinamuz aka chibu amerudi kutoka safari ya mbali ambapo alipiga show za kufa mtu. wakati akiwa uwanja wa ndege alihojiwa na waandishi wa habari ni kitu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimetega sikio toka asubuhi sijawasikia Kipanya na Fina nimesikia tuu sauti za baBra na Fredwaa mtoto wa Sanya juu kwani hawajaanza kazi? Mnaosikiliza ule upande wa pili vipi PJ na Hando wameanza...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Ni baada ya Mr Makonda kusema mwisho wa kupiga mziki kwenye kumbi za wazi ni saa sita usiku badala ya saa tisa kama ilivozoeleka hili ni balaa kwa wanamuziki wa Dansi na Taarab, Hapa Kazi Tu...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
  • Closed
Bwana lemutuz umekua ukijitangaza sana kwenye mitandao ya kijamii kua unaanzisha radio yako huko mkoani Morogoro na itaitwa Swahili Radio FM ambayo nafahamu ipo chini ya Swahili African Media Ltd...
5 Reactions
44 Replies
9K Views
Wapendwa naomba kujua habari za Saida Karoli. Kwa sasa yuko wapi na kama bado anajihusisa na muziki? Naombeni pia mwenye namba yake anipm kwa maana mbali na kujua hayo nayouliza hapo juu...
0 Reactions
28 Replies
10K Views
  • Closed
William Malecela alienda kumsalimia mtuhumiwa wa wizi wa fedha za umma na kumkuta akiwa na hali mbaya ameomba watu waende kuwajulia hali. Bwana William aliambatana na mfanyabiashara maarufu bwana...
11 Reactions
195 Replies
47K Views
Kipanya na Fina wamerudishwa rasmi clouds fm katika kipindi cha power breakfast. Wameeanza kazi leo na mwenye access ya clouds fm anaweza kuwasikiliza. Hongera Ruge.
10 Reactions
125 Replies
36K Views
Back
Top Bottom