Watangazaji wa XXL Clouds FM ni wabaguzi

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,467
Hii redio ndio maaana waligombana na wasanii fulani hivi kuna siku walifanya interview na msanii wa miziki ya kufokafoka a.k.a Hip Hop/Rap anaitwa Mansuli yaani wamefanya dakika 5 basi ikaishia hapo,ila wakiwa na wasanii kama Joh Makini, Diamond au Weusi yaani wanakaa lisaa lizima wanahojiana tu,hata juzi kati Jay Moe walikaa nae wanahojiana hadi kipindi kinaisha,sasa kwa nini wasanii wengine wanadharaulika jamani na hii redio?
 
Kama ni kweli basi wajirekebishe...other wise B Twelve yupo vizuri na ni msikivu.
 
Hii redio ndio maaana waligombana na wasanii fulani hivi kuna siku walifanya interview na msanii wa miziki ya kufokafoka a.k.a Hip Hop/Rap anaitwa Mansuli yaani wamefanya dakika 5 basi ikaishia hapo,ila wakiwa na wasanii kama Joh Makini, Diamond au Weusi yaani wanakaa lisaa lizima wanahojiana tu,hata juzi kati Jay Moe walikaa nae wanahojiana hadi kipindi kinaisha,sasa kwa nini wasanii wengine wanadharaulika jamani na hii redio?
the world is not fair... dunia haiwezi kwenda kwa haki, ingekua hivyo maisha yasingeenda kabisa.. wapo sahihi kabisa..
 
Walimuhoji kuhusu nini ............( sababu ya mahojiano ndio yanafanya yawe marefu au mafupi)
Mazingira ya mahojiano yalikuwaje yalikuwa rasmi au kizarula ............( rasmi wanakuwa wameshaiweka kwenye ratiba lakini dharula inakuwa haijawekwa kwenye ratiba )
Yupi alitaka mahojiano yeye msanii au wao clouds ...........
 
Hii redio ndio maaana waligombana na wasanii fulani hivi kuna siku walifanya interview na msanii wa miziki ya kufokafoka a.k.a Hip Hop/Rap anaitwa Mansuli yaani wamefanya dakika 5 basi ikaishia hapo,ila wakiwa na wasanii kama Joh Makini, Diamond au Weusi yaani wanakaa lisaa lizima wanahojiana tu,hata juzi kati Jay Moe walikaa nae wanahojiana hadi kipindi kinaisha,sasa kwa nini wasanii wengine wanadharaulika jamani na hii redio?
Tafuta wimbo ya Nash mc inaitwa zima nadhani utapata jbu la swali lako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom