Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ebwana wanaJF Mzuka! Nimeshangaa kusoma mda si mref kwenye mtandao kwamba mwanamzik maaruf dunian miondoko ya Pop Prince (Si maanish huyu wakwetu aliyetubania wa kaskazin) kifo chake...
2 Reactions
76 Replies
11K Views
Ni ile ile ishu ya kumdhulumu Mr Blue wimbo wake freedom, hizi ni kick za kujisafisha kupitia vipindi mbalimbali vya runinga. Last week alikuwa FNL, leo yupo Beatz Agenda!
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kanye West 'fired security guard just before the Met Gala because he tried to talk to his wife Kim Kardashian' And Kanye West has allegedly fired a security guard after he caught him trying to...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini, Dudu Baya amemtaka Shetta kuacha kutumia jina la ‘Mamba’ kwani hiyo ni ‘aka’ yake ambayo amekuwa akiitumia kwa miaka mingi. Akizungumza na Bongo5...
2 Reactions
86 Replies
17K Views
Nadhani ni kutojua muziki na ushamba ndio unatusumbua wabongo wengi. Kwanza niwafunze kitu wote hapa leo, iko hivi: Shabiki hutakiwi kuwa unamshabikia msanii hadi unajiita team fulani, muziki sio...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mhusika Mkuu katika filamu ya “Imebuma” Bw. Eliasa Mkaly (Rashidi kisoda) akimbembeleza muigizaji na mtayarishaji wa filamu hiyo Bi Sarah Nyika (Asha Mauno) mara baada ya Bodi ya Filamu Tanzania...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya wimbo wa ‘Freedom’ kufanya vizuri kwenye media mbalimbali, Sugu anajipanga kuandaa shindano litakaloshindanisha nyimbo itakayoizidi wimbo huo. Siku kadhaa zilizopita baada ya Sugu...
5 Reactions
51 Replies
6K Views
Nilikuwa napitia pitia instagram nikashangaa kuona katoto ka Diamond kana followers 527k. Nikajiuliza ni kitu gani wanachokifuatilia? Nilipoingia sikuona la maana zaidi ya picha zake akiwa kalala...
2 Reactions
84 Replies
12K Views
Kinachoendelea sahizi instagram ni Mtifuano na ukorochoaji wa Maisha ya watu! Watu wapo busy,watu wapo katika pirika pirika za kutafuta ukweli kujua nini kinacho endelea kati ya Zari na Diamond na...
4 Reactions
62 Replies
33K Views
Sio mpenzi kabisa kabsaaaa wa hizi muvi za bongo wala Naijeria. Ila hapa hom mda wote nikienda nikirudi mke na watoto nakuta wameconcetrate [emoji15] hadi wanaunguza chakula. Sababu sio mpenz wa...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Katika hali isiyo tarajiwa na wengi hatimaye Diamond platnumz amempost na kumuwish Happy B day mtoto wa kufikia mtoto wa Zari bila kinyongo kabisa! Wanaume inabidi kuiga mfano huu na kuacha...
3 Reactions
42 Replies
9K Views
Msanii wa kizazi kipya Ferooz amefunguka na kusema ni bora mtu apate virus vya Ukimwi kuliko kutumia madawa ya kulevya kwani anadai mtu akitumia dawa za kulevya mwisho wake ni kuaibika na...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Katika siku za karibuni mwanamuziki daimond ambae video zake zinaoneshwa karibu na kila tv hapa nchini ametoboa pua na kueka picha yake, hili ni suala ambalo ni geni hapa kwetu na kwa mila zetu...
2 Reactions
38 Replies
5K Views
Hellow Kuna fununu kuwa Idris Sultan anatoka kimapenzi na Wema Sepetu, na kama tunavojua wadau Wema Sepetu anachotaka huwa ni pesa tu (ukiangalia dating history yake) Pia inasemekana sahiv...
3 Reactions
59 Replies
14K Views
Giggs' £20m divorce: Footballer faces record payout as wife snaps over him 'chatting up waitresses' The former Manchester United winger split from his wife three months ago Giggs, 42, is...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwenye taarifa ya Habari Clouds Tv huwa kuna segment ya mtu anajiita "Mwewe",huyu kazi yake ni kuibua kero na mambo mbalimbali katika jamii na kuyarusha kwa kichagizo na sauti ya umaridadi...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Mshindi wa big brother mwaka 2014 idris sultan tetesi zilizozagaa mitandaoni kwamba kuna mtu alimpa pesa zake kwa ajili ya lakini alizitumia kinyume na makubaliano. Ikumbukwe mshindi huyo wa...
2 Reactions
111 Replies
19K Views
Katika hali ya kustaajabisha ni kwamba redio mpya tena ina miaka miwili tu tangu ianzishwe na inakamata mkoa mmoja tu(DSM),inazidi kubamba na kupaa kila kukicha kiasi kwamba imezifunika redio...
8 Reactions
82 Replies
14K Views
Leo nilikuwa interested kuangalia maisha ya diamond platnumz katika mambo ya mapenzi ma familia, jamaa kweli sijui ni matukio yanatokea automatically au yanakuwa arranged ila mambo yake ya mapenzi...
1 Reactions
47 Replies
10K Views
Recently, Cash Money boss, Mr Birdman had his shortest interview ever, in the breakfast club. Apparently, Birdman had some problems with the 3 hosts, and he let it known as soon as he got in the...
1 Reactions
59 Replies
7K Views
Back
Top Bottom