Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Star wa Tanzania Diamond platnumz ni miongoni wa mastaa 3 wa Africa waliopata shavu la kufanya show kubwa zaidi nchini Marekani kwa wasanii wataotoka Africa kwa mara ya kwanza. Wizkid, mr flavour...
3 Reactions
55 Replies
12K Views
Ni wasanii wa kike wanaokonga Nyoyo huku sauti zao zikisadikiwa kuweza hata kumtoa chura alikojificha. baadhi ya hit single zao ni DAYNA NYANGE(NYAMA NDOGO) 1.mafungu Nyanya 2.Nivute kwako 3.i do...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
hawa ni producers wa mziki waliofanikiwa kutengeneza hit single kitaifa na kimataifa TUDD THOMAS 1.Number one remix-diamond ft Davido 2.Ndagushima-Ommy dimpoz 3.Make me sing-Diamond ft AKA...
2 Reactions
35 Replies
8K Views
Picha za Harusi ya Aunty Ezekiely Aliyofanyika Huko Dubai , Wengi Walikuwa na Shauku ya Kumuona Mume wake baada ya Aunty Kumficha kwa Muda Mrefu ...Haya Sasa Kudume Ndio Huyu Hapo Kwa Picha...
0 Reactions
116 Replies
44K Views
Ripoti kutoka mitandaoni zinasema kuwa Muheshimiwa Mbunge Sugu Amemzawadia Gari aiana ya Toyota Lexus kama zawadi ya siku ya kuzaliwa kwa mpenzi wake ajulikanae kama Happiness, Sugu na mpenzi wake...
10 Reactions
117 Replies
23K Views
mwenye kujua chochote kuhusu hili kundi yaan linaundwa na akina nani?? wote ni maprodyuza?? hit singe walizotoa au walizoshirikishwa ama chochote unachokijua kuhusu hili kundi tiririka
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mshindi wa shindano la Big Brother 2014, Idris Sultan amesema ameanza kuingiza faida kutokana na uwekezaji aliyoufanya baada ya kutoka kwenye shindano la hilo ambalo lilimpatia zaidi ya Sh500...
2 Reactions
46 Replies
8K Views
Binafsi naamini yahaya itafunika tarehe 20 mwezi wa tano kwa kuwa muhusika bwana Yahaya kashatambulika na anajijua, mtalimbo wake Jide kashatwambia umelala na hautainuka mpaka mwana wa Adam...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
  • Closed
Hivi yule binti Gardner anayezunguka naye viwanja usiku ana tofauti na huyu binti yake? Au watu wakimfanyia hivyo binti yake atajisikiaje?
10 Reactions
183 Replies
58K Views
Kuna uwezekano mkubwa, AY na Mwana FA wamefungua kesi ya masuala ya ukiukwaji wa haki miliki za kazi zao. Mwanasheria maarufu nchini, Alberto Msando amepost picha Instagram akiwa kwenye...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Daaah!!Nimejistukia tu na-tune Clouds Tv,nikakutana na kipindi cha "TAKE ONE" cha Zamaladi,huyu mwanamke Faiza kweli zimefyatuka kidogo.Yaani mambo anayoongea unaona kabisa kuna fyuzi zimekata...
5 Reactions
113 Replies
24K Views
Ndani ya siku kadhaa zimeshatoka nyimbo kibao na bado zinakuja wasanii kwasasa inabidi wajipange kabla hawajaachia nyimbo zao. Ujipange kuanzia promo redioni na kwenye Tv pamoja na mitandao ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za jpil wapendwa?? Kuna watu ambao walikuwa ni wabunifu na wapo safi sana katika shughuri zao.nazungumzia watangazaji na madj ambao walijizolea umaarufu sana ila kwa sasa hawajulikani...
4 Reactions
60 Replies
12K Views
Kuna wasanii hapa wana beef na redio hasa clouds fm,kwangu mimi naona ni ujinga sana msanii kuweka beef na chombo cha habari na mwishowe wanatugawa tu mashabiki wao.harafu unakuta beef zenyewe eti...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama unajua muziki utaelewa ninachomaanisha, ila kama hujui basi hutaelewa kamwe, hao wasanii watatu nadhani ndio wasanii wabovu kabisa hapa Tz, hawajui kuimba kabisa. Hao ni wasanii wa...
2 Reactions
52 Replies
10K Views
Habar za sikukuu?? Natumain mmesherekea vema ...Mimi nmekua mpenz wa kusikiliza nyimbo za FALLY IPUPA na zaid namkubali jamaa sana. ...sasa mda mwingi nyimbo zake anantaja YASMIN NA KATI YA...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, ameanzisha mradi mpya alioupa jina ‘Wema na Jamii’ ambapo ameanza kuzunguka kwenye shule mbalimbali jijini Dar es Salaam kuongea na wanafunzi na kuwapa...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
UNAWEZA usiamini lakini ukweli ndo huo...Jide majuzi ya tarehe 5 na 6 aliomba watu WAKE wa karibu kutafuta watu ili wamsaidie kupendezesha VIDEO ya wimbo wake mpya wenye maneno ya kinyago...
3 Reactions
194 Replies
24K Views
Mwanamuziki nguli kutoka nchini Marekani NE-YO ambaye amekuwa akitamba kwa muziki ya mahadhi laini, anatarajiwa kuwasili nchini Mei 19 kwa mwaliko wa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania kwa...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Utasikia Jason Deluro ndio kaiga [emoji23][emoji23][emoji23]
6 Reactions
36 Replies
7K Views
Back
Top Bottom