Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Finally the VIEWS is out. What caught my eye the most, is the album cover. Seems like Drake took J Cole's Forest hills drive concept. Drake and Cole are known not to be friends, and they've been...
1 Reactions
43 Replies
5K Views
Jamani hivi kumbe ukiingia bifu na Clouds unakuwa na bifu na wafanyakazi pia? Millard Ayo karibia kila video mpya ya wimbo huwa ana upload kwenye website yake na kwenye Ayo TV lakini hii video ya...
4 Reactions
41 Replies
6K Views
Sabakher wadau; Wale wapenz wa bongoflava, FNL na watazamaji EATV na wasikilizaji wa EA radio! Nadhan mnakifahamu hiki kichwa kilivyokuwa kinapiga ngoma kali pale ndani! Dah kiukweli ndo alikuwa...
1 Reactions
30 Replies
8K Views
Mr Blue analalamika kuwa Sugu ameupora wimbo wake ‘Freedom’ aliokuwa amemshirikisha kwa kutoa verse zake na kuufanyia video iliyotoka jana. Lakini katika kila malalamiko, ni vyema kusikiliza...
10 Reactions
108 Replies
18K Views
Jamani wadau nataka kufahamu hivi ni kweli dogo diamond anashuka umaarufu na kimziki i heard some people say so na wamenikera coz namkubali sna dgo na namuombea sana asonge mbele.ila hawa wadau...
0 Reactions
61 Replies
9K Views
Kama tunavyojua ya kwamba Lady Jay dee komandoo hana mahusiano na redii clouds fm,sasa hali hiyo imefanya huyu dada hata nyimbo zake kutochezwa katika kituo hicho. Kumbuka clouds washakuwa katika...
5 Reactions
65 Replies
11K Views
Habari zenu wakuu. Tasnia ya muziki inakuwa TZ na namna ya wasanii wetu kuingiza kipato inapanuka zaidi, kwani kwa sasa makampuni yameweza kuwaamini wasanii kuwa wanaweza wakawa ni njia mojawapo...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, mimi ni mdau mpya katika uwanja huu, huwa ninafuatilia yanayoendelea hapa kila ninapopata nafasi (mara nyingi hua ninasafiri ndani na nje ya nchi) nimejifunza mengi hapa. Nina...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Sakata la wimbo wake kuibwa na Mbunge wa Bunge la Muungano ni sehemu ndogo tu ya madhila yaliyowahi kumkuta msanii huyu mkongwe kwenye Bongo Fleva. Miezi kadhaa nyuma aliwahi kuporwa...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Mnajua kuwa inasemekana kuwa Tunda Man hakuwepo kwenye ile ajali iliyotokea hivi karibuni? Kama alikuwepo inawezekanaje apone ikiwa hajafunga mkanda na waliofunga wameumia na kulazwa? Iweje...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wakuu huyu jamaa nimekuwa nikimsikia tu juu, mara picha za warembo, anaimba anaigiza ila ningependa kumjua kiundani kwa wanaomjua, ni nani hasa Manaiki Sanga?
0 Reactions
4 Replies
7K Views
[URL="http://3.bp.blogspot.com/-JHx-7TSzUHE/VQ7dBD69WSI/AAAAAAAAA-A/eJWvRRbiBRk/s16"][/
0 Reactions
90 Replies
19K Views
Mida hii naona breaking news kwenye ma news networks....RIP Prince, age 57 Update!! kafa sababu ya drug overdose, ile flu ni changa la macho ===================== Prince died earlier today...
5 Reactions
62 Replies
13K Views
Tangu utokee ugomvi wa kundi maarufu africa psquare kumesababisha huzuni miongoni wa mshabiki wao. Kila mmoja peter na paul wamekuwa wakifanya project binafsi. Hata baada ya kupatana hakuna...
2 Reactions
69 Replies
15K Views
Wengi wenu mmekuwa mkimsikia mtangazaji huyu mkongwe wa DW na mkijiuliza ni mwanaume au mwanamke. Ukweli ni kuwa Oumilkheir ni mwana mama na picha yake ndio hiyo hapo juu.Ni raia wa Comoro na...
11 Reactions
61 Replies
23K Views
Babu yake Wastara amefunguka na kueleza kilichosababisha kuvunjia kwa ndoa ya Wastara na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma. Akizungumza na Times Fm, Babu huyo aliweka bayana kuwa...
2 Reactions
26 Replies
10K Views
Baada ya kuwa na sintofahamu tangu wasikike kwenye kipindi cha Power Breakfast tarehe 1 mwezi huu, habari za ndani kabisa toka Mawingu Fm zinadai Mtangazaji mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri na...
2 Reactions
55 Replies
10K Views
Huyu ni msanii mwenye kibao kikali kinachobamba cha Sweety Sweety, Chege Chigunda au mtoto wa mama Said, hapo pichani anaringishia misuli yake ya mikono kama unavyoona
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Well done Diamond umetuwakilisha vizuri saaana. Kuna rafiki zangu wa South Africa nimewasiliana nao leo wamemsifia sana Diamond. Kweli nimefarijika: Diamond you make us very proud. Umeipaisha...
7 Reactions
6 Replies
4K Views
Mrembo anayefanya poa kwenye video za wasanii wa Bongo kama video model Gigy Money, amempa za uso msanii Ney wa Mitego na kumuita mpumbavu asiyejitambua ni nani, baada ya kumtapeli pesa yake...
2 Reactions
58 Replies
14K Views
Back
Top Bottom