Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mwaka huu Beyonce ametengeneza vichwa vya habari duniani si tu kwa kushtukiza tena kwa album mpya ‘Lemonade’, bali kwa jinsi alivyoamua kuitumia kuelezea kwa mara ya kwanza skendo ya muda mrefu...
7 Reactions
15 Replies
4K Views
Katika hali isiyotegemewa nimeona Mh sugu aka kinega akiwa a me post katika ukurasa wake wa insta kuwa leo ijumaa atafanya ziara Cloudsmedia group. Tuseme clouds ndiyo empire hawamshindwi yeyote?
3 Reactions
51 Replies
7K Views
Ujumbe huu ni wa kwako Wema Abrahamu Sepetu. Hii si hali ya kawaida. Kama ni kweli anatumia madawa ya kuongeza makalio kama tetesi zilivyo, basi hali imefikia pabaya. Video hii inasikitisha...
11 Reactions
603 Replies
183K Views
Nahisi ugeni wa mambo ndo unachangia kwa mwenye uelewa na hii tuzo anaweza kutwambia inahusu nini? Maana naona Insta kumechafuka sanaaa ni Diamond na Mkandaa huu alio shindaa,ukiendaa huku...
2 Reactions
48 Replies
7K Views
Baada ya kuvunjika kwa tamasha la T.I, Mei 25 kwenye ukumbi wa Irving Plaza, New York baada mtu mmoja kufyatua risasi na kusababisha mauaji ya mtu mmoja [Ronald MC Phatter.] na kujeruhi watu...
1 Reactions
0 Replies
894 Views
Katika Mahojiano yake na Waandishi wa Kampuni ya New Habari(2006) Ltd,Wema Sepetu anaanza kwa kusema "Nilipokuwa na uhusiano na Marehemu Kanumba,nikiwa naishi na wazazi wangu,niliwaza kama...
3 Reactions
66 Replies
17K Views
Chid Benz amedaiwa kutoroka sober house baada ya kukaa muda wa mwezi mmoja, watu waliokuwa wanamuangalia wanasema inawezekana alikuwa hajazoea kukaa kufungiwa kila mara ndio maana akaondoka lakini...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Nimesikitishwa na kushangazwa sana kuona radio Hii, Tena iliyopo jijini Dar Kuwa na watangazaji wabovu kama hawa. Hadi mgeni Jide kawaona kituko. Jionee hapa
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kuna bifu kubwa sana limeibuka kati ya msanii wa Wasafi Harmonize na team Wema baada ya Harmonize kutoa freestyle yenye maneno ya kumkashifu Wema Sepetu. Kijana Harmonize mpaka sasa anaoga...
7 Reactions
107 Replies
21K Views
  • Redirect
Miss Tanzania 2006, Wema Isaack Sepetu, ameweka wazi kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya kutengeneza nywele zake kwa wiki moja. Pia hutumia Sh 30,000 ya chakula kwa siku na kama...
1 Reactions
Replies
Views
Ile TV series inajulikanayo kama Empire Katika msimu huu ambao ni msimu wake wa 3 hatimae Mtanzania ambaye pia ni muimbaji aishiye Marekani katika jiji la Chicago dada yetu Kokugonza ameshiriki...
5 Reactions
30 Replies
9K Views
Hawa si walikuwa na bifu!!!
1 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Redirect
Baada ya vita Vya muda mrefu ya Clouds Media Group na Joseph May Mbilinyi a.k.a Mr. Sugu hatimaye Leo Clouds TV wanapiga wimbo wake na yuko studio live kwa ajili ya interview. Updates zitaendelea...
0 Reactions
Replies
Views
Wadau haya twende kazi nani unayemuona zaidi ya mwingine kati ya mpoki na joti matangazo ya mitandao ya vodacom na Tigo, Mi kwangu mpoki kwenye hili tangazo la vodacom la "Hapa kasi tu"jamaa...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Wakati wadau wa muziki wakifahamu kuwa msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwilo ‘Chidi Benz’ yuko katika kituo cha kusaidia waathirika wa madawa ya kulevya‘sober house’ kilichopo Bagamoyo...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
Nimetoka kutazama akaunti ya instagram ya Shilole anatoa maneno mabaya kwa Vanessa. Mashabiki wanahisi anamshambulia Vanessa Mdee japo hajanyoosha maelezo. Nilichokiona sijawahi kukiona...
5 Reactions
144 Replies
43K Views
  • Redirect
Apanga kumuharibia kwenye shoo yake itakayofanyika hivi karibuni
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Hawa waligombana na kumaliza tofauti zao; hope watakua mfano wa kuigwa kwa wasanii wengine
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kifanyike nini wasanii wa Tanzania wawe na Upendo kati yao na kusaidiana.
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom