Ommy Dimpoz ametaja sababu kubwa ya kumuweka mpenzi wake wazi ni kupunguza kasi ya wasichana wanaomwinda.
Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA Radio, Ommy Dimpoz...
Kituo cha burudani cha MTVBase wametangaza kuwa Diamond Platinums wa Tanzania anajiandaa kufanya kolabo la hatari na msanii wa Marekani Chris Brown.
Habari kutoka kituoni hapo zinadai kuwa...
Kuna tetesi za mahusiano ya mapenzi kati ya Harmonize wa Diamond na tajiri mwanadada Hudda Bosschick wa Kenya , na hata ukipitia akaunti ya Hudda ya insta anamsifia sana Harmonize , hii ni...
Star wa Bongo fleva Diamond Platnums amekanusha vikali juu ya stori zilizozagaa kuwa mpenzi wake Zarina ama mama Tiffa anachepuka na Ivan huku yeye akichepuka na video Quuen wa Ketu ya Raymond...
May 13 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017. Katika kipindi cha kupokea michango...
Kupitia Gazeti la Makorokocho leo mezani tumepata story ya muda mrefu ya penzi la siri kati ya Ommy Dimpoz na Jokate aka Kidoti.
Stori hii ilivuja baada ya beef la chini kwa chini kati ya Jokate...
Star wa bongo movie na bongo fleva kutoka Bongo Hemed PHD a.k.a Fernando Papi ametamka wazi kuwa anapenda kutoka kimapenzi na mijimama kuliko wasichana wembamba.
Akizungumza na Enewz Hemedi...
Kwa habari nilizopenyezewa Dodoma kumetokea hali ya kutisha baada ya Diamond kupanda jukwaani na mashabiki kuchanganyikiwa na kuanza kukanyagana.
Naambiwa watu walikuwa wengi sana kwenye show...
Ilinichukua muda kiasi kumuelewa huyu chalii, si uongo. Kwa upande wangu Mshkaji hana mpinzani kwa hawa kizazi kipya. He got the contents, techniques to deliver, determination, genuine intent, and...
LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa Wema amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy...
Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma ambaye siku za karibuni aliomba talaka kutoka kwa mume wake amefunguka na kusema yeye sio mtu wa kujiuza, bali ni mtu ambaye anajijali na kujitunza.
Wastara...
Hii ngoma kiukwel ni hatar mno na kideo chake ni balaaa tupu.....Big Up Baba Qaillah!....Naona Jamaa katumia mkwanja mrefu sana kuandaa video ya wimbo huu ila ninachojiuliza hii kaz itamlipa vip...
Imekuwa kawaida sana Ali kiba Kabla ya kutoa nyimbo zake huvuja mapema,Amepanga kuitoa Nyimbo yake mpya ya Aje kesho pamoja na video yake ikiianzia Mtv lakini bahati mbaya nyimbo tayari watu...
Ni wasanii wenye sauti na Melody nzuri ...baadhi ya nyimbo zao
BANANA ZORRO
1.mama
2.Pressure
3.Nzela
4.Zoba
CHRISTIAN BELLA
1.Mama
2.nakuhitaji
3.msaliti
4.nashindwa
Nani zaidi??
DJ Khaled anafahamika kwa kuwa mtu anayeongea sana lakini si pale anapokuwa mbele ya Beyonce.
Mkali huyo anazunguka na Queen Bey kwenye ziara yake ya Formation.
Ameliambia gazeti la The New York...
"Hapa ndipo palikuwa nyumbani kwetu Tandale nilipozaliwa kulelewa na kujifunzia Muziki hadi leo kufikia hapa.... napaHeshimu, Napapenda, napathamini na Daima hata niende wapi lazima nirudi maana...
Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti na...
kiukweli kijana wetu katsha sn n baada ya kutua bungen na kushangiliwa na wabunge wa pande zote mbili bila kujali itikadi ya vyama vyao... nafkir ndio msanii wa kwnz nchin kupata mapokez ya nguvu...
Anauliza huyu bint mrembo Irene Uwoya yuko wapi kwa sasa??
Au ndio yuko bize kujipanga na Ile ubunge tuliotangaziwa na 'bonge la bwana ' pale uwanja wa taifa..??
Aisee hii hata mimi nilipitwa nayo ama kweli mimi mapenzi basi nimeyavulia Shati akuu mapenzi sio ubondia bora nijitoe
Leo akihojiwa na Diva clouds Fm Mziwanda amekiri kuwa Madee alitembea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.