Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ommy Dimpoz ametaja sababu kubwa ya kumuweka mpenzi wake wazi ni kupunguza kasi ya wasichana wanaomwinda. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA Radio, Ommy Dimpoz...
3 Reactions
59 Replies
8K Views
  • Redirect
Kituo cha burudani cha MTVBase wametangaza kuwa Diamond Platinums wa Tanzania anajiandaa kufanya kolabo la hatari na msanii wa Marekani Chris Brown. Habari kutoka kituoni hapo zinadai kuwa...
0 Reactions
Replies
Views
Kuna tetesi za mahusiano ya mapenzi kati ya Harmonize wa Diamond na tajiri mwanadada Hudda Bosschick wa Kenya , na hata ukipitia akaunti ya Hudda ya insta anamsifia sana Harmonize , hii ni...
0 Reactions
39 Replies
11K Views
Star wa Bongo fleva Diamond Platnums amekanusha vikali juu ya stori zilizozagaa kuwa mpenzi wake Zarina ama mama Tiffa anachepuka na Ivan huku yeye akichepuka na video Quuen wa Ketu ya Raymond...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
  • Closed
May 13 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017. Katika kipindi cha kupokea michango...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Kupitia Gazeti la Makorokocho leo mezani tumepata story ya muda mrefu ya penzi la siri kati ya Ommy Dimpoz na Jokate aka Kidoti. Stori hii ilivuja baada ya beef la chini kwa chini kati ya Jokate...
3 Reactions
527 Replies
53K Views
Star wa bongo movie na bongo fleva kutoka Bongo Hemed PHD a.k.a Fernando Papi ametamka wazi kuwa anapenda kutoka kimapenzi na mijimama kuliko wasichana wembamba. Akizungumza na Enewz Hemedi...
2 Reactions
45 Replies
11K Views
Kwa habari nilizopenyezewa Dodoma kumetokea hali ya kutisha baada ya Diamond kupanda jukwaani na mashabiki kuchanganyikiwa na kuanza kukanyagana. Naambiwa watu walikuwa wengi sana kwenye show...
2 Reactions
85 Replies
13K Views
Ilinichukua muda kiasi kumuelewa huyu chalii, si uongo. Kwa upande wangu Mshkaji hana mpinzani kwa hawa kizazi kipya. He got the contents, techniques to deliver, determination, genuine intent, and...
9 Reactions
48 Replies
4K Views
LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa Wema amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy...
3 Reactions
21 Replies
9K Views
Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma ambaye siku za karibuni aliomba talaka kutoka kwa mume wake amefunguka na kusema yeye sio mtu wa kujiuza, bali ni mtu ambaye anajijali na kujitunza. Wastara...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Hii ngoma kiukwel ni hatar mno na kideo chake ni balaaa tupu.....Big Up Baba Qaillah!....Naona Jamaa katumia mkwanja mrefu sana kuandaa video ya wimbo huu ila ninachojiuliza hii kaz itamlipa vip...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Imekuwa kawaida sana Ali kiba Kabla ya kutoa nyimbo zake huvuja mapema,Amepanga kuitoa Nyimbo yake mpya ya Aje kesho pamoja na video yake ikiianzia Mtv lakini bahati mbaya nyimbo tayari watu...
1 Reactions
81 Replies
14K Views
Ni wasanii wenye sauti na Melody nzuri ...baadhi ya nyimbo zao BANANA ZORRO 1.mama 2.Pressure 3.Nzela 4.Zoba CHRISTIAN BELLA 1.Mama 2.nakuhitaji 3.msaliti 4.nashindwa Nani zaidi??
0 Reactions
18 Replies
3K Views
DJ Khaled anafahamika kwa kuwa mtu anayeongea sana lakini si pale anapokuwa mbele ya Beyonce. Mkali huyo anazunguka na Queen Bey kwenye ziara yake ya Formation. Ameliambia gazeti la The New York...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
"Hapa ndipo palikuwa nyumbani kwetu Tandale nilipozaliwa kulelewa na kujifunzia Muziki hadi leo kufikia hapa.... napaHeshimu, Napapenda, napathamini na Daima hata niende wapi lazima nirudi maana...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti na...
11 Reactions
181 Replies
55K Views
kiukweli kijana wetu katsha sn n baada ya kutua bungen na kushangiliwa na wabunge wa pande zote mbili bila kujali itikadi ya vyama vyao... nafkir ndio msanii wa kwnz nchin kupata mapokez ya nguvu...
6 Reactions
26 Replies
4K Views
Anauliza huyu bint mrembo Irene Uwoya yuko wapi kwa sasa?? Au ndio yuko bize kujipanga na Ile ubunge tuliotangaziwa na 'bonge la bwana ' pale uwanja wa taifa..??
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Aisee hii hata mimi nilipitwa nayo ama kweli mimi mapenzi basi nimeyavulia Shati akuu mapenzi sio ubondia bora nijitoe Leo akihojiwa na Diva clouds Fm Mziwanda amekiri kuwa Madee alitembea na...
6 Reactions
63 Replies
11K Views
Back
Top Bottom