Ali kumuombea kura Diamond, inapendeza lakini isiwe danganya toto

Habibu B. Anga

JF-Expert Member
May 7, 2013
6,557
25,716
Juzi nilitamani nimtafute Ali na kumpongeza personally kwa kuwataka watu wampigie kura Dee sababu niliona sasa angalau wasanii wetu wameanza kukomaa na kuacha mambo ya kitoto! Ni kitu kizuri na cha kusifika..

Lakini baadhi ya watu wamepata ukakasi kidogo (mimi nikiwemo)! Binafsi situmii sana mtandao wa instagram huwa nahudhuria huko pale kunapokuwa na 'big news' huko instagram.. Jana baada ya kuhudhuria huko nikashangazwa na maajabu niliyoyakuta huko, maajabu ya karne!! Kuna watu wameanzisha kampeni ya kuhamasisha watu wasimpigie kura Diamond Platnumz na apigiwe kura msanii Wizkid au Yemi Alade.. Na watu hawa wanaohamasisha ni watu wa karibu kabisa na Ali pamoja na Mlimbwende wetu Sepetu! Ni watu ambao ingawa wanatumia username "fake" lakini wanafahamika kabisa na masters wao..

Binafsi namuona Ali kama mtu asiye na makuu na mtu mnyenyekevu, kwahiyo napenda kuamini kuwa alimaanisha pale aliposema watu wampigie kura Diamond, kinachonishangaza ni kwanini anaruhusu hizi zinazoitwa "team" zake kufanya uhamasishaji wa kipuuzi dhidi ya mtanzania mwenzao! Ni kwanini swahiba wake Sepetu anaruhusu watu wake wafanye uhamasishaji huo.. Hizi timu hazipindui kwa Ali au Sepetu, yeyote kati yao akiweka post moja tu ya kuwakanya wote wanafyata mkia, nawaza kwanini Ali anashindwa kujiweka mbali na huu upuuzi.. Nirudie, viongozu wa hizi timu wanafahamiana personally na kina Sepetu na Ali!!

Tusisahau kuwa Dee ni binadamu na hajatolewa nyongo, kinapofanyika kitu kama hiki anaona! Kwahiyo pale anapoamua kujiweka mbali na baadhi ya watu, wengine wanadhani ana ringa lakini ukweli ni kuwa anafahamu kuna watu wanamuombea dua za kishetani kutwa kucha!

Nina imani kabisa Dee ataendelea kuipeperusha vyema bendera ya nchi yetu na kuwaabisha wanaokesha kuomba dua za mashetani!! Pia natamani kuona Ali akijiweka mbali na hizi kampeni za kipuuzi kulinda heshima yake na kile alichokisema EA radio kiwe na maana..
Yote kwa yote nakupongeza kwa ile kauli, na ni mwanzo mzuri kwa sisi tunaotamani huu utoto uishe!!
 
Hizi habari zingine za kipuuzi sasa Ali kiba Ana mamlaka gani ya kumuamulia huyo sepetu nini cha kufanya? Maana unaandika kwa nini "anaruhusu" sijui kufanya kitu flani. Nyie watu acheni uchochezi kwa nini usirizike na alichosema mwenyewe?
 
Juzi nilitamani nimtafute Ali na kumpongeza personally kwa kuwataka watu wampigie kura Dee sababu niliona sasa angalau wasanii wetu wameanza kukomaa na kuacha mambo ya kitoto! Ni kitu kizuri na cha kusifika..

Lakini baadhi ya watu wamepata ukakasi kidogo (mimi nikiwemo)! Binafsi situmii sana mtandao wa instagram huwa nahudhuria huko pale kunapokuwa na 'big news' huko instagram.. Jana baada ya kuhudhuria huko nikashangazwa na maajabu niliyoyakuta huko, maajabu ya karne!! Kuna watu wameanzisha kampeni ya kuhamasisha watu wasimpigie kura Diamond Platnumz na apigiwe kura msanii Wizkid au Yemi Alade.. Na watu hawa wanaohamasisha ni watu wa karibu kabisa na Ali pamoja na Mlimbwende wetu Sepetu! Ni watu ambao ingawa wanatumia username "fake" lakini wanafahamika kabisa na masters wao..

Binafsi namuona Ali kama mtu asiye na makuu na mtu mnyenyekevu, kwahiyo napenda kuamini kuwa alimaanisha pale aliposema watu wampigie kura Diamond, kinachonishangaza ni kwanini anaruhusu hizi zinazoitwa "team" zake kufanya uhamasishaji wa kipuuzi dhidi ya mtanzania mwenzao! Ni kwanini swahiba wake Sepetu anaruhusu watu wake wafanye uhamasishaji huo.. Hizi timu hazipindui kwa Ali au Sepetu, yeyote kati yao akiweka post moja tu ya kuwakanya wote wanafyata mkia, nawaza kwanini Ali anashindwa kujiweka mbali na huu upuuzi.. Nirudie, viongozu wa hizi timu wanafahamiana personally na kina Sepetu na Ali!!

Tusisahau kuwa Dee ni binadamu na hajatolewa nyongo, kinapofanyika kitu kama hiki anaona! Kwahiyo pale anapoamua kujiweka mbali na baadhi ya watu, wengine wanadhani ana ringa lakini ukweli ni kuwa anafahamu kuna watu wanamuombea dua za kishetani kutwa kucha!

Nina imani kabisa Dee ataendelea kuipeperusha vyema bendera ya nchi yetu na kuwaabisha wanaokesha kuomba dua za mashetani!! Pia natamani kuona Ali akijiweka mbali na hizi kampeni za kipuuzi kulinda heshima yake na kile alichokisema EA radio kiwe na maana..
Yote kwa yote nakupongeza kwa ile kauli, na ni mwanzo mzuri kwa sisi tunaotamani huu utoto uishe!!
Ww ni Diamond au Wolper?
 
Hizi habari zingine za kipuuzi sasa Ali kiba Ana mamlaka gani ya kumuamulia huyo sepetu nini cha kufanya? Maana unaandika kwa nini "anaruhusu" sijui kufanya kitu flani. Nyie watu acheni uchochezi kwa nini usirizike na alichosema mwenyewe?
Naona umekula Omo asubuhi yote hii, povu linakutoka!! Soma nilichoandika kwa makini hakuna sehemu nimesema amwambie afanye nini sijui.. Nimesema kwanini anaruhusu timu yeke, na huyo sepetu naye kwanini anaruhusu timu yake
 
Juzi nilitamani nimtafute Ali na kumpongeza personally kwa kuwataka watu wampigie kura Dee sababu niliona sasa angalau wasanii wetu wameanza kukomaa na kuacha mambo ya kitoto! Ni kitu kizuri na cha kusifika..

Lakini baadhi ya watu wamepata ukakasi kidogo (mimi nikiwemo)! Binafsi situmii sana mtandao wa instagram huwa nahudhuria huko pale kunapokuwa na 'big news' huko instagram.. Jana baada ya kuhudhuria huko nikashangazwa na maajabu niliyoyakuta huko, maajabu ya karne!! Kuna watu wameanzisha kampeni ya kuhamasisha watu wasimpigie kura Diamond Platnumz na apigiwe kura msanii Wizkid au Yemi Alade.. Na watu hawa wanaohamasisha ni watu wa karibu kabisa na Ali pamoja na Mlimbwende wetu Sepetu! Ni watu ambao ingawa wanatumia username "fake" lakini wanafahamika kabisa na masters wao..

Binafsi namuona Ali kama mtu asiye na makuu na mtu mnyenyekevu, kwahiyo napenda kuamini kuwa alimaanisha pale aliposema watu wampigie kura Diamond, kinachonishangaza ni kwanini anaruhusu hizi zinazoitwa "team" zake kufanya uhamasishaji wa kipuuzi dhidi ya mtanzania mwenzao! Ni kwanini swahiba wake Sepetu anaruhusu watu wake wafanye uhamasishaji huo.. Hizi timu hazipindui kwa Ali au Sepetu, yeyote kati yao akiweka post moja tu ya kuwakanya wote wanafyata mkia, nawaza kwanini Ali anashindwa kujiweka mbali na huu upuuzi.. Nirudie, viongozu wa hizi timu wanafahamiana personally na kina Sepetu na Ali!!

Tusisahau kuwa Dee ni binadamu na hajatolewa nyongo, kinapofanyika kitu kama hiki anaona! Kwahiyo pale anapoamua kujiweka mbali na baadhi ya watu, wengine wanadhani ana ringa lakini ukweli ni kuwa anafahamu kuna watu wanamuombea dua za kishetani kutwa kucha!

Nina imani kabisa Dee ataendelea kuipeperusha vyema bendera ya nchi yetu na kuwaabisha wanaokesha kuomba dua za mashetani!! Pia natamani kuona Ali akijiweka mbali na hizi kampeni za kipuuzi kulinda heshima yake na kile alichokisema EA radio kiwe na maana..
Yote kwa yote nakupongeza kwa ile kauli, na ni mwanzo mzuri kwa sisi tunaotamani huu utoto uishe!![Ni kweli mkuu Alikiba amesema na ameeleweka na km utakuwa umeangalia vzr hao team kiba baadhi yao wanalalamika ni jinsi gani wamesemwa vibaya na team mondi kwa ajili ya kiba, alafu leo anakuja kusema wampigie mura muhasimu wao

na at juzi hapa kwenye hii deal ya sintofahamu ya kiba na sony team mondi walikuwa busy kuwacheka kuwa at Rose muhando nae alisainiwa so kiba hakuna cha maana alichopata, so hawa team kiba wanaona km vile kiba amewadhadhalilisha au amewashusha sana kusema wampigie kura mondi, ila namna wanavyolalamika inaonesha kabisa kuwa huenda kiba aliwaambia kausheni hizi mambo za wizkid ila jamaa wakazingua so haya ya vote 4 wizkid nahisi km ni maamuzi yao na kiba hawezi kuwaforce kwani ndo hao ambao wanampa nguvu kwenye issue ya viewer's huko YouTube

Nahisi kiba safari hii amekuja kivingine hataki kuchochea sana huu uhasama ila balaa ndio lipo kwa mashabiki wanaona km watakuwa wamejisalimisha kwa team mondi
 
Ww ni Diamond au Wolper?

Swali zuri sana hili....Mimi kuna jambo huwa linanikera sana kwa watanzania...Yaani mashabiki wa Ali wakimtukana Diamond utaskia analaumiwa Ali kuwa "kawaruhusu" au "kawatuma"...Same kwa sepenga...Japo yeye sepenga alisikika live akiwataka mashabiki zake waache matusi bado watu wanamlaumu kuwa "anawaruhusu" au "anawatuma"......Lakini mashabiki wa Diamond wakimtukania hadi wazazi Wema...Au wakimtukana Kiba...Watu wote kimyaaaaaa...Kama hamna kinachoendelea.... Kuna midume mingine mpaka unahisi Diamond anaifanya vibaya
 
Swali zuri sana hili....Mimi kuna jambo huwa linanikera sana kwa watanzania...Yaani mashabiki wa Ali wakimtukana Diamond utaskia analaumiwa Ali kuwa "kawaruhusu" au "kawatuma"...Same kwa sepenga...Japo yeye sepenga alisikika live akiwataka mashabiki zake waache matusi bado watu wanamlaumu kuwa "anawaruhusu" au "anawatuma"......Lakini mashabiki wa Diamond wakimtukania hadi wazazi Wema...Au wakimtukana Kiba...Watu wote kimyaaaaaa...Kama hamna kinachoendelea.... Kuna midume mingine mpaka unahisi Diamond anaifanya vibaya
Hayo yote ni maazimio ya management ya WCB, usikute huyo yuko payroll pale wasafi
 
Naona umekula Omo asubuhi yote hii, povu linakutoka!! Soma nilichoandika kwa makini hakuna sehemu nimesema amwambie afanye nini sijui.. Nimesema kwanini anaruhusu timu yeke, na huyo sepetu naye kwanini anaruhusu timu yake

Hakuna msanii anayeongoza kutukanwa kama Sepetunga....Na wanaomtukana wanajulikana kuwa ni mashabiki wa Diamond...Labda wewe kwa kuwa unaonekana mjuzi utujibu,....Kwa nini Diamond "anaruhusu" mashabiki zake kumtukana Wema?
 
Ukilala ukiamka unamuwaza Ali Kiba tu, ungeanza tu kuwashauri WCB waache kulala na mama zao(kiumri) otherwise Ww ni wa hovyo kbs chini ya jua. Idiot
Vipi ushamaliza?? Tukana basi na yale matusi makubwa makubwa toleo jipya... Umekuja hapa kwenye thread ambayo haijaandika tusi hata moja alafu unaanza kuporomosha mitusi kama kichaa!! Jiulize nani idiot kati ya mimi na wewe
 
Hakuna msanii anayeongoza kutukanwa kama Sepetunga....Na wanaomtukana wanajulikana kuwa ni mashabiki wa Diamond...Labda wewe kwa kuwa unaonekana mjuzi utujibu,....Kwa nini Diamond "anaruhusu" mashabiki zake kumtukana Wema?
Hiyo ishu ya kutukana ina mjadala wake na ni mambo ya kipuuzi kabisa!! But sicho ninachozungumzia hapa, ninachosema ni kwanini wanaanzisha kampeni khmpinga mtanzania mwenzao na wao wanaruhusu hizo kampeni..
 
Hiyo ishu ya kutukana ina mjadala wake na ni mambo ya kipuuzi kabisa!! But sicho ninachozungumzia hapa, ninachosema ni kwanini wanaanzisha kampeni khmpinga mtanzania mwenzao na wao wanaruhusu hizo kampeni..

Wewe ulitaka wawanyang'anye simu sio?....Mbona mnapenda kuwalaumu watu wasiohusika...Kiba kahojiwa kasema watu wampigie..Wanatokea watu katika mashabiki zake wanasema asipigiwe...Wewe unasema Kiba kawaruhusu..Wewe ulitaka afanye nini?...Hebu kuwa na akili wewe
 
Ali kiba hajamfollow mtu hata mmoja huko
Sasa utasemaje anawajua personally?
Au anafurahishwa na hayo?
Yeye alishawaomba wampigie kura,kama hawataki yeye afanyaje?
 
Back
Top Bottom