Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kwanza niseme tu ukweli, Mimi kipindi ninachosikiliza Clouds Fm ni XXL tu na terminal cha Abela na Harisi. Vingine vyote naona havinivutii kabisa. Sasa ni hivi. Hiki kipindi cha XXL kwa wale...
3 Reactions
75 Replies
12K Views
  • Redirect
Alikiba amewaomba watanzania kumpigia kura Diamond anayewania tuzo ya BET zitakazofanyika, Juni 26 Los Angeles, Marekani. Wiki iliyopita Diamond alitangazwa kuwania tuzo ya BET kwa mara ya pili...
0 Reactions
Replies
Views
STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Chura’ juzikati akiwa kwenye shoo iliyofanyika Masasi, Mtwara alijikuta katika wakati mgumu baada ya kunusurika kupigwa na mashabiki wake kisa kikiwa ni...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakubwa natanguliza shukurani kwenu wote na kuwapa sifa tele kwamba mmekuwa msaada tosha kwa jamii katika mafundisho na hoja zenu humu Hoja yangu kuhusu huyu mtangazaji na mwandaaji wa makala za...
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Binafsi mimi ni msikilizaji wa city fm radio ya dar es salaam,wanakipindi chao cha michezo kila siku kuanzia saa moja hadi saa mbili,katika hiko kipindi kuna mtangazaji mmoja hivi anasauti nzuri...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto. MAPENZI ya mjini utata mtupu! Ni kauli inayostahili kutumika baada ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto kumwaga chozi akidai...
3 Reactions
35 Replies
22K Views
Nijikite Madani. Bila Shaka watu wengi humu tuna mkubali sana mwanamziki Huyu nguli wa miondoko ya r n b ndani ya bongofleva. Huyu Ni kati ya wasanii wakubwa waliofungua uhusiano mzuri wa kimziki...
9 Reactions
63 Replies
12K Views
  • Redirect
Naangalia mtandao wa Milard mpaka sasa haja-post Matukio ya Diamond yoyote aliyoyafanya weekend hii Mwanza, licha ya kuwepo mwanamziki mkubwa duniani. je kuna Beef?
0 Reactions
Replies
Views
Huwa najiuliza itakuwaje siku Alikiba akiambiwa atoe japo speech ya Dk 10 kwa kiinglish sijui itakuwaje. Kama kunamtu kashawahi kumuona au kuna video ya Alikiba akiongea katika interview zaidi...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Msanii wa Kimataifa Alikiba aliye label moja ya Sony na wasanii wenzake Chris brown, John Legend, Beyonce, Davido etc. Leo hii amendelea kuchukua headlines kama Donald Trump wa Marekani, baada ya...
9 Reactions
41 Replies
6K Views
Mwanamuziki Nasibu Abdul maarufu Diamond Platnumz amekuwa ni msanii pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kutajwa katika orodha ya wasanii watakaowania tuzo za BET 2016. Tuzo za BET mwaka huu...
8 Reactions
105 Replies
64K Views
Habari zenu wakuu, Kama ilivyo katika kichwa cha habari hapo juu, kama wewe ni mmoja ya wapenzi/watazamaji wa filamu za ngumi, basi kwa upande wa bongo huwezi kumwacha nguli huyo mwenye uwezo...
1 Reactions
27 Replies
18K Views
Msanii wa RnB kutoka Amerika maarufu kwa jina la Ne-yo amewasili leo jijini dar kwa ajili ya kupiga sho
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwanamuziki Sheta amesema kwamba kutokana na ratiba yake kuwa ngumu hapendi kukutana na watu na hata sasa amehama Kijitonyama chanzo Clouds sasa hivi
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Pasipo na ubishi wala kuteteleka hili ni jambo zuri ever...baada ya Msanii Mkubwa kumtaka msanii mwenzake ambaye naye ni Mkubwa aje...nijambo jema! Nahisi huu ugomvi wale waliokuwa wananufaika...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wabunge wawili vijana wanaoheshimika na jamii ya Bongo Fleva, Joseph Mbilinyi (Sugu) na Joseph Haule (Profesa Jay) na wakali wa Hip Hop wa muda wote Tanzania, wamekiri kuwa ilikuwa ni kilio chao...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
Uzi huu ni maalum kuwatambua wasanii wanaoimba katika matangazo mbalimbali kwenye redio na luninga zetu bongo. Huwa yanavutia sana kwa sauti za kupendeza. Napenda kuwafahamu walioimba matangazo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom