Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu jamaa anajua kuimba ila nahisi anajirahisi sana, sijui nani anayemshauri kufanya collabo kilasiku, nahisi hata siku akikutana na mimi atanikubalia kolabo ya kinyimbo changu cha...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Nimezisikiliza Tetema zote tatu. Ukiachana na original waloimba Vanny boy na Mond, hii na kina Patoranking na Zlatan ni better than ile na kina Pitbull. Unyama aloufanya Patoranking kwenye verse...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwanza kabisa nianze kwa kusema sikuwa najiona kama nitaweza kuandika hii makala kwa mfumo wa Uzi huku jf. Ila kwa kuwa mimi, binafsi, ni shabiki wa sanaa haswa muziki na tukio hili linahusisha...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Msanii wa filamu Ahmed Salim maarufu kama Gabo Dar es Salaam: Msanii wa filamu nchini Tanzania, Ahmed Salim maarufu Gabo amesema wasanii na wadau wa sanaa wanatakiwa kupendana wakiwa hai...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hv karbuni Konki master Dudu baya, ameokoka kwenye kanisa la Mwamposa (bulldozer), akihojiwa na mwandishi wa Temu online TV, Dudu baya ameongea mengi, amezungumzia uadui mkubwa uliopo kwenye...
3 Reactions
11 Replies
5K Views
Leo nimemsikia Moni Wa Centrozone akilia kwenye kipindi cha XXL cha Cloud's FM wakati kikiwa kinafika mwisho..Nikajiuliza anact au analia kweli??,,inakuaje kwanza mwanaume mzima unalia wakati...
2 Reactions
81 Replies
15K Views
Yusuph Mlela Dar es Salaam. Mwigizaji wa filamu nchini Tanzania, Yusuph Mlela amesema anapenda maisha ya kiki, kwamba kila analolifanya katika jamii ni kwa ajili ya kiki. Ametoa kauli hiyo leo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu, Senga na Pembe wanafahamika miaka mingi kwa umahiri wao wa vichekesho. Kwa miaka mingi ni kama walipotea na kuibuka kizazi kipya kilichofanya wengi kuwasahau. Wakongwe hawa wameingia...
12 Reactions
34 Replies
7K Views
Naanza na list ya massage zilizopo katika jiji la dar kwa ajili ya kupunguza uchovu kama unazijua nyingine endelea... 1.miriam massage masaki 2.signature massage makumbusho 3...
2 Reactions
59 Replies
29K Views
Habari zenu wakuu,Natumai mko salama...Direct to e' Point,Yule Mjasiriamali msomi wa mambo ya TV Productions na Mrembo ambae pia ni Boss/CEO wa Redio Lake FM 102.5 Iliyopo Mwanza Tanzania...
2 Reactions
45 Replies
7K Views
Naam Wanajamvi Series yetu inaendelea..WASSAPE akiwa kwenye kazi yupo serious..hatakagi kutekwa na starehe ya aina yoyote......#Inaendelea.....Usikose... To be Continued. @NgarenaroBoy.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa Muziki wa Bongo flava na wanaofatilia kwa ukaribu watakubaliana namimi makeke ya huyu kijana wa Kimakonde kutokea WCB Label. Kwa kipindi cha Mwaka 2018 hadi sasa amefanya kazi...
7 Reactions
72 Replies
12K Views
Naangalia sana kipindi chako kila nikipata nafasi hebu tupe sifa zetu wanawake,tunafanya mengi mazuri tu we kila siku mabaya tu kutunanga tu,dyadyaa tafadhali hebu siku moja moja ongelea mazuri...
13 Reactions
34 Replies
4K Views
Nyimbo namba moja Youtube Africa mwaka 2019 “Tetema” imefungiwa nchini Kenya. Kinachoshangaza hii nyimbo ina zaidi ya miezi 6 tangia imetoka ila imekuja kupigwa ban leo, sijui hawa wakenya...
2 Reactions
68 Replies
8K Views
Naandika uzi huu baada ya kuona nyuzi nyingi huku zikizungumzia masuala ya label kama msaada wakati ni biashara. Hebu fikiria, umekutana na msanii huko mtaani amejaliwa kipaji unaamua kuwekeza...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hey Guys,,, I hope mko poa Nimeziangalia Tuzo za Afrimma na category zake zimenishangaza sana, Kitu kilicho nishangaza ni kuona Omary Nyembo akiingia kwenye category tatu huku Harmonize na...
6 Reactions
151 Replies
15K Views
'I'll never stop missing you': George Michael's lover is pictured visiting the singer on Christmas Eve – just hours before he found the Wham! star's lifeless body at his £4m Oxfordshire home...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu nayasema haya si kwa chuki au unafki , ila wakati mwingine inabidi tuseme kama funzo kwa jamii yetu inayotuzunguka. Na si vyema kujadili maisha ya mtu lakini huyu ninayemjadili ni...
26 Reactions
162 Replies
26K Views
Habar waku, Kwa wenye mawazo ya haraka kama mm hamornize kazinguaa kinomaaa Kosa1! Kuchanganya siasa kwenye kuimbaa Hili limewakinaishaa wengi sanaa Kosa2: Hili la kutoka wcb sio kosa ...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bado sijaamini masikio yangu..hivi in kweli huyu jamaa kaamua kuokoka kweli au ndio maigizo ya kutafutiana kiki...kasema amezaliwa na kuwa kiumbe kipya
4 Reactions
56 Replies
8K Views
Back
Top Bottom