Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa mujibu wa stori zinazo zagaa kwa sasa ni Diamond atakuwa anasherekea siku ya kuzaliwa na mwanaye huyo mzawa wa Tanasha
1 Reactions
48 Replies
11K Views
Kesi ya Mwanamuziki wa miondoko ya R&B, Robert Sylvester Kelly(52) maarufu R.Kelly imechukua sura mpya baada ya kushtakiwa kwa makosa mapya Mwanamuziki huyo amekuwa akituhumiwa kwa makosa ya...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
​“These rap cats softer than a new born baby bottom... Eti big fish in this ocean... My pussy cat eats that shit..” Ni maneno yanayosemeka katika ukuta (wall) wa Harry Kaale maarufu kwa jina...
0 Reactions
41 Replies
19K Views
Cuban Marimba Band ilikuwa bendi ya muziki wa dansi kutoka Morogoro, Tanzania. Bendi ilianzishwa na Salum Abdallah Yazidu (SAY) mnamo 1948 ikiwa na jina la Kihispania maarufu kama La...
6 Reactions
10 Replies
5K Views
Msanii na CEO wa KONDE GANG Harmonize, ametuletea idea yake ya kugawa chakula Cha bure mitaani. Amethibitisha hilo kwenye post zake za Instagram alizo ziweke Hivi karibuni Picha.
1 Reactions
90 Replies
12K Views
Taarifa kutoka hospitali ya Bugando zinasema mwigizaji maarufu wa Kundi la Vichekesho la FUTUHI maarufu kwajina la Karumekenge amefariki dunia jana Ijumaa, Oktoba 26, 2018 usiku wakati akipatiwa...
0 Reactions
42 Replies
17K Views
Kweli jamaa wanaushamba fulani nimegunduaP
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Hakika huku ni kukosa fadhila. Hivi Harmonize hakumbuki Diamond Platnumz amemtoa wapi mpaka hapo alipofikia,yani neno dogo tu la kumpa hongera na kumtakia mafanikio mema bosi weka linamshinda...
8 Reactions
52 Replies
8K Views
Harusi inapovunjika dakika za mwisho Na PDIDY 3rd May 2009 Zipo harusi zingine ukisimuliwa mikasa yake utadhani ni sinema za kuigiza. Pilikapilika...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Harmonize amekuwa msanii pekee mwaka huu kutokana East Africa kuchaguliwa kuwania tuzo za MTV EMA katika kipengele Cha Best African Act akichuna na wakali Kama Barnaboy na Nasty C Unaweza kumpigia...
3 Reactions
45 Replies
7K Views
Mtihani mzito kwa Konde boy, anatakiwa atoe billion 1 ili apewe copyright ya nyimbo zake na kuachiwa account za youtube na Instagram. Kwa hiyo kisheria na kibiashara Harmonize bado ni msanii wa...
3 Reactions
33 Replies
8K Views
Kweli hawa jamaa nimeamini ni wanfiki siku za nyuma wamewahi kuonesha unafiki kwa wasanii wengi akiwemo Afande Sele, inashangaza sana kutokuwepo kwa jina la FID Q katika list itakayo sherehesha...
2 Reactions
26 Replies
8K Views
Msanii diamond platnumz amekiri anamiezi zaidi ya 3 hajatuma matumizi ya watoto wake South kwakuwa mzazi mwenzake Zari haonyeshi ushirikina wa kumpa kuongea na watoto wake Tiffah na Nillan...
3 Reactions
105 Replies
14K Views
Paolo Maldini mmojawapo ya mabeki hodari katika historia ya soka anastaafu mwisho mwa msimu huu.Amechezea mechi zaidi ya 900 kwa muda wa miaka 24.Pamoja na mafanikio yake yote lakini hakupata...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf.. Leo nikiwa nasikiliza muziki wa bongo fleva nikawaza mbali sana kuhusu ma legend wa ukweli wa mziki wetu. Hapa nimepanga list ya wanamuziki na nyimbo bora za muda wote...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Ukiachana na kina jaydee, ray c , saida karoli, mama stara thomas na pengine kwa mbali kina rosa ree, sister p na zay b ni wasanii wengi sana wa kike wakivuma kwa hit song moja ndio wanapotea...
3 Reactions
41 Replies
8K Views
Mimi ni mtu ninayeamini kuwa changamoto kubwa katika sanaa ya Bongo inaanzia kwa wasanii wenyewe ingawa serikali inachangia sana kwa kiwango kikubwa kuwadumaza, na hii sidhani kama wanasiasa...
11 Reactions
60 Replies
6K Views
Waafrika mbumbumbu sana inapofika suala la kuiga mambo ya kizungu hadi kufikia kuwa kichekesho, sasa baby shower ya mtoto mtu kafanya ya makungwi. Ndo utajua tofauti ya mtu mwenye pesa na mtu...
6 Reactions
85 Replies
13K Views
Eeehh ndio msimu umeanza, ni msimu wa tamasha la muziki lililoanza kwa muda mrefu, lengo sio kuzungumzia msimu ila "Kicheko" al maarufu Kicheko mtata mwamba ikifika kipindi hiki cha msimu ndio JD...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Kuna kipindi Fulani kiba alikuwa anafanya vizuri Sana na ushindani wake na diamond ulikuwa mkubwa Sana ila kwa sasa umepungua sana kwa miaka hii miwili ngoma zake zimekuwa hazifanyi vizuri japo...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom