Habari zinasambaa mtandaoni kuwa Mzee Ibrahim Kaduma amefsriki huko India alikokwenda kwa matibabu.
Mzee Kaduma alikuwa a staunch supporter wa Mwalimu Nyerere.
Mimi nimemfahamu alipokuwa Vice...
GEORGE WEAH MWANASOKA BORA WA DUNIA,ULAYA NA AFRIKA 1995.
Leo 13:15pm,29/06/2019.
George Weah akitokea ligi ya Liberia,moja kwa moja hadi klabu ya Monaco,baadae kuelekea club ya Paris St Germain...
Ile kauli kua you can't have it all hapa Tanzania haina nafasi. Huku Tanzania wasanii wetu wana kila kitu. Utunzi, uimbaji au uigizaji, uandishi, uongozaji, mapambo na kila kitu.
Wasanii wetu...
Masaa machache tangu mbunge Sugu amvishe Pete mchumba wake , aliekuwa Ex wake na mama mtoto wake Faiza Ally amuombea uchumba wake uvunjike ili arudi kwake kwani Bado anampenda
Sent using Jamii...
Aliyewahi kuwa mpenzi wa Mh Joseph Mbilinyi (Sugu) Faiza Ally apagawa na madanga anayoyapata akienda China mara kwa mara.
Faiza amefunguka kuwa anapata madanga hatari ambayo hata akiwatajia dau...
Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa...
Sherehe ilifana sana viongozi kiba wahudhuria akiwemo rais mstaafu wa awamu ya pili Mzee Mwinyi.
VIONGOZI mbalimbali Wastaafu na waliopo Madarakani wakiongozwa na Rais Mstaafu Alli Hassan Mwinyi...
Direct to the topic,Wanajamvi wa
Jukwaa hili mmekua mkichukizwa
Kinyama na nyuzi za uyu chalii
'WASSAPE',,nakupelekea wajombii
Wengine kudiriki kuniombea Ban,
Mala Uzi ufutwe yote ni yechu tu
Me...
Jina la Kiraia
Marshall Bruce Mathers III
Jina la kisanii
Eminem
Nchi
Marekani
Alizaliwa
17 Oktoba1972(umri 44)
Aina ya muziki
Hip Hop
Gangsta Rap
Midwest Hip Hop
Detroit Hip Hop
Horrorcore...
Katika Maisha Ukisema ukatae Mtoto Ni kama Vile Laana utaona Mambo yako hayafanikiwi kumbe wewe ndo unamakosaa!!
Naomba Msamaha sana kwa Mchumba wangu #SARAH_TZ Kiukwelii sikujua why nimekukosea...
Huyu sio WASSAPE..Ila huyu atasubili sana kwa King WASSAPE,Huyu ni msela wake wa karibu sana na WASSAPE. alimuandikia ile ngoma yake ya 'Hey Lover'
@NgarenaroBoy.
Ukiangalia Mara nyingi interview anazofanya diamond especially anapotaja wasanii wake wa WCB Mara nyingi jina la dada yake queen darling alitajigi lakini pia hata tu kupost kazi za dada yake queen...
Mwanamuziki bora wa muda Wote Juma Kakere ambaye mpaka leo Anatamba na kufanya vizuri na nyimbo zake Betty iliyotoka 2001,Pole kwa Safari iliyotoka 2004 na Mama Monica bado anafanya vizuri na Ujio...
Katika wasanii wa Tanzania wanaoongoza kwa unafiki basi Harmonize ni namba moja.
Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.