Walinzi binafsi kwa Kondeboy na Diamond ni Business branding.

October man

JF-Expert Member
Nov 23, 2017
3,635
4,997
Unajua inasikitisha mtu kuwa hujui na kujifanya kuwa ndio wewe unajua sana, hapa namzungumzia kile kinachoendelea kwa Harmonize na Diamomd hawa jamaa wameonekana na walinzi wengi na baadhi ya watanzania wasiojua dunia inazungukaje wanatoa comment 'ushamba' kama wewe mmoja wao nasema wewe hata kufanikiwa kwenye biashara uwenda ikawa ngumu sana.

Hizo showoff na machejo ya hawa watu ndio biashara yenyewe wanaji-brand inawafanya muda wote kuteka attention ya public mbali Kampuni yoyote ile ikitaka kufanya Deal hatuwezi fanya Deal na mtu mzembe wanaangalia biashara ipo wapi

So msanii anayefanya vizuri, anayejua kuteka attention za watu na kutengeneza kiki Deal lazima liwe kwake Voda watakuwa wajinga wakisaini Deal na Kiba, Aslay...ila watakuwa wajanja wakisaini Deal na Diamond au Kondeboy wanaangalia Attention ipo wapi ila sie watanzania tusiojua biashara tupo ushamba ushamba mbona MO na Bakharesa hawafanyi hivyo..You need to differentiate MO ni nani na Diamond ni nani.

Bodyguard ni ulinzi hii dunia imechafuka usione upo kwenye amani una-drink Azam ukwaju ila kwa mtu kama Diamond na Kondeboy pia ni njia ya kuji-value/Branding na ndio maana tunaona Diamond anazidi kufanikiwa na Kondeboy anafata nyayo hizo hizo atakuja kula Deal nyingi tu baadae tusiwe na imani potofu “Kiba anaishi kawaida” huo ni uzembe wake hajui biashara wacha wanaojua biashara wakamate Deal nyingi.
 
Niongeze kidogo pia inafanya hata kampuni inakupa dili nono mfano ukiangalia mavazi aliyovaa diamond pamoja na cheni ya dhahabu unaweza ukakuta amevaa si chini ya mil 70 mtu kama huyu akikutana na kampuni moja inafanya kampuni ifikirie kwa makini kama mtu anavaa si chini ya 70 je dau langu linaweza kufiti brand ya huyu msanii? Ndomaana diamond amekuwa akipata dili nono na makampuni mengi utazani hao makampuni hawaoni wasanii wengine.
 
Biashara hyo wameanzisha wao tu hapa dunian? Miaka kadhaa hapa bongo tumeshuhudia ujio wa wanamuziki na wafanya biashara wakubwa km vile 50cent, Jayz, Rickrose na hata wale wa kutoka afrika magharibi wakija hapa Tanzania kufanya either shows au shughuli zingne znazoendana na usanii wao, ila hatujawah kuona ulinzi km huo.

Hivi kwa hapa ndan diamond anafanya brand gan tena. Atleast ingekua akienda nje ya nchi lakin kwa ndani hamna anachonishawish zaid ya shiw offs.
 
Niongeze kidogo pia inafanya hata kampuni inakupa dili nono mfano ukiangalia mavazi aliyovaa diamond pamoja na cheni ya dhahabu unaweza ukakuta amevaa si chini ya mil 70 mtu kama huyu akikutana na kampuni moja inafanya kampuni ifikirie kwa makini kama mtu anavaa si chini ya 70 je dau langu linaweza kufiti brand ya huyu msanii? Ndomaana diamond amekuwa akipata dili nono na makampuni mengi utazani hao makampuni hawaoni wasanii wengine.

We mke wa diamond acha uongo milioni sabini unaijua wewe
 
Mabodi gadi wanavaa mabegi vifuani, nikiwangalia huwa nacheka tu maana naona kama komedi flani hivi
Mmh! Kumbe sio bulletproof zile?

Ila yatapita tu maana watanzania wanaigana mwisho wa siku watakuwa wanatembea na masai as bodyguard.

Mnakumbuka zamani walinzi walikuwa wamakonde baadae masai wakateka soko basi kama haya yatapita hivyo hivyo
 
Mmh! Kumbe sio bulletproof zile?

Ila yatapita tu maana watanzania wanaigana mwisho wa siku watakuwa wanatembea na masai as bodyguard.

Mnakumbuka zamani walinzi walikuwa wamakonde baadae masai wakateka soko basi kama haya yatapita hivyo hivyo
Hakuna cha bulllet proof pale, wale ni waigizaji tu huwa naona kituko wanavyoangika angaika kama siafu vile
 
Niongeze kidogo pia inafanya hata kampuni inakupa dili nono mfano ukiangalia mavazi aliyovaa diamond pamoja na cheni ya dhahabu unaweza ukakuta amevaa si chini ya mil 70 mtu kama huyu akikutana na kampuni moja inafanya kampuni ifikirie kwa makini kama mtu anavaa si chini ya 70 je dau langu linaweza kufiti brand ya huyu msanii? Ndomaana diamond amekuwa akipata dili nono na makampuni mengi utazani hao makampuni hawaoni wasanii wengine.
Siiku akitofautiana na Freemasons, yatamkuta ya kanumba
 
Niongeze kidogo pia inafanya hata kampuni inakupa dili nono mfano ukiangalia mavazi aliyovaa diamond pamoja na cheni ya dhahabu unaweza ukakuta amevaa si chini ya mil 70 mtu kama huyu akikutana na kampuni moja inafanya kampuni ifikirie kwa makini kama mtu anavaa si chini ya 70 je dau langu linaweza kufiti brand ya huyu msanii? Ndomaana diamond amekuwa akipata dili nono na makampuni mengi utazani hao makampuni hawaoni wasanii wengine.
acha upumbavu kondoo wewe..
 
Back
Top Bottom