October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
Unajua inasikitisha mtu kuwa hujui na kujifanya kuwa ndio wewe unajua sana, hapa namzungumzia kile kinachoendelea kwa Harmonize na Diamomd hawa jamaa wameonekana na walinzi wengi na baadhi ya watanzania wasiojua dunia inazungukaje wanatoa comment 'ushamba' kama wewe mmoja wao nasema wewe hata kufanikiwa kwenye biashara uwenda ikawa ngumu sana.
Hizo showoff na machejo ya hawa watu ndio biashara yenyewe wanaji-brand inawafanya muda wote kuteka attention ya public mbali Kampuni yoyote ile ikitaka kufanya Deal hatuwezi fanya Deal na mtu mzembe wanaangalia biashara ipo wapi
So msanii anayefanya vizuri, anayejua kuteka attention za watu na kutengeneza kiki Deal lazima liwe kwake Voda watakuwa wajinga wakisaini Deal na Kiba, Aslay...ila watakuwa wajanja wakisaini Deal na Diamond au Kondeboy wanaangalia Attention ipo wapi ila sie watanzania tusiojua biashara tupo ushamba ushamba mbona MO na Bakharesa hawafanyi hivyo..You need to differentiate MO ni nani na Diamond ni nani.
Bodyguard ni ulinzi hii dunia imechafuka usione upo kwenye amani una-drink Azam ukwaju ila kwa mtu kama Diamond na Kondeboy pia ni njia ya kuji-value/Branding na ndio maana tunaona Diamond anazidi kufanikiwa na Kondeboy anafata nyayo hizo hizo atakuja kula Deal nyingi tu baadae tusiwe na imani potofu “Kiba anaishi kawaida” huo ni uzembe wake hajui biashara wacha wanaojua biashara wakamate Deal nyingi.
Hizo showoff na machejo ya hawa watu ndio biashara yenyewe wanaji-brand inawafanya muda wote kuteka attention ya public mbali Kampuni yoyote ile ikitaka kufanya Deal hatuwezi fanya Deal na mtu mzembe wanaangalia biashara ipo wapi
So msanii anayefanya vizuri, anayejua kuteka attention za watu na kutengeneza kiki Deal lazima liwe kwake Voda watakuwa wajinga wakisaini Deal na Kiba, Aslay...ila watakuwa wajanja wakisaini Deal na Diamond au Kondeboy wanaangalia Attention ipo wapi ila sie watanzania tusiojua biashara tupo ushamba ushamba mbona MO na Bakharesa hawafanyi hivyo..You need to differentiate MO ni nani na Diamond ni nani.
Bodyguard ni ulinzi hii dunia imechafuka usione upo kwenye amani una-drink Azam ukwaju ila kwa mtu kama Diamond na Kondeboy pia ni njia ya kuji-value/Branding na ndio maana tunaona Diamond anazidi kufanikiwa na Kondeboy anafata nyayo hizo hizo atakuja kula Deal nyingi tu baadae tusiwe na imani potofu “Kiba anaishi kawaida” huo ni uzembe wake hajui biashara wacha wanaojua biashara wakamate Deal nyingi.