Roma Na Stamina (Rostam),Acheni kutembelea kiki ya Fiesta.

Jimmy De Lite

JF-Expert Member
Jun 10, 2019
635
2,305
Hey Mapeople,,,

Nimekuwa nikimfuatilia Roma na Stamina jinsi wanavyo Fanya mziki wao ni wazi kuwa wanafanya mziki kwa ajili ya Tigo fiesta na hawana malengo yoyote juu ya mziki wao.

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa hawa wasanii wanao jiita ROSTAM ni wazi utakuwa umegundua hili,Mara nyingi wamekuwa wakisubiri Fiesta itangazwe ndo wanatoa ngoma,Na ngoma zao zote zilizo Fanya vizuri kidogo ni zile wanazo zitoa kipindi kama hiki cha Fiesta.

Ni wazi kuwa Roma na Stamina bila Fiesta hakuna lolote,Na Fiesta ikiisha huwezi kuwasikia tena mpaka msimu mwingine.

Clouds achaneni na wasanii kama hawa ambao hawana malengo na mziki wao,Nilitegemea mtu akipata show za fiesta iwe kama platform ya kumsogeza mbele kiaina.

Clouds pigeni chini Roma na Stamina ili akili iwakae sawa ,Haiwezekani wawe wana achia ngoma kipindi hiki kwa kuamini Zita pigwa sana.

#Jimmy-The-Inimitable.
 
Hey Mapeople,,,

Nimekuwa nikimfuatilia Roma na Stamina jinsi wanavyo Fanya mziki wao ni wazi kuwa wanafanya mziki kwa ajili ya Tigo fiesta na hawana malengo yoyote juu ya mziki wao.

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa hawa wasanii wanao jiita ROSTAM ni wazi utakuwa umegundua hili,Mara nyingi wamekuwa wakisubiri Fiesta itangazwe ndo wanatoa ngoma,Na ngoma zao zote zilizo Fanya vizuri kidogo ni zile wanazo zitoa kipindi kama hiki cha Fiesta.

Ni wazi kuwa Roma na Stamina bila Fiesta hakuna lolote,Na Fiesta ikiisha huwezi kuwasikia tena mpaka msimu mwingine.

Clouds achaneni na wasanii kama hawa ambao hawana malengo na mziki wao,Nilitegemea mtu akipata show za fiesta iwe kama platform ya kumsogeza mbele kiaina.

Clouds pigeni chini Roma na Stamina ili akili iwakae sawa ,Haiwezekani wawe wana achia ngoma kipindi hiki kwa kuamini Zita pigwa sana.

#Jimmy-The-Inimitable.
Kila mtu afanye kazi yake kwa namna anayoona inafaa ili mradi tu hajaja kwako kukuomba pesa ya kula.

Kila mtu ale kuku wake.
 
Hey Mapeople,,,

Nimekuwa nikimfuatilia Roma na Stamina jinsi wanavyo Fanya mziki wao ni wazi kuwa wanafanya mziki kwa ajili ya Tigo fiesta na hawana malengo yoyote juu ya mziki wao.

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa hawa wasanii wanao jiita ROSTAM ni wazi utakuwa umegundua hili,Mara nyingi wamekuwa wakisubiri Fiesta itangazwe ndo wanatoa ngoma,Na ngoma zao zote zilizo Fanya vizuri kidogo ni zile wanazo zitoa kipindi kama hiki cha Fiesta.

Ni wazi kuwa Roma na Stamina bila Fiesta hakuna lolote,Na Fiesta ikiisha huwezi kuwasikia tena mpaka msimu mwingine.

Clouds achaneni na wasanii kama hawa ambao hawana malengo na mziki wao,Nilitegemea mtu akipata show za fiesta iwe kama platform ya kumsogeza mbele kiaina.

Clouds pigeni chini Roma na Stamina ili akili iwakae sawa ,Haiwezekani wawe wana achia ngoma kipindi hiki kwa kuamini Zita pigwa sana.

#Jimmy-The-Inimitable.
Bila shaka wewe ndio uliyetajwa, Mariam unapika Biriani na bado unapakuliwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom