wana jf.
katika vijana wajanja dar es salaam Diamond kwa kweli uenda akawa number one kwa vile aliko toka mpaka alipo kwa kipindi cha miaka kumi amefanya mengi mno hadi kumchukulia bwana mtu...
Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana
Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu...
Tofauti na ile sikati tamaa,nishike mkono,weekend,na mziki nyingine zote anazotoa siku hizi sijui achia njia,relax ni utumbo mtupu anatakiwa atulie ajipange upya
AFUNGUKA KILA KITU
DIAMOND Platinumz ni mwanamuziki mkubwa Afrika, inatajwa kuwa msanii huyo ana timu nzuri nyuma yake ambayo imemwezesha kupata mafanikio mengi makubwa.
DIAMOND
Ukiachana na...
Umofia Kwenu wana JF,
Kwanza niwatakie heri katika siku hii ya kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu JK original.
~Nilikuwa naangalia Movie ya set it off(1996) ya kina Vivica uwa naipenda sana...
Inaonekana watanzania wengi mnapenda kujifunza lakini ni uongo umetujaa tu.
Mara nyingi unapotokea ubishani hususan katika masuala ya kimziki haswa kati ya team Diamond na team Kiba utasikia...
Ukitaka mziki wa kuelimisha matafute Maalim Nash mc or
Tamaduni music kwa ujumla mziki wao unaelimisha me nshaelimika kitambo kuanzia enzi za sunday school
shuleni pia nlielimika na bado...
Diamond asema alilipwa shilingi milioni 100 ili kutumbuiza jukwaa moja na Alikiba katika show ya ‘Kiboko Yao'.
Mashabiki wengi wa muziki wa Bongo wanatamani siku moja kuwaona Diamond na...
Ndoa ya leo ya Dr. Mengi na K-Lynn ni ya kweli? au ndio tusubiri siku Dr. Mengi ajekuita waandishi wa habari na kukanusha tena kuwa ni uvumi tuu?
Street is talking kwamba ndoa ya Dr. Mengi na...
Msanii Harmonise amesema mahusiano yake na Huddah wa Kenya yalimtatiza sana
anadai kuna kazi walikuwa wafanye na kukubaliana ili kuipa kiki kazi akapost video wakiwa pamoja mtandaoni, watanzania...
Wakuu salute sana, kumekuwa na tetesi za Harmonize kuhama WCB, japo hakuna tamko lolote toka WCB au Kondeboy kuhusu kung'atuka WCB.
Kuna mtu anazungumziwa kuwa ndo master mind architecture wa...
Pamekuepo na taarifa za mara kwa mara za mmoja wa wanamuziki wa WCB Harmonise kuondoka au kutaka kuondoka katika lebel yake hiyo iliyomtoa na kukuza.
Binafsi baada ya kusoma mijadala mingi uko...
Jna hapa Moshi kulikuwa na uzinduzi wa Club hapa town maeneo ya Kuringe, sasa cha kushangaza huyu bwana alilewa bwiii, kiasi kwamba hata shoo yenyewe haikuwa tam kivile. Sasa nakushauri punguza...
Leo kupitia Clouds FM Mtangazaji wa kipindi cha Ala Za Roho "Diva" ametoa sababu za yeye kumuacha Mwana BongoFlava wetu King Crazy GK.
Kupitia kipindi cha leotena ya clouds fm Diva amesema GK...
angalizo: mimi sio mtu wa habari za udaku, ila leo najaribu kuanzisha thread kwa kutumia approach ya kiudaku.
twende kwenye mada kuu.
nakumbuka miaka kadhaa iliyopita hapa jf, watu mbalimbali...
Baada ya kipande kidogo kusikika kwenye documentary yake akiimba shida zitaisha lini na watu kuvutiwa sana na soundtrack hiyo.
Mbosso khan ameamua kuingia studio na kumalizia iwe wimbo kamili...
Nuh Mziwanda na Nawali wanaodaiwa kutengana kutokana na wote wawili kutokuishi karibu kama awali huku Nuh Mziwanda akidaiwa kurudi kwenye dini yake ya zamani.
Gossip Cop Soudy Brown amewatufuta...
is this the best these pple can do? nasema kuanzia backgroung music to arrangement na tazama watu walivyokaa kihasara hasara eidha watu waqmechoka sana au ndio hakuna ma A LISTERS huko Dar...
Jamaa alikuwa live kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, katema madini ya kutosha.
Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.