Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

wana jf. katika vijana wajanja dar es salaam Diamond kwa kweli uenda akawa number one kwa vile aliko toka mpaka alipo kwa kipindi cha miaka kumi amefanya mengi mno hadi kumchukulia bwana mtu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu...
9 Reactions
62 Replies
16K Views
Tofauti na ile sikati tamaa,nishike mkono,weekend,na mziki nyingine zote anazotoa siku hizi sijui achia njia,relax ni utumbo mtupu anatakiwa atulie ajipange upya
4 Reactions
44 Replies
7K Views
AFUNGUKA KILA KITU DIAMOND Platinumz ni mwanamuziki mkubwa Afrika, inatajwa kuwa msanii huyo ana timu nzuri nyuma yake ambayo imemwezesha kupata mafanikio mengi makubwa. DIAMOND Ukiachana na...
12 Reactions
128 Replies
34K Views
Umofia Kwenu wana JF, Kwanza niwatakie heri katika siku hii ya kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu JK original. ~Nilikuwa naangalia Movie ya set it off(1996) ya kina Vivica uwa naipenda sana...
1 Reactions
46 Replies
17K Views
Inaonekana watanzania wengi mnapenda kujifunza lakini ni uongo umetujaa tu. Mara nyingi unapotokea ubishani hususan katika masuala ya kimziki haswa kati ya team Diamond na team Kiba utasikia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukitaka mziki wa kuelimisha matafute Maalim Nash mc or Tamaduni music kwa ujumla mziki wao unaelimisha me nshaelimika kitambo kuanzia enzi za sunday school shuleni pia nlielimika na bado...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari Wakuu, najua kuna watu wanajua kupinga sana Ila HARMONIZE HANA KIPAJI PROMO INAMBEBA
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Diamond asema alilipwa shilingi milioni 100 ili kutumbuiza jukwaa moja na Alikiba katika show ya ‘Kiboko Yao'. Mashabiki wengi wa muziki wa Bongo wanatamani siku moja kuwaona Diamond na...
0 Reactions
59 Replies
18K Views
Ndoa ya leo ya Dr. Mengi na K-Lynn ni ya kweli? au ndio tusubiri siku Dr. Mengi ajekuita waandishi wa habari na kukanusha tena kuwa ni uvumi tuu? Street is talking kwamba ndoa ya Dr. Mengi na...
1 Reactions
92 Replies
30K Views
Msanii Harmonise amesema mahusiano yake na Huddah wa Kenya yalimtatiza sana anadai kuna kazi walikuwa wafanye na kukubaliana ili kuipa kiki kazi akapost video wakiwa pamoja mtandaoni, watanzania...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu salute sana, kumekuwa na tetesi za Harmonize kuhama WCB, japo hakuna tamko lolote toka WCB au Kondeboy kuhusu kung'atuka WCB. Kuna mtu anazungumziwa kuwa ndo master mind architecture wa...
10 Reactions
126 Replies
29K Views
Pamekuepo na taarifa za mara kwa mara za mmoja wa wanamuziki wa WCB Harmonise kuondoka au kutaka kuondoka katika lebel yake hiyo iliyomtoa na kukuza. Binafsi baada ya kusoma mijadala mingi uko...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jna hapa Moshi kulikuwa na uzinduzi wa Club hapa town maeneo ya Kuringe, sasa cha kushangaza huyu bwana alilewa bwiii, kiasi kwamba hata shoo yenyewe haikuwa tam kivile. Sasa nakushauri punguza...
20 Reactions
161 Replies
23K Views
Leo kupitia Clouds FM Mtangazaji wa kipindi cha Ala Za Roho "Diva" ametoa sababu za yeye kumuacha Mwana BongoFlava wetu King Crazy GK. Kupitia kipindi cha leotena ya clouds fm Diva amesema GK...
2 Reactions
63 Replies
14K Views
angalizo: mimi sio mtu wa habari za udaku, ila leo najaribu kuanzisha thread kwa kutumia approach ya kiudaku. twende kwenye mada kuu. nakumbuka miaka kadhaa iliyopita hapa jf, watu mbalimbali...
1 Reactions
78 Replies
12K Views
Baada ya kipande kidogo kusikika kwenye documentary yake akiimba shida zitaisha lini na watu kuvutiwa sana na soundtrack hiyo. Mbosso khan ameamua kuingia studio na kumalizia iwe wimbo kamili...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Nuh Mziwanda na Nawali wanaodaiwa kutengana kutokana na wote wawili kutokuishi karibu kama awali huku Nuh Mziwanda akidaiwa kurudi kwenye dini yake ya zamani. Gossip Cop Soudy Brown amewatufuta...
2 Reactions
44 Replies
12K Views
is this the best these pple can do? nasema kuanzia backgroung music to arrangement na tazama watu walivyokaa kihasara hasara eidha watu waqmechoka sana au ndio hakuna ma A LISTERS huko Dar...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamaa alikuwa live kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, katema madini ya kutosha. Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Back
Top Bottom