Diamond amepata tena dili la kusaini miaka miwili na nusu na kampuni ya kuuza sabuni ya niceone baada ya kupita wiki kama mbili toka asaini dili la kampuni kubwa ya kubeti na Hadi sasa hivi kufikisha kuwa balozi wa makampuni 9 ndani ya mwaka Huu.
Hahahahahahahahah
Kanyonywa sana huyu kijana...Kondegang yuko buys Na siasa
Ebu tupe ushaidi ya yeye kunyonywa? Na utupe hata sehemu aliyosema harmonize ananyonywa na WCB?Kanyonywa sana huyu kijana...
mikataba kama ya kina chief Mangungo mibaya sana....
maana unaliwa huku unaona....
noma sana...
Mwambie Harmo... akupe mkataba wake usome utaelewa tu....Ebu tupe ushaidi ya yeye kunyonywa? Na utupe hata sehemu aliyosema harmonize ananyonywa na WCB?
Wanaume wa dar wanazipenda sana.Hivi huyu bwana mdogo products zake za karanga na unyunyu zina perform vipi sokoni?
harmonize je ni balozi wa nini?Diamond amepata tena dili la kusaini miaka miwili na nusu na kampuni ya kuuza sabuni ya niceone baada ya kupita wiki kama mbili toka asaini dili la kampuni kubwa ya kubeti na Hadi sasa hivi kufikisha kuwa balozi wa makampuni 9 ndani ya mwaka Huu.
Bado hajawa balozi wa kampuni yoyote ila tunategemea baadae anaweza akawa nayo.harmonize je ni balozi wa nini?
.Ila Niceone sio sabuni inafubaza nguo