Habar waku,
Kwa wenye mawazo ya haraka kama mm hamornize kazinguaa kinomaaa
Kosa1! Kuchanganya siasa kwenye kuimbaa
Hili limewakinaishaa wengi sanaa
Kosa2: Hili la kutoka wcb sio kosa ...
Bado sijaamini masikio yangu..hivi in kweli huyu jamaa kaamua kuokoka kweli au ndio maigizo ya kutafutiana kiki...kasema amezaliwa na kuwa kiumbe kipya
Swedish YouTuber, self-proclaimed comedian, game streamer, and controversy magnet Felix Arvid Ulf Kjellberg – better known by his online persona PewDiePie – has hit the 100 million subscribers...
Wapenzi wa WCB wote tukutane hapa tutete mawili matatu kuhusu huyu bwana mdogo Rajabu (Harmonize).
Binafsi nimesikishwa sana jinsi alivyobadilika, amejaa kiburi ,majivuni na kujiona yeye ndio...
nauona mpambano mkali sana huku WCB kule Konde Gang hapa Kings Music aisee Bongo Flava itakua mbali saaaaaaana! ni mwendo wa hits tu jamani. Ngoja tuone
Its been 19 years since you gone , as a number one fan , i would love to say that we miss you Tupac Amaru Shakur .... Music aint the same without Pac . Lets all join to celebrate his hip hop and...
habarini zenu wajameni
kwa wale wanaofuatilia mziki wa bongo fleva, na wa afrika mashariki kwa ujumla matumaini yangu ni kwamba mnamjua mtayarishaji wa beats maarufu kwa jina p-majani kinywele...
Sikiliza Wimbo Mpya wa Rosa Ree Unaitwa What You Know...Huu ni wimbo uliokatika mahadhi ya Raggae umerekodiwa South Afrika na Producer Anayeitwa Sakhile
Bonyeza Play Kusikiliza:
Aman iwe juu yenu wakuu
Nimebahatika kuona video fupi ya msanii tumain ngerela AKA DUDUBAYA akiomba msamaha.
Anaonekana kabisa kalazimishwa na watu fulan afanye hivyo, ukisikiliza vizur anaomba...
Kuna jamaa watatu nimewakuta wamechill somewhere,
Kwa maongezi yao wanaonekana kuwa ni wadau wazuri sana wa tasnia ya burudani hapa mjini na ni watu wenye taarifa kuntu sana juu ya tasnia hii...
Miongoni mwa upcoming starz wanaofanya poa kwenye gemu la mziki wa bongofleva in msanii 'Hanstone'. Kijana anafanya poa sana kama walivyo kina Marioo, Mbosso Khan, Whozu na wengine kama buku ila...
Wakuu sipo hapa kupigia debe hawa wasanii, ila kifupi ni kwamba wanajua sana...
Ladha halisi ya muziki ipo THT, hawa inaonekana wanafunzwa hasa na wanaelewa wanachofanya. Kwa kifupi nimewasikiliza...
Jamaa ni mkongo mwenye hela zake ndo maana ikawa rahisi kumbadili dini irene kuwa sheila
Ushahidi kadi ya mwaliko wa shughuli yenyewe. Soon picha ya bwana harusi itapatikana tu
Mrembo kutoka Rwanda anayejulikana kwa jina la shaddyboo ambaye anajihusisha na mambo ya urembo pia ni video vixen ndiye mrembo mpya wa msanii diamond ambaye anaziba pengo la wazazi wenzie na...
habari wadau..
nakumbuka babu tale ndie mwanzilishi na meneja wa tip top connection kina madee, keisha, tunda, dogo janja etc... naona amekimbia lebo yake anabanana WCB.
sallam nakumbuka ni...
Mwanadada Irene Uwoya amesema ingawa Jaguar alishindwa kuja kuzungumza na wazazi wake kuhusu ndoa yao, bado wanawasiliana vizuri na kila kitu kipo sawa.
Akizungumza na Mpekuzi, Irene amesema...
A.k.a Simba, kiukweli umetisha sana kwa jambo kuu moja, Binafsi nakupongeza sana Diamond Plutnum Mtoto wa Tandale.
Jambo kuu lenyewe ni ili la kuwa makini sana katika Maisha yako, nazungumzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.