Jacob Steven (JB): Sijabarikiwa kupata mtoto mpaka sasa, sijawahi kuwa na mchepuko

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,725
18,620
Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele
Amedai pia ameokoka na hana mchepuko katika maisha yake kwa kuwa anaamini kuwa na wanawake wengi kunakuletea mabalaa katika maisha

 
MUNGU ni mwema kwa watu wote, Mungu anayo makusudi yake...

Hata Abraham, (Baba wa Iman), haikuwa rahis kuamini kwa kizazi hichi cha ishara kuamini pale alipoambia, uzao wako utakuwa mfano wa nyota na mchanga wa baharini
 
Tumsifu Yesu k
MUNGU ni mwema kwa watu wote, Mungu anayo makusudi yake...

Hata Abraham, (Baba wa Iman), haikuwa rahis kuamini kwa kizazi hichi cha ishara kuamini pale alipoambia, uzao wako utakuwa mfano wa nyota na mchanga wa baharini
Kristo
 
Pole sana kada wa CCM, why don't you team up with Bashite halafu mkatafuta kwa Gwajima pale????
 
Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele
Amedai pia ameokoka na hana mchepuko katika maisha yake kwa kuwa anaamini kuwa na wanawake wengi kunakuletea mabalaa katika maisha


Mungu atamsaidia
 
Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele
Amedai pia ameokoka na hana mchepuko katika maisha yake kwa kuwa anaamini kuwa na wanawake wengi kunakuletea mabalaa katika maisha



Kwahiyo kwa lugha iliyo nyepesi na nyoofu mnataka kusema kuwa kumbe JB ni mgongesha ' besela ' maarufu Tanzania?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom