Kwanini wenye mapene hawawakodi hawa watui?Tulichogundua mabaunsa wengi mjini hawana kazi
Aaah wapi, kwenye picha ya konde boy (kushoto) huyo jamaa mwenye kiduku aliyenyoosha mkono mtazame mara mbilimbili alafu fatilia na picha za mondi akiwa na walinzi wake zinginezo utamuona.Anampiku brother wakeView attachment 1211234
tabu wamepata fedha bila matarajio hivyo wanakuwa washamba katika kuzipangia matumizi.
wanajikuta kila kitu wananununa
Pole! kumbe na wewe ni muhanga wa vyeti fekiAcheni alindwe hao walinzi wana familia aseee unoko unoko sio mzuri,wakipunguzwa then harmo akawa anatembea peke ake hao majamaa wakaja mtaani kutukaba mtaanza mlalamikia nani?
Hivi hizo mbavu zikikosa kazi then zikawa zinakuvizia wewe umetoka kazini wakutie kabali hv utaacha toa kila kitu kweli? hadi ambavyo hujaambiwa unaweza ukatoa.
N sawa na wale wanaochongea wenzao wenye vyeti feki..hivi unamchongea mtu anacheti feki akifukuzwa kazi wewe unafaidika nini? basi bora afukuzwe kazi then nafasi yake apewe baba ako au ndugu yako ila nafasi anapewa mwingineeeee kbsaaaaa hata humjui halafu unachekelea.
Mnapata faida gani kuwa na vihere here na maisha na kula za watu wengine aseee,ifike tu mahali muwe mnaongelea ,mambo ya familia zenu na kuacha maisha ya watu maana huo ndio Uchawi,sema mmekosa vifaaa tu vya kupaaa angani.