Tena juzi Kenya wamegongelea na msumali kabisa, wamepitisha sheria ya kuruhusu ndoa za wake wengi, na kukataa ndoa ya jinsia moja. Yaani ushoga kwa kenya ni kosa la jinai, kisheria kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna.
Tuuane kwa faida ya nani?? Nmeshaeleza wakitaka kutugombanisha hawahitaji kumuua Lissu ila wanatuminya misaada na vikwazo juu mpaka nchi inakua hali tete tunagawanyika na kuingia kwenye machafuko. Yaani huwezi mchonganisha ombaomba wakati ukimnyima mia tu ni adhabu tosha.US ni Aibu kupigana au kujibizana na Tz bali ni kupandikiza chuki tuuane sisi wenyewe , Don't be fool you guys ni sawa ukamwadisie Rafiki yako Matatizo ya mumeo / Mkeo atajifanya Mshauri ila akitoka hapo atatangaza Mtaa mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaaaiiiiseee! Huwa namuwaza Roma pia maumivu aliyopata wakati wanavunja kidole chakeHaya mkammiminie risasi huyo aliyetoa tamko kama kawaida yenu
Marekani sio mwanachama wa icc hawezi kumshitaki makondaNimeona taarifa kwamba mkuu wetu wa mkoa ni kinara wa kukiuka haki za binadamu
Je C.I.A wamemchimba vya kutosha na wakawasilisha faili lake kwa Trump ? Kwa nini kama kweli wana ushahidi wasimpeleke ICC? Kama wao ni wanaume,tukutane ICC au watoe hati ya kumkamata
Na kama kuna mtu mnamtafuta ila mmeanzia mbali,mseme
Marekani sio mwanachama wa iccHuo ndio mwanzo. Isishangae kusikia ana kesi za kujibu ICC. Huku namba moja bado ana mmbeba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Bashite ataongea nini na Pompeo.Hilo Jambo linataka kukuzwa bila sababu, hizi Ni tuhuma hakuna mahali Makonda kashitakiwa.
Ni vyema makonda aombe kukutana na balozi wa marekani ili amweleze kosa lake ni Nini, na Kama Kuna tuhuma basi apewe muda azijibu.
Baada ya hapo iundwe time ya pamoja Kati ya marekani na Tanzania ipitie tuhuma zake na suluhisho lake report ipelekwe pande zote mbili kwa utekelezaji
Baadae Makonda aonane na Pompeo amwombe radhi kwa tuhumu za kweli na tuhuma za uongo amweleze kuwa amemsamehe kwani nayeye Ni binadamu.
Hatuhitaji kugangamala Kama albashir, tunahitaji kuwa wanyenyekevu na wadikivu, huo ndio uungwana. Uhuru Kenyatta pamoja na kuwa Ni rais alienda icc na akahudhuria kesi na Sasa Yuko huru.
Pompeo hajawahi onana na makonda Wala hamjui Ni maneno yakuambiwa tu.
Binafsi maovu ya makonda siyajui, najua anahamasisha ujezi wa shule na zahanati. Anaendesha harambee za tiba za moyo kwa watoto. Anapambana na majizi na Wala madawa ya kulevya. Anapambana na uzembe kazini.
Amweleze Pompeo kuwa Hawa wanaompiga Vita Ni wachuuzi wa madawa ya kulevya. Magenge ya wezi maarufu Kama panyaroad. Matapeli ya viwanja na wabadhirifu wa mali za umma.
Kwani anaambilika?
Sasa mbona anamsakamaPompeo hawezi kuongea na mtu vyeti feki.
Watanzania tusitetereke. Hii ni baada ya nchi chini ya uongozi wa magufuli kusimama kidete kutetea haki yake kwenye madini. Nchi za kibeberu wamepatwa hasira na nchi yetu. Kama ni kweli wanajali haki za binadamu na sio maslahi ya kiuchumi wangeanza na mwana wa mfalme wa saudia
Yes..Mkuu sisi ni matajiri, donor country 😂😂😂😂
sisi ni matajiri sana, hata U.S.A akitaka vita na sisi tutampiga yeye na washirika wake wote.Sisi hatupangiwi, tunalinda heshima ya nchi yetu😂😂😂😂