Arusha, Tanzania
ITIFAKI YA UFUNGUZI YABADILISHWA DAKIKA ZA MWISHO
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa 77 wa Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na watu, waziri Dr. Pindi Chana ametangaza mabadiliko baada ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kutingwa na shughuli zingine za kitaifa hivyo kushindwa kuwepo kufungua mkutano huo wa kimataifa na atawakilishwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dr. Hussein Ali Mwinyi
View: https://m.youtube.com/watch?v=7fcJ96FBoZk
Miongoni mwa shughuli zitakazo kuwepo ktk mkutano huo ni uwasilishaji wa ripoti za nchi wanachama waliosaini mkataba wa kuwepo Tume hiyo muhimu Afrika
Ripoti ya nchi inayowasiliswa na nchi mwanachama lazima iangazie na ieleze yafuatayo:
• Hatua zilizochukuliwa katika kutekeleza masharti yaliyomo katika mkataba
• Maendeleo yaliyopatikana hadi wakati huo
• Changamoto zinazoathiri utekelezaji wa Mkataba na nyaraka nyingine za nyongeza zinazohusika
Nchi zinatakiwa kuwasilisha taarifa chini ya Mkataba wa Umoja wa Afrika kuhusu Ulinzi na Msaada wa Watu Waliolazimika Kuhama Makazi Ndani ya Nchi (ibara ya 14 (4) ya Mkataba wa Kampala).
Nchi ambazo zimeridhia Mkataba wa Afrika na Itifaki ya Maputo zinatakiwa kuwasilisha ripoti yenye sehemu tatu, kila sehemu moja ikihusika na mkataba mmoja.
Nchi inatakiwa kueleza utekelezaji wa masharti ya Itifaki ya Maputo kama imeridhia kulingana na Mwongozo wa Tume wa kwa ajili ya nchi kuwasilisha taarifa chini ya Itifaki ya Maputo.
Faida ya uwasilishaji wa ripoti ya nchi katika Itifaki ya Maputo
• Uwasilishaji ripoti huisaidia Tume kutimiza jukumu lake la uangalizi wa kusimamia utekelezaji wa Itifaki.
• Uwasilishaji wa Ripoti za nchi huipa nafasi nchi mwanachama
kuonesha hatua zilizochukuliwa kutekeleza itifaki, pamoja na sababu na changamoto zinazozuia utekelezaji wa Itifaki wenye ufanisi.
• Mchakato wa kuwasilisha unaiwezesha Tume kukusanya taarifa na uzoefu uliojitokeza katika nchi nyingi kutoka nchi kuhusu haki za wanawake katika Afrika.
• Baada ya kuzingatia ripoti hizi, Tume ya Afrika hutoa hitimisho na mapendekezo ambayo nchi wanachama wanatarajiwa kuyatekeleza ili kuboresha upatikanaji wa haki za wanawake.
• Uwasilishaji ripoti wa nchi hutoa namna ambayo Tume hupata taarifa za kuaminika na taswira ya kuaminika ya hali ya haki za binadamu katika nchi. ..... soma zaidi : source : Mwongozo wa Mfumo wa Haki za Binadamu Afrika - Maadhimisho ya Miaka 40 Tangu Kukubalika kwa Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu 1981-2021 - Pretoria University Law Press (PULP)
View: https://m.youtube.com/watch?v=CYvY3VFdHgs
The African Commission on Human and Peoples’ Rights (the ACHPR) wishes to inform State Parties to the African Charter on Human and Peoples’ Rights, Organs of the African Union, National Human Rights Institutions, International Organizations, Non-Governmental Organizations and the general public that the 77th Ordinary Session of the ACHPR is scheduled to take place in Arusha Tanzania from Friday 20 October to Thursday 9 November, 2023.
ITIFAKI YA UFUNGUZI YABADILISHWA DAKIKA ZA MWISHO
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa 77 wa Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na watu, waziri Dr. Pindi Chana ametangaza mabadiliko baada ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Samia Suluhu Hassan kutingwa na shughuli zingine za kitaifa hivyo kushindwa kuwepo kufungua mkutano huo wa kimataifa na atawakilishwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dr. Hussein Ali Mwinyi
View: https://m.youtube.com/watch?v=7fcJ96FBoZk
Miongoni mwa shughuli zitakazo kuwepo ktk mkutano huo ni uwasilishaji wa ripoti za nchi wanachama waliosaini mkataba wa kuwepo Tume hiyo muhimu Afrika
Ripoti ya nchi inayowasiliswa na nchi mwanachama lazima iangazie na ieleze yafuatayo:
• Hatua zilizochukuliwa katika kutekeleza masharti yaliyomo katika mkataba
• Maendeleo yaliyopatikana hadi wakati huo
• Changamoto zinazoathiri utekelezaji wa Mkataba na nyaraka nyingine za nyongeza zinazohusika
Nchi zinatakiwa kuwasilisha taarifa chini ya Mkataba wa Umoja wa Afrika kuhusu Ulinzi na Msaada wa Watu Waliolazimika Kuhama Makazi Ndani ya Nchi (ibara ya 14 (4) ya Mkataba wa Kampala).
Nchi ambazo zimeridhia Mkataba wa Afrika na Itifaki ya Maputo zinatakiwa kuwasilisha ripoti yenye sehemu tatu, kila sehemu moja ikihusika na mkataba mmoja.
Nchi inatakiwa kueleza utekelezaji wa masharti ya Itifaki ya Maputo kama imeridhia kulingana na Mwongozo wa Tume wa kwa ajili ya nchi kuwasilisha taarifa chini ya Itifaki ya Maputo.
Faida ya uwasilishaji wa ripoti ya nchi katika Itifaki ya Maputo
• Uwasilishaji ripoti huisaidia Tume kutimiza jukumu lake la uangalizi wa kusimamia utekelezaji wa Itifaki.
• Uwasilishaji wa Ripoti za nchi huipa nafasi nchi mwanachama
kuonesha hatua zilizochukuliwa kutekeleza itifaki, pamoja na sababu na changamoto zinazozuia utekelezaji wa Itifaki wenye ufanisi.
• Mchakato wa kuwasilisha unaiwezesha Tume kukusanya taarifa na uzoefu uliojitokeza katika nchi nyingi kutoka nchi kuhusu haki za wanawake katika Afrika.
• Baada ya kuzingatia ripoti hizi, Tume ya Afrika hutoa hitimisho na mapendekezo ambayo nchi wanachama wanatarajiwa kuyatekeleza ili kuboresha upatikanaji wa haki za wanawake.
• Uwasilishaji ripoti wa nchi hutoa namna ambayo Tume hupata taarifa za kuaminika na taswira ya kuaminika ya hali ya haki za binadamu katika nchi. ..... soma zaidi : source : Mwongozo wa Mfumo wa Haki za Binadamu Afrika - Maadhimisho ya Miaka 40 Tangu Kukubalika kwa Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu 1981-2021 - Pretoria University Law Press (PULP)
ACHPR 77th Ordinary Session [Public]: 20 October – 9 November 2023
View: https://m.youtube.com/watch?v=CYvY3VFdHgs
The African Commission on Human and Peoples’ Rights (the ACHPR) wishes to inform State Parties to the African Charter on Human and Peoples’ Rights, Organs of the African Union, National Human Rights Institutions, International Organizations, Non-Governmental Organizations and the general public that the 77th Ordinary Session of the ACHPR is scheduled to take place in Arusha Tanzania from Friday 20 October to Thursday 9 November, 2023.