Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Binafsi naamini tukiweka mapenzi/chuki pembeni bado Tundu Lissu hana kiwango cha kucheza ligi moja na Magufuli kwenye uchaguzi.
Kwa miaka yote mitano Magufuli pamoja na mambo mengine amepambana kuhakikisha anajiweka kwenye mind za ‘wapiga kura’ kiasi kwamba huwezi kuwaambia chochote kumharibia wakakuelewa.
Naongelea wapiga kura, sio sie wa JF tumejaa kelele tu lakini hatuwezi kusimama juani hata masaa mawili kumpigia kura Tundu Lissu.
Kwa uchaguzi free and fair Magufuli atashinda kwa 70%+ lakini kwakua fitna pia hazikosekani naamini atashinda kwa 85%+
Kinachomwangusha ni hali ya kiuchumi ya wanannchi. Watu wana hali ngumu sana, ukija kumwachia Lissu ,Zitto ,Membe waigawane tz kumwaga sumu ,babako anaweza kuambulia 20%
 
Ninavyomwonea huruma Lissu ni kuwa akishapoteza urais, kama kawaida ya Magufuli kutakuwa na amri kuwa kampeini zimekwishana hivyo shuguli zote za kikampeini ni marufuku. Sasa kwa vile Lissu huwa hafungi mdomo wake, anaweza kujikuta anavunja hiyo marufuku mara kwa mara na hivyo kusumbuliwa sana na vyombo vya dola katika miaka mitano ijayo wakati mwili wake hauhitaji kusumbuliwa tena. Kuna makosa ya kimkakati aliyafanya wakiwa Ulaya, na yanaweza kuwa mzigo sana kwake baada ya uchaguzi akishashindwa.

Nadhani sheria ya Uchaguzi inataka wagombea wote wapewe ulinzi na serikali, kwa hiyo wakati wa kampeini anaweza asipate msukosuko ila baada ya uchaguzi, naona kuna hali tishio sana, ingawa inaweza kuwa siyo ya risasi kabisa.

Kuna mtaalamu mmoja wa mambo ya kikachero, anaitwa Evarist Chahali, aliwahi kuchambua na kusema kuwa Lissu hakupigwa risasi zile na watu wa serikali bali walikuwa watu wa upande upinzani kuonyesha kuwa kuwa serikali ni dhalimu. Kachero huyo aliweka sababu kadhaa kuonyesha kwa nini serikali isingehusika kufanya hivyo hadharani kwa vile ina tools nyingi sana za kumnyamazisha kimya kimya bila kumuua. Nadhani tools hizo alizosema ndizo zitaanza kufanya kazi baada ya uchaguzi.
 
Dr Mayrose Manjige ndio msomi mbobezi pekee kati ya wale watia nia 11 wa urais kupitia Chadema.

Ajabu na kweli mwanamama huyu msomi wa kiwango cha PhD ameambulia kura moja tu tena yawezekana ni ya kwake mwenyewe aliyojipigia.

Swali: Inakuwaje mtu aliyeruka vihunzi kwa kupigiwa kura hadi akaingia tatu bora aje apate kura moja kwenye fainali?!
Tafakari.

Maendeleo hayana vyama!
Ikoje inapokuwa inachapishwa fomu moja tu ya mgombea uraisi?
 
Dr Mayrose Manjige ndio msomi mbobezi pekee kati ya wale watia nia 11 wa urais kupitia Chadema.

Ajabu na kweli mwanamama huyu msomi wa kiwango cha PhD ameambulia kura moja tu tena yawezekana ni ya kwake mwenyewe aliyojipigia.

Swali: Inakuwaje mtu aliyeruka vihunzi kwa kupigiwa kura hadi akaingia tatu bora aje apate kura moja kwenye fainali?!
Tafakari.

Maendeleo hayana vyama!
Ngeleja Mwakyembe ni wasomi na hata Mwakyembe ana degree nne lakini wamegalagazwa huko kwao sembuse huyo Dada?
 
Dr Mayrose Manjige ndio msomi mbobezi pekee kati ya wale watia nia 11 wa urais kupitia Chadema.

Ajabu na kweli mwanamama huyu msomi wa kiwango cha PhD ameambulia kura moja tu tena yawezekana ni ya kwake mwenyewe aliyojipigia.

Swali: Inakuwaje mtu aliyeruka vihunzi kwa kupigiwa kura hadi akaingia tatu bora aje apate kura moja kwenye fainali?!
Tafakari.

Maendeleo hayana vyama!
Naona hujapata like hata moja mpaka Mimi nakukwot that means hata wewe ni jinga tu.
 
Dr Mayrose Manjige ndio msomi mbobezi pekee kati ya wale watia nia 11 wa urais kupitia Chadema.

Ajabu na kweli mwanamama huyu msomi wa kiwango cha PhD ameambulia kura moja tu tena yawezekana ni ya kwake mwenyewe aliyojipigia.

Swali: Inakuwaje mtu aliyeruka vihunzi kwa kupigiwa kura hadi akaingia tatu bora aje apate kura moja kwenye fainali?!
Tafakari.

Maendeleo hayana vyama!
Kama mnampenda mchukueni kwa milioni 300 kama kina mtulia.
 
FBI CIA Scotland Yard wachunguzi wa mahakama ya uhalifu dhidi ya ubinadamu The Hague taasisi za haki za binadamu wapo Tanzania wamejipanza kimya wanasoma upepo wote mpaka wajue uonevu uovu wote wa CCM ndipo waje na maamuzi ya uhakika.
 
johnthebaptist Hilo pandikizi lenu lipeni kura nyingi za ndio uvccm, baraza za Wazazi, Nec, BWT etc


Najiuliza je kwenye hiyo kamati hakukuwa na wanawake wenzie wa kumwamini ? najiuliza je alipitia mlango uleule wa Mashinji na bahati mbaya akaukuta umefungwa?

Katumiwa kuonyesha kuwa kina mama wananafasi ndani ya Chadema ila hawajajipanga?

Huko UWT alitoka tokaje mpaka akaingia Chadema au footprint zake zikoje?
 
Instagram media - CDcMsNJpmL6 ( 761 X 640 ).jpg


Tunaandika humu kama Masihara hivi , lakini huu ndio ukweli unaotarajiwa kutokea nchini Tanzania .

Huyu Salum Mwalimu huyu aliyenusurika kuuawa kwenye sakata la uchaguzi wa Kinondoni , ambapo risasi iliyomlenga ikapeperuka na kumuua Akwilina anaenda kuwa Makamu wa Rais , hii ni baada ya Tundu Lissu kushinda Uchaguzi mkuu mwaka huu wa 2020.

Usicheze na Mungu ndugu yangu , utaumia kama itakavyoumia ccm , kwa mara ya kwanza nimeshuhudia Mungu akijibu maombi kwa haraka sana ! mara nyingi hujibu maombi lakini kwa taratibu sana , kwanini haya amejibu haraka ?
 
Dr Mayrose Manjige ndio msomi mbobezi pekee kati ya wale watia nia 11 wa urais kupitia Chadema.

Ajabu na kweli mwanamama huyu msomi wa kiwango cha PhD ameambulia kura moja tu tena yawezekana ni ya kwake mwenyewe aliyojipigia.

Swali: Inakuwaje mtu aliyeruka vihunzi kwa kupigiwa kura hadi akaingia tatu bora aje apate kura moja kwenye fainali?!
Tafakari.

Maendeleo hayana vyama!

Mkuu, hayakuwa mashindano ya Academic Excellencies.
 
Back
Top Bottom