Somtyme kuongoza nchi inabd uwe na roho mbaya kweli kweli , Maghufuli is a perfect man to be a presdaa ...huyo mwamba ni chuma hasa , kuna wakat huwez kubalance mambo yote at once , inabd urisk moja ili jingine lipite , ukijidai kuyabeba yote , yaatakuponyoka yote
WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu ‘lockdown’
Na Mwandishi Wetu
GENEVA, Mjumbe Maalum wa Shirika la Afya Duniani (WHO) na Mkurugenzi Mkuu wa Convid-19, Dkt.David Nabarro amependekeza kuwe na jamii ambayo watu watakuwa tayari kuuzoea na kuishi na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) badala ya kuendelea kuwekewa zuio la kukaa ndani (lockdown) au kutoka kwa mashariti, kwani hatua za awali zinaonyesha hakuna chanjo au tiba ya virusi hivyo.
Wachambuzi wa masuala ya afya wameueleza mtandao wa TimesMajira Online kuwa, hatua hiyo ni ushindi mkubwa kwa misimamo ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo tangu awali ilikataa kuweka zuio la watu kukaa ndani, ikiwa ni agizo la Rais Dkt. John Magufuli huku akiwasisitiza wananchi kuzingatia miongozo yote inayotolewa na Serikali ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa, matumizi ya vitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima.
Dkt.Nabarro ametoa taarifa hiyo kupitia akaunti yake ya Twitter akisema kwamba kuendelea kuwawekea watu zuio, kunaweza kuwaumiza zaidi kutokana na athari zake kwa watu na uchumi wa mataifa kwa jumla.
“Virusi hivi vitakuwa na sisi kwa siku za usoni inayoonekana na hakuna mtu anayetaka kuwa katika zuio,kama tulivyo na wakati huu,”amesema.
Kwanini taifa hili limejaa Negative peoples kiasi hiki..? Yaani hamtaki kusikia lolote zuri toka nchini kwetu.?
Upuuzi wenu wa vyama msiuhusishe na nchi yetu.
CCM imetelekezwa kwani Mwenyekiti na Katibu Mkuu wameikimbia corona; wanachungulia tu kutoka mafichoni. Hivyo hivyo
na serikali ya CCM nayo imetelekezwa na Kiongozi wake Mkuu wake, Rais, naye kakimbia; anaichungulia tu corona kutoka mafichoni. Matokeo yake ni kwamba na wananchi, Watanzania, nao wametelekezwa na wameachwa wapuputike tu kama majani ya miti yaliyonyauka.
Ni kweli haijawahi kutokea, kitendo cha Rais wa nchi kukimbia na kujificha akiwaacha wananchi alioapa kuwalinda mikononi mwa COVID-18 wakipuputika ni unique na hakijawahi kutokea duniani. Hata lugha ya watu nayo tumeitelekeza na kuiacha ipuputike...awamu hii haijawahi kuwa na mfanowe na haitatokea iwe na mfanowe!
Najua ni ya muda mfupi lkn jiulize nchi kama Italy, Spain na baadhi ya nchi nyingine japo bado maambukizi na vifo bado vipo juu wameshindwa kuhimili hiyo lockdown hv sisi kiuchumi tutaweza. Lockdown haiwezi kuutokomeza huu ugonjwa n kupoteza tu muda wa kufanya kazi
Kuna pimbi Humu ambazo daily zinapenda kusikia WB imetunyima mkopo Mara Sijui Pompeo kapiga marufuku mtu flani asiguse huko, Mara Sijui White house imekosoa mchakato mzima wa uchaguzi....
Utadhani ni majamaa ya DRC huko kumbe tunaishi nayo hapahapa mengine ndio Wakurugenzi wetu Huku vijiweni RUBBISH kabisa...
Umejiuliza ni kwanini mkuu? Sasa heri hao.Huko kwa wenzetu huwa either wanachukua siraha na kuingia msituni au wanaamua kujivika mabomu na kuanza kulipua watu wasio na hatia
Hahaaa huyo nguli wa mambele anaandikia gazeti la times MAJIRA la huko ulaya!! Hii issue ni ya kuigongea nyagi tu,hakuna ukweli wowote hapa,kila mtu anatudanganya tu, kuanzia mtaalam hadi mwanasiasa, hapa tuchape nyagi tu.
Lockdown haiwezi tokomeza huu ugonjwa. Ht nchi za jirani zilizojaribu hiyo njia inawashinda lazma watachukua maamuzi km ya raisi wetu ni jambo la muda tu
WHO yakubali msimamo wa Tanzania kuhusu ‘lockdown’
Na Mwandishi Wetu
GENEVA, Mjumbe Maalum wa Shirika la Afya Duniani (WHO) na Mkurugenzi Mkuu wa Convid-19, Dkt.David Nabarro amependekeza kuwe na jamii ambayo watu watakuwa tayari kuuzoea na kuishi na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) badala ya kuendelea kuwekewa zuio la kukaa ndani (lockdown) au kutoka kwa mashariti, kwani hatua za awali zinaonyesha hakuna chanjo au tiba ya virusi hivyo.
Wachambuzi wa masuala ya afya wameueleza mtandao wa TimesMajira Online kuwa, hatua hiyo ni ushindi mkubwa kwa misimamo ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo tangu awali ilikataa kuweka zuio la watu kukaa ndani, ikiwa ni agizo la Rais Dkt. John Magufuli huku akiwasisitiza wananchi kuzingatia miongozo yote inayotolewa na Serikali ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa, matumizi ya vitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima.
Dkt.Nabarro ametoa taarifa hiyo kupitia akaunti yake ya Twitter akisema kwamba kuendelea kuwawekea watu zuio, kunaweza kuwaumiza zaidi kutokana na athari zake kwa watu na uchumi wa mataifa kwa jumla.
“Virusi hivi vitakuwa na sisi kwa siku za usoni inayoonekana na hakuna mtu anayetaka kuwa katika zuio,kama tulivyo na wakati huu,”amesema.
Hii mada imekuwa ikiondolewa kwenye Jukwwa la siasa kwa muda wa siku kadhaa lakini wameshindwa wamekubali iwepo. JF wacheni umangimeza hasa baada ya kununuliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.