Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,417
Udhalimu tu. Unaweza kushangaa bei inapungua kwa tsh20/lita na kuna mazuzu ytashangilia kuupiga mwingiWito umetoka mei 5 ya saa ngapi ?
Saa 6 usiku ? Binafsi nakumbuka mwezi uliopita MOF&P alisema wanachakata mipango ya kuondoa baadhi ya tozo ktk kila 1 ltr ya mafuta ..sasa sijui imekuwaje