Kuzidi kushuka Kwa bei ya mafuta, LATRA iitishe kikao Cha dharura, ili kushusha bei ya usafiri

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,484
30,162
Bei ya mafuta ya petroli nchini imezidi kushuka.

Katika bei zilizoanza Leo, mafuta ya petroli yameshuka bei hadi shilingi 3,040 Kwa Lita moja, kwa Jiji la Dar, kutoka bei ya mwezi uliopita ya shilingi 3,158

Nawaomba sana LATRA waitishe kikao Cha dharura, ili kupokea maoni ya wananchi, ili washushe bei ya usafiri, Kwa kuwa hao hao LATRA, walipandisha bei ya usafiri, ambayo imelalamikiwa sana na wananchi wa nchi hii, Kwa kisingizio Cha kupanda Kwa bei ya mafuta.

Kwa kuwa hivi sasa bei hiyo ya mafuta inashuka na ndiyo ilikuwa sababu yao kuu ya kutaka nyongeza hiyo na Kwa kuwa kwenye soko la dunia, bei ya mafuta inazidi kushuka, Kwa hiyo nao LATRA wanapaswa kushusha bei ya usafiri, ambayo inawaumiza sana, wananchi, kutokana na kutopanda Kwa vipato vyao
 
TANZANIA BEI IKIPANDA

HAKUNAGA KUSHUKA

ova
Kwa suala hili la kushuka Kwa bei ya mafuta, tunawalazimisha hao LATRA washushe bei za usafiri, Kwa kuwa zinatuumiza sana wananchi
 
Bei ya mafuta ya petroli nchini imezidi kushuka.

Katika bei zilizoanza Leo, mafuta ya petroli yameshuka bei hadi shilingi 3,040 Kwa Lita moja, kwa Jiji la Dar, kutoka bei ya mwezi uliopita ya shilingi 3,158

Nawaomba sana LATRA waitishe kikao Cha dharura, ili kupokea maoni ya wananchi, ili washushe bei ya usafiri, Kwa kuwa hao hao LATRA, walipandisha bei ya usafiri, ambayo imelalamikiwa sana na wananchi wa nchi hii, Kwa kisingizio Cha kupanda Kwa bei ya mafuta.

Kwa kuwa hivi sasa bei hiyo ya mafuta, kwenye soko la dunia, inazidi kushuka, Kwa hiyo nao LATRA wanapaswa kushusha bei ya usafiri, ambayo inawaumiza sana, wananchi, kutokana na kutopanda Kwa vipato vyao

Kabla ya bei ya diesel kufikia 2,000/- kwa lita kusema bei imeshuka labda kama ni kuwa umezaliwa leo
 
Bei ya mafuta ya petroli nchini imezidi kushuka.

Katika bei zilizoanza Leo, mafuta ya petroli yameshuka bei hadi shilingi 3,040 Kwa Lita moja, kwa Jiji la Dar, kutoka bei ya mwezi uliopita ya shilingi 3,158

Nawaomba sana LATRA waitishe kikao Cha dharura, ili kupokea maoni ya wananchi, ili washushe bei ya usafiri, Kwa kuwa hao hao LATRA, walipandisha bei ya usafiri, ambayo imelalamikiwa sana na wananchi wa nchi hii, Kwa kisingizio Cha kupanda Kwa bei ya mafuta.

Kwa kuwa hivi sasa bei hiyo ya mafuta, kwenye soko la dunia, inazidi kushuka, Kwa hiyo nao LATRA wanapaswa kushusha bei ya usafiri, ambayo inawaumiza sana, wananchi, kutokana na kutopanda Kwa vipato vyao
Latra walikurupuka
 
Bei ya mafuta ya petroli nchini imezidi kushuka.

Katika bei zilizoanza Leo, mafuta ya petroli yameshuka bei hadi shilingi 3,040 Kwa Lita moja, kwa Jiji la Dar, kutoka bei ya mwezi uliopita ya shilingi 3,158

Nawaomba sana LATRA waitishe kikao Cha dharura, ili kupokea maoni ya wananchi, ili washushe bei ya usafiri, Kwa kuwa hao hao LATRA, walipandisha bei ya usafiri, ambayo imelalamikiwa sana na wananchi wa nchi hii, Kwa kisingizio Cha kupanda Kwa bei ya mafuta.

Kwa kuwa hivi sasa bei hiyo ya mafuta, kwenye soko la dunia, inazidi kushuka, Kwa hiyo nao LATRA wanapaswa kushusha bei ya usafiri, ambayo inawaumiza sana, wananchi, kutokana na kutopanda Kwa vipato vyao
Wanasemaga bei ikishapanda haishuki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom