Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,385
Mimi nimeweka mafuta leo kwenye mkweche wangu.Muongo wewe mafuta labda yako huko deep see vituo kibao Dar havina mafuta
Sio hofu tafadhali ukosefu wa mafuta vituoni sio Siri mwenye haambiwi tazamaMimi nimeweka mafuta leo kwenye mkweche wangu.
Msiwaletee watu hofu isiyokuwepo, yule shetani mungu wenu ameshakufa na yupo kuzima, hawezi kurudi, kubalini matokeo tu.
View attachment 2012125
Mwambie huyo Waziri aende vituo mitaani havina mafuta uswahilini havina mafuta porojo hazisaidii mitaani wanaonaHuyo jamaa yako ni mzushi.
Waziri January Makamba hawezi kulidanganya taifa!
Gete geteTwibilwa!
Tanzania inchi pekeee ina ongoza kwa Drama na hasa wanatoka ccmSerikali hiyo hiyo ndio ilisema leo tarehe 15 november 2021 wataanza kujaza bwawa la maji la SG. Lakini kwa sasa kichekesho kiko kwenye hatua ya kuagiza winch! Serikali hii hii ndio ilisema Nov 2019 reli kipande cha Dar-Moro kitaanza kazi, badala yake tunaona kombati za jeshi tu kuvaliwa na mama wa kambo. 2014 Muhongo akiwa waziri alisema ikifika 2020 Tanzania itakuwa inauza umeme nje ya nchi, ajabu ni kuwa wauzaji umeme hata umeme hatuna hadi muda huu!
Makamba ni Mungu wa Watanzania wote?Huyo jamaa yako ni mzushi.
Waziri January Makamba hawezi kulidanganya taifa!
Hao watakuwa ni wapiga dili tu.Sio hofu tafadhali ukosefu wa mafuta vituoni sio Siri mwenye haambiwi tazama
Umtie hofu Nani wakati ukienda vituo vya mafuta uswahini Dar hawana mafuta
Kukosekana mafuta vitioni vya uswahilini sio Siri tafadhali na sababu unapewa
Waziri hapaswi kudanganya!Makamba ni Mungu wa Watanzania wote?
Mbona kuna Mwingine aliwatangazia Watanzania kuwa Mtu fulani hajafa, yupo hai na katoka Kuzungumza nae na kututaka tuendelee Kuchapa Kazi wakati kumbe muda mrefu alikuwa tayari ameshayaanza Maisha yake mapya katika Friji za Mzena Hospital kabla ya kuhamishiwa za Lugalo Hospital mkabala na Chuo chao cha Tiba cha MCMS?Waziri hapaswi kudanganya!
Acha ubaguzi wew ukanda wa pwani unahusikaje hapo acha longo longoπ πNdio tuseme na usafiri wa umma na binafsi nao utasimama?
Wafanyakazi maofisini na wanafunzi mashuleni wataendaje?
Au serikali itoe likizo ya muda mfupi kwa wote mpaka pale mafuta yatakaporejea?
Haya mambo ya ajabu ajabu huanza pale ambapo taifa linakuwa na kiongozi toka ukanda wa Pwani, bahati mbaya na waziri husika nae ana tabia za kijanja janja tu.
Mafuta yakiwa machache maana yake kuna uwezekano mkubwa yakapanda bei, yakipanda bei na nauli zitaongezeka, gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku mtanzania masikini anazidi kuisoma namba.
Sio uzushi wa wiki ijayo leo hii vituo kibao mitaani havina mafuta dar es salaam
ππππππ
Huyu Suzy Elias amekuja RASMI kupambana na Januari Makamba na siyo kutoa michango chanya kwenye JUKWAA. Maana akaunti yake Haina hata one month, yeye na Makamba, umeme, gas na Leo mafuta.Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.
Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.
Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.