YUSUPH SHEKILINDI
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 230
- 4
Du mbona mnaobahatika kupata watu wa kubadilishana nao vituo vya kazi hamtupi mrejesho
KWA ANAETAKA KUJA SINGIDA KUTOKA TANGA,KILIMANJARO AU MOROGORO nicheki kwa na 0756231236
idara gani na singida sehemu gani kuna rafiki yangu yupo klmKWA ANAETAKA KUJA SINGIDA KUTOKA TANGA,KILIMANJARO AU MOROGORO nicheki kwa na 0756231236
Mwenye kuja dodoma, chamwino! mm nimepata nafasi dsm issue ni wewe uhangaikie uhamisho wako huko ili uje dom chamwino idara ya msingi mm nisepe niende dsm! halahala muda umeisha! NB: sio mm ni ndugu yangu wa damu!!!!!!
Hapa mantiki ni kumpata mtu atakaenijazia nafasi yangu, sio kubadalishana! Nadhani naeleweka wakuu!!
CC: Elly Andrew, Negative 1, Mcheza Karate, thobias20, AHMED KATSH, Msangule Jr. lyosiii, iPad ya Apple, @gelcomond, Joseph Isaack, milioni milioni, Bible, mupanga, irumba1, Devla, seveline, Obbyally mbasha, dumpwa, Mkomawatu, cosM, Hans Pol, MUHASIBU, ketakono, babu Mlezi, kichwaones, Ami B, ZeMangi, veara, ytara jr, mbwiganyuki, benuard joseph, MBALANGU, BISHOPSAMY, the ultimatum, mbogyo, Gangnyota, Kazitunayo, Fino da Final, BigFish Classic, YUSUPH SHEKILINDI, Chinga One, sheizashafi, sundoka, msugupendingwite, Ndala ndefu, kitafura, Kibambaza, Marcy, LOIM, Mdume, Spellan, Morick, KIPWELA, Chiduo, julimushi, Materu materuni, CHALII TZ, WA MAKOBHWEO, analgesic, Mwasandembwa, ayuli, Gwakukaja85, NNETE, unique mathias, @mshuzaz, van Sam, Remmy kayanda, M.KABAKA, MAKOLE, Wazo la kabwela, Julius M, Suip, mwasheni, Mkoroshokigoli, RIKAB, 196, Edison, Laurence, Tanzanite klm, Magwira, NGANU, Enjoy Fumbo, comson, profeas mbiti, Wemba, M2mishi, SODOKA, Bhihalo, Massawe g.i, josam, ngwilla, Kitaeleweka, sakama, Joel Ezekiel, Lingulasi, NSWECKY. Felipe Haidary, Neilntan na wengine kibao bila kumsahau mkuu the Blue G atie baraka mchakato huu ili ufanikiwe!
NB:Kwa yeyote anaetaka mchongo wa kuhamia Arusha(Sio habari ya kubadlishana, basi anitue)! Naomna kusisitiza ni mchongo wa kibongo bongo!
Ahsanteni sana!