Wabunge wa JMT msipompa 'Uspika' Dkt. Tulia Ackson hakika 'nitawadharau' mpaka dunia itakapopinduka

Na Mimi GENTAMYCINE Kipimo changu cha CCM ya Rais Samia Suluhu Hassan ndiyo kitakuwa katika Zoezi hili la Kuchagua Spika wa Bunge la JMT...
Ni mawazo yako hayo, usiforce kila mmoja akubaliane nayo. Kwangu Tulia hatoshi kuwa speaker wa Bunge la JMT hata huo unaibu ningekuwa na uwezo ningemvua. Bunge ni taasisi nyeti inahitaji watu makini, wazalendo na wenye uelewa wa mambo mengi.
 
Hili ni wazo lake na mimi langu ni sioni yeyote anaefaa kuwa Spika kwani wote ni zao la uchaguzi batili ulipita 2020.
 
Kwa taarifa yako ni kwamba 90% ya Wana CCM watampitisha wasipompitisha kuna Mtu Mmoja namweka 'Kiporo' ni Mnafiki na Mfitini hivyo atanikoma Kudadadeki zake.
Upo sahihi kabisa.Ni kweli zaidi ya 90% ya wana CCM watampitisha tena natabiri hapa kuwa wana CCM watakaompitisha Tulia ni 100%

Wana CCM watakaompitisha Tulia ni 100% kwa sababu wanataka wamfuraishe Samia ambae Tulia ameshaonyesha kujipendekeza kwake.

Wana CCM watampitisha Tulia siyo kwa sababu Tulia ni speaker mzuri bali watafanya hivyo ili kulinda matumbo yao.They are hopeless fool.
 
Wabunge wa JMT wana machaguo Mawili tu ama Wamchague Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ili niwapende, niwabariki na niwaheshimu Milele au wasimchague kisha nianze Kuwadharau, Kuwachukia na kuwaombea Mabaya ( hasa Mabalaa ) mpaka mwaka 2025.
Hahahaaaa....!!
 
Kuna siku jiwe alijisahau akasema" Na nyie wabunge wengine hapa hata hamkuchaguliwa"

Kweli uhalali wa hili bunge ni kichaa tu ndio anaweza kutohoji uhalali wake..

Kuanzia kwa katelephone hadi kwa mtaalam wa dawa za mizizi toka Antananarivo sijui nani aliwapigia kura.

Yaani mchezo ulikua chapisha fomu moja nyamazisha wote pita kwa 80% ! Kwa drama hizi si ajabu yanawarudia kwa sasa huku mastermind akiwa hayupo tena.
 
Hivi Logically tu unaweza kumjua Chizi kama nawe pia siyo Chizi? Hivi unaweza kumjua Mchawi kama nawe pia siyo Mchawi?

Nimefurahi kukujua Chizi Mwenzangu!!!
Actually madaktari wanaweza kujua chizi na wao siyo machizi

Kunywa dawa usitusumbue tukaacha kufanya ya maana
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Hao wengine wapo kimkakati Lakini Sister Dr.Tulia (aka Mbozyo) ndo Spika ajaye.
 
Hii nchi tuwape wanawake Tu watuongoze maana wanaume tumeshindwa toka Uhuru tumelalia umaskini, ufisadi, Wizi, kutowajibika, ubinafsi n.k. Hata PM na Makamu wawe Wanawake. Na wabunge na Mawaziri Wanawake tu. Tujaribu hiyo plan B tulinganishe matokeo. Wanaume tuligeuza nchi shamba la Bibi, limejaa majizi na wapigaji tu mpaka tumezalisha misamiati ya Ufisadi.
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Uchawa huo mkuu na Tulia hapiti ni ZAO la SHETANI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Oya hv mjomba pk anaendeleaje hajachoma ile kansa na mionzi??halafu kayumba nyamwasa amesharudi nyumbani??Maana yangu ajeruhiwe na risasi kule south sijapata taarifa zake!!!oya umeshajipanga kwenda kugombea uraisi huko nyumbani kwenu?!!angalau upeleke hata demokrasia ya kuchakachua kama ya CCM hapa kwetu kuliko hiyo ya mtutu ya pk!!Nenda kajaribu bahati yako pale!!mi nitakuja kukusalimia na kufanya ziara ya makazi ya zamani ya Babu zangu kizaa mama!!
 
Tatizo sio wabunge wa CCM kumpa kura, ila changamoto ni kupitishwa na chama chake. Akipitishwa tu, obviously anakuwa spika. Nilisikia kuwa na yeye ni team mwenda zake ambayo mama amewengana nayo sana
Mtu wa Mbeya utamjua tu
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Sometimes humu cjui watu hufikiria kwa kutumia kiungo gan tofaut na ubongo

IMG_20211029_105959.jpg
 
Back
Top Bottom