Wabunge wa JMT msipompa 'Uspika' Dkt. Tulia Ackson hakika 'nitawadharau' mpaka dunia itakapopinduka

Tatizo sio wabunge wa CCM kumpa kura, ila changamoto ni kupitishwa na chama chake. Akipitishwa tu, obviously anakuwa spika. Nilisikia kuwa na yeye ni team mwenda zake ambayo mama amewengana nayo sana
Kuna Wapuuzi wanamharibia atapita tu.
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu ( na hata rekodi zinanibeba ) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika ( mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
God forbid!!! Kwanza yule mama ni katili na mshamba
 
Tangu mchepuko wake uchukuliwe na muumba na yeye yupo kwenye radar zao wameshamalizana na wenzake walioluwa team moja target iliyobaki ni yeye na Chauongo
 
Kama unavyomuona kuwa She's that Hopeless and Fool hata Sisi JF Brainy ( Einstein ) Members tunakuona nawe si tu ni Hopeless and Fool bali pia ni Certified Mental Jamvini hapa.
Mimi nimeweka ushahidi wangu ni kwa nini nasema she is hopeless fool,lakini wewe hukuweka ushahidi wako wa kuprove kuwa mimi ni mental.

Hili linathibitisha ni nani punguani kati ya mimi na wewe.
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu ( na hata rekodi zinanibeba ) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika ( mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Nakuunga mkono!
 
Na Mimi GENTAMYCINE Kipimo changu cha CCM ya Rais Samia Suluhu Hassan ndiyo kitakuwa katika Zoezi hili la Kuchagua Spika wa Bunge la JMT.

Akichaguliwa ( akipitishwa ) Dk. Tulia Ackson ( niliyembatiza Jina la Mchezaji Mahiri na mwenye Kipaji cha hali ya Juu Pape Ousmane Sakho ) wa Simba SC nitaiona CCM ya Rais Samia ni imara. nzuri na inatupeleka Kuzuri, ila wasipompitisha tu nitajua CCM ya Rais Samia imeoza, mbaya na inaenda Kufa kabisa.

Wana CCM mpeni Uspika Dk. Tulia Oky?
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu ( na hata rekodi zinanibeba ) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu...
Jamaa sametime nilikuwa na wasiwasi na akili yako lakini kwa bandiko uliloliweka leo nimekuzalau sana. Mimi nilifikili utaolozesha sifa zinazokufanya uone anatosha ktk hiyo nafasi wewe umekuja na ujinga ujinga mtupu,

Tulia hana tofauti yoyote na Ndungai tena Ndugai anaweza akawa na unaafuu kuliko tulia kwa kujipendekeza kwa rais
 
Kujipendekeza kwa Rais👇😁😁😁
Taifa haliwezi kuendelea kwa mihimili kujipendekeza kwa Rais.She is hopeless fool.
 
Kuuliza si ujinga. Kwenu wataalamu wa sheria;

Tulia kachukua fomu ya kugombea U-spika.

Je, itakuwaje nafasi ya U-naibu Spika ikitokea Tulia kashinda kuwa Spika wa bunge?

Je, atashikilia nafasi zote mbili, yaani U-naibu Spika na Spika?

Au Tulia atajiuzulu nafasi ya U-naibu hivyo CCM watatangaza tena nafasi ya U-naibu Spika?



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom