mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 663
NakaziaMa'ccm yoote ni yale yale.
Ndugu GENTAMYCINE kwa maelezo yako, ikitokea Dr. Tulia Ackson Mwansasu amekosa uSpika, maana yake wabunge wa bunge la JMT waliopo bungeni ni WAPUMBAVU.Nimemaanisha Mkuu na nasisitiza tena ni Wabunge wenye Uhumbe ( Upumbavu ) tu pekee ndiyo hawatampa Uspika Dk. Tulia Ackson ( Sakho ), ila kwa Wabunge 'very Intelligent' wa Bunge la JMT Nina uhakika wa 100% kuwa Kura zao zote watampa Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) tu na siyo hao 'Wapuuzi' wengine wanahangaika na Kujitutumua kuchukua Fomu.
Kuwaombea mabaya au mabalaa hadi 2025 tafsiri yake baada ya uchaguzi wa 2025 wasirudi bungeni. Kwani Dr. Mahera anasemaje?Wabunge wa JMT wana machaguo Mawili tu ama Wamchague Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ili niwapende, niwabariki na niwaheshimu Milele au wasimchague kisha nianze Kuwadharau, Kuwachukia na kuwaombea Mabaya ( hasa Mabalaa ) mpaka mwaka 2025.
Tatizo si kuahidiwa, tatizo ni la watu wenye upeo finyu wa kumlinganisha Dr Tulia na yule darasa ka saba "Dr" Msukuma.Mbna unakomaa Sana Mzee, umeahdiwa nini
You're hopeless and fool sawa? Njoo tena.Uliishia darasa la ngapi? Siyo hopeless and fool, ni hopeless fool. Na unaposema certified mental, unamaanisha nini? Tafuta walimu wa chekechea, wapo wanaofahamu Kiingereza vizuri, watakufundisha. Hutakuwa na hiki Kiingereza cha kurushia neno moja moja mahali pasipostahili.
Ndiyo umejua leo Mkuu? Pole sana tu!!!Kichaa kabisa wewe.
Na Wewe unavyompenda huyo unayetamani awe Spika umelipwa Dola ngapi?Umelipwa Dola ngapi ndugu yangu jenta.
Mimi ni GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
Wewe ndiyo Member pekee niliyekuona una Akili ( IQ Kubwa ) kwa Kunielewa na Kuchangia. Nimefurahi mno na Heko Kwako Mkuu.Nazan bila shaka hii mada yako umeileta lengo ni kuchallenge wtu ili uone maoni ya wengi fala wew
Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
Ukituma tu 'Comment' moja inatosha na kutuma 'Comment' moja ( hiyo hiyo ) kila mara ni Uthibitisho tosha Kwetu kuwa unatakiwa kuwahi Kitanda chako katika Wodi ya Wagonjwa wa Akili ( Wendawazimu ) ama pale Milembe ( Dodoma ) au Lutindi ( Tanga ) tayari kwa kuanza Tiba yako sawa?Mpaka shule zije kufunguliwa tutasoma mengi sana humu JF. Naambiwa bado kama week moja au mbili.
Kwa mfumo uliopo mbunge yoyote wa CCM anaweza kuwa Spika.GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.
Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.
Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.
Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )
Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
Tukisema unashida unatukana.. kwahiyo wabunge wachague kwamkufuata matakwa ya mtu mwenye "mental case".!Wabunge wa JMT wana machaguo Mawili tu ama Wamchague Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ili niwapende, niwabariki na niwaheshimu Milele au wasimchague kisha nianze Kuwadharau, Kuwachukia na kuwaombea Mabaya ( hasa Mabalaa ) mpaka mwaka 2025.