johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Spika wa Bunge la JMT Dkt. Tulia PhD amewataka Wana CCM kuacha kigeugeu na badala yake wajikite kutekeleza Ilani
Tulia amesema wako Watu ndani ya CCM Wanamvuta Shati Rais Samia, hawaeleweki
Amewaonya watambue kuwa 2025 Wana deni kama watakuwa hawajatekeleza Ilani ya CCM ya 2020
Source: Mwananchi
Mlale Unono 😃😃🔥
---
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, amewaonya baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuepuka tabia ya kuwa kigeugeu kwa kuunga mkono upande wa pili, huku akiwasihi kutokubali ubaguzi na ukabila.
Dk Tulia ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, ametoa kauli hiyo leo Jumatano Agosti 2, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Iyela, baada ya kukagua ujenzi wa miradi ya mabweni mawili ya wanafunzi wa kike katika Shule ya Sekondari Samora uliogharimu Sh60 milioni fedha za mfuko wa Jimbo.
“Wapo watu ndani ya chama wanataka kumvuta shati Rais Samia Suluhu Hassan, hawaeleweki. Watambue wana deni katika uchaguzi mkuu 2025,” amesema.
Tulia amesema wako Watu ndani ya CCM Wanamvuta Shati Rais Samia, hawaeleweki
Amewaonya watambue kuwa 2025 Wana deni kama watakuwa hawajatekeleza Ilani ya CCM ya 2020
Source: Mwananchi
Mlale Unono 😃😃🔥
---
Dk Tulia ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, ametoa kauli hiyo leo Jumatano Agosti 2, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Iyela, baada ya kukagua ujenzi wa miradi ya mabweni mawili ya wanafunzi wa kike katika Shule ya Sekondari Samora uliogharimu Sh60 milioni fedha za mfuko wa Jimbo.
“Wapo watu ndani ya chama wanataka kumvuta shati Rais Samia Suluhu Hassan, hawaeleweki. Watambue wana deni katika uchaguzi mkuu 2025,” amesema.