Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 908
- 1,064
Huyu askari kadharirisha jeshi la polisi kiukweli . Serikali inafumbia macho masuala haya why? huyu yuko na familia na watoto . Kuna watu wanasema tunamchafua kwani alikuwa kaelewa kusema labda kabakwa au katekwa amejitakia mwenyewe na unaonekana amejirekodi . Video ya pili anaonekana anapigiwa video call na mwanamke afu yuko anamuonesha sehemu ya makalio huyu mwenyewe.
📌 Wanawake mko na moyo wa huruma lakini huruma yenu ndo inaaribu kizazi hiki mtoto wa kiume kukuwa kama mtoto wa kike.
Eti mtu anamtetea mtu muovu busara gani. Mdada kaniuliza je angekuwa mzazi wako ungepost au? Uenda wangepost wengine... ila acha kuficha uovu wa watu me sikumrekodi alijirekodi mwenyewe.
Taifa liko na Viongozi wa ajabu wenye tamaa na uongozi ila kuongoza hawawezi ......
... mchana mwem.
📌 Wanawake mko na moyo wa huruma lakini huruma yenu ndo inaaribu kizazi hiki mtoto wa kiume kukuwa kama mtoto wa kike.
Eti mtu anamtetea mtu muovu busara gani. Mdada kaniuliza je angekuwa mzazi wako ungepost au? Uenda wangepost wengine... ila acha kuficha uovu wa watu me sikumrekodi alijirekodi mwenyewe.
Taifa liko na Viongozi wa ajabu wenye tamaa na uongozi ila kuongoza hawawezi ......
... mchana mwem.