afande

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Hongereni MAT kwa kusimama na Mwanataaluma Mwenzetu; Afande Muliro ameudanganya Umma

    Jambo ambalo lipo wazi hakuna watu WAONGO kama polisi wa Tanzania na ni kama uongo wao unalindwa na sheria . Changamoto nyingine Polisi wengi wa Tanzania ni form four failures just as Muliro Jumanne . Nadhani kwa sasa tuna degree holders wengi tutoke kwenye form four failures ! Hatujaona...
  2. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Viongozi wanachochea wananchi kuzidi kudai katiba mpya

    https://www.instagram.com/reel/Dc8IZBMs-gw/?stkn=bmR4OHhueTUyZWFy
  3. M

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Baadhi ya vingozi, matendo na kauli zao zinapelekea Wananchi kuona lazima tupate katiba mpya

    Wengi wetu, wazazi wetu walishatangulia mbele za haki. Kwa hiyo tunabaki tunayaishi yale mafundisho mazuri waliotuelekeza na kama kuna ambao hawakutuelekeza, basi tunafundishwa na dunia. Lakini ni siku nzuri kujadili masuala ambayo pengine ni ya msingi sana mustakabali wa taifa, jamii, familia...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Katambi amempa onyo kali sana kwa Msanii Afande Sele baada ya kujirekodi video akitoa kauli pia akimwambia asifanye mzaha. Soma Pia: Afande Sele: Si sahihi Waziri Katambi kumuita Dudu baya kwenye Meza walipokaa wenye tuhuma za Ushoga
  5. figganigga

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Si sahihi Waziri Katambi kumuita Dudu baya kwenye Meza walipokaa wenye tuhuma za Ushoga

    Wote tunajua Dudu baya anapinga ushoga kwa kauli mbiu ya You better watch your back Afande amekosea kitendo cha Waziri wa mambo ya ndani, kuwaita mashoga kwamba ni Wasanii na akawaita wakutane naye. Humo humo kwenye mashoga akaita na wasanii ambao ni kioo cha jamii. Pia kuna watu si wasanii...
  6. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania Full interview na Afande Sele kuhusu Watu pori & Ghetto boys

    ukwaju wa kitambo na afande sele mwaka 2022
  7. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hii ya Leo Kali, yaani AFANDE Mafwele amempa dhamana Advocate Madeleka na kuaidi kumpeleka nyumbani kwake

    Hii ya Leo Kali, yaani AFANDE Mafwele amempa dhamana Advocate Madeleka na kuaidi kumpeleka nyumbani kwake Leo kabla ya saa sita usiku, hii ni kweli, 😅 siamini ILA Kuna msemo usemao shetani akizeeka uwa anakuwa Malaika. Naomba kuwajuza tu, Madeleka yupo salama salimini mikononi mwa Mafwele sjui...
  8. figganigga

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Tarehe 7/7/2026 kulikuwa na Utulivu sio Amani. Tusitamani hii hali ijirudie tena

    Msanii wa Bongo Fleva Selemani Msindi(Afande Sele), amesema Tarehe 7/7/2026 kulikuwa na Utulivu sio amani. Amesisitiza watu wapewe kilichofanya watake kuandamana. Kasema wanaingiziwa Posho na Mishahara ndo Wanasema kulikuwa na amani. Lakini wanaotegemea miguu ili kula wanasema kulikuwa na...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kama ana uchungu na Watanganyika kwanini hamchukulii hatua Afande Mafwele pamoja na tuhuma zote hizi?

    Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar. Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu. Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na...
  10. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Unajua asili ya neno "Afande"?

    Kabla ya mkutano wa Berlin dola ya Ottoman ilitawala Misri na Sudan. Kwa kituruki neno bwana au Sir ni Effendi. So askari wao wenye vyeo walikuwa adressed kama Effendi. Askari wa Sudan wakaingiza neno hilo Uganda, Kenya na Africa mashariki. Effendi ya Kituruki likawa Afande ya kiswahili.
  11. F

    JamiiForums Tanzania Chiku na Afande

    Chiku alikuwa aenda hotelini jioni waonane ili Afande ampe zawadi kutoka kwashangazi yake Bongo.Chumbani kwa Akande Manyota Hotelini. Afande Manyota anamngojea Chiku kwa hamu. Chiku anabisha hodi mlangoni chumba (suite) namba 610: Chiku: (Taratibu kwa sauti ndogo) Hodi!AM: Karibu!Afande...
  12. dr namugari

    JamiiForums Tanzania Huyu afande amenisikitisha sana kwa kweli kama ndio hivyo tumekwisha

    Hbr za muda wakuu wangu ! ...ni kweli nimeadimika sana humu ndani ila tupo pamoja ni majukumu ya kitaifa na shughuli zangu binafsi vinanibana sana hadi kukosa muda wa kuja kuwatembelea na kuwa tia moyo kwa yale mnayo yapitia us individual au groups poleni san wanangu ama hakika Mungu yupo...
  13. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Afande Mutafungwa katupiga au kapigwa?

    Machache kuhusu mamba Ingawa mamba ana meno mengi na yenye nguvu, meno hayo hayajajengwa kwa ajili ya kusaga au kutafuna chakula; badala yake, hutumika kwa ajili ya kukamata, kushikilia, na kurarua mawimagumu Hapa kuna mambo muhimu kuhusu jinsi mamba anavyokula: Kumeza Mazima: Kama windo ni...
  14. Intricate

    JamiiForums Tanzania Afande: Ikitokea msafara wa rais umekutana na gari ya kubeba wagonjwa, basi msafara wa rais utaendele kupita na gari ya wagonjwa itasubiri

    Afande amesema itakapotea msafara wa Rais ukakutana na gari ya kubeba wagonjwa basi msafara wa Rais utaendelea ila gari ya wagonjwa itasimamishwa. Na amesema kwa sekunde hizo aziwezi kuondoa uhia wa mgonjwa na hata akifariki basi itakuwa siku yake imefika. Maana wao wapo kwaajili ya kumlinda...
  15. NGAYANIMO

    JamiiForums Tanzania Usinichukie - watu pori ( Afande sele)

    WATU PORI - USINICHUKIE Afande sele.( Verse).. "inshallah kama umenisamehe Kama bado basi Ewallah Yote namuachia Allah Kwani tulipo , Tupo kwa vile ametaka Tuwepo/ Anatupenda Sawa sawa kabisa/ Wote anatupa Mvua,misikiti na makanisa/ Na wote anawapa jua masikini na Wenye pesa/ Kama kuvuta...
  16. NGAYANIMO

    JamiiForums Tanzania Full interview na Afande Sele kuhusu gheto boys & watu pori

    Interview na Afande Sele akizungumzia watu pori na gheto boys akiwa na c.e.o wa ukwaju wa kitambo
  17. O

    JamiiForums Tanzania Hii hapa kazi ya afande MWENYE akili

    Mlinzi mmoja wa usalama jijini Houston amepata heshima kubwa mitandaoni baada ya video kuonyesha akipambana na wanaume wawili tofauti—mmoja baada ya mwingine—na kuondoka akiwa amesalimiana nao kwa mikono, badala ya kuwakamata au kuwafunga pingu. Tukio hilo lilitokea karibu na gari la chakula...
  18. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hilda Newton: Afande Hamza, aliyeua mamia ya waandamanaji 29/10 - 3/11/ ni kichaa. Anaropoka siri zao ovyo. Amefungiwa chumba maalumu Police Oysterbay

    Imetoka kwenye official page ya X-Twitter ya Hilda Newton =============================================== TAARIFA KUTOKA KWA MMOJA WA POLISI MWANDANI WETU OYSTERBAY POLICE STATION - DSM Kuna ofisa wa Jeshi la Polisi anaitwa Hamza, anashikiliwa kituo cha Polisi Oysterbay tangu Novemba 6...
  19. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Asajile Mwanjala amechukuliwa na Afande Ally polisi wa kituo cha Ifunda

    Asajile Mwanjala amechukuliwa usiku wa jana Kijiji cha Ihemi kata ya Mgama, Nimeongea nae amechukuliwa na Afande Ally polisi wa kituo cha ifunda na Afande Razaro Polisi wa Iringa mjini. Fikeni hapo kituoni Ifunda haraka.
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Ushaidi wa Afande George katika kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeendelea tena leo, Jumatatu Oktoba 06.2025 kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam chini ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Danstan Ndunguru Kesi hiyo...
Back
Top Bottom